Mpasuajipu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 836
- 50
safari hii mtajibeba na hizo cheap generalization na arguments ( Sitta,Salim Ahmed Salim, Mwakyembe,Magufuli,Tibaijuka na hao wote wanachama milioni ngapi wanashobokea Doctorate feki????suala la Kikwete mfano kupewa Degree ya heshima linailetea vipi nchi shida,mtu kama hana uwezo na Makamba wake msiseme wanachama wa CCM,kwani sie ndo tulimpa,si alipewa na vyuo vikuu tena kingine cha nje ya nchi?????Tunaacha kujadili DOWANS,Katiba,ufisadi unaoendelea tunaleta thread za Degree za heshima? zinatulisha sisi au kutuletea pembejeo za kilimo na madawa hospitali,kujenga barabara??? NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK,many of the CCM members do not even know that he has that doctorate.
nami namtunuku Degree ya Heshima atakuwa Dr Dr Dr Dr.......................Yusuph Makamba.
Mtu asiye na akili nzuri. Mlafi wa mali zetu. Atakuwa na akili wapi? Bado nakumbuka kile kibwagizo kuwa "Liangalie hili punguani linatafuna mali za umma" nani anakikumbuka?Lakini jaman tuacheni utani. mambo mengine yanachefua sana. Hivi huyu Makamba analitakia nini Taifa hili???
Hii ni ishara ya vyuo vikuu vyetu kuchakachuliwa!
safari hii mtajibeba na hizo cheap generalization na arguments ( Sitta,Salim Ahmed Salim, Mwakyembe,Magufuli,Tibaijuka na hao wote wanachama milioni ngapi wanashobokea Doctorate feki????suala la Kikwete mfano kupewa Degree ya heshima linailetea vipi nchi shida,mtu kama hana uwezo na Makamba wake msiseme wanachama wa CCM,kwani sie ndo tulimpa,si alipewa na vyuo vikuu tena kingine cha nje ya nchi?????Tunaacha kujadili DOWANS,Katiba,ufisadi unaoendelea tunaleta thread za Degree za heshima? zinatulisha sisi au kutuletea pembejeo za kilimo na madawa hospitali,kujenga barabara??? NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK,many of the CCM members do not even know that he has that doctorate.
safari hii mtajibeba na hizo cheap generalization na arguments ( Sitta,Salim Ahmed Salim, Mwakyembe,Magufuli,Tibaijuka na hao wote wanachama milioni ngapi wanashobokea Doctorate feki????suala la Kikwete mfano kupewa Degree ya heshima linailetea vipi nchi shida,mtu kama hana uwezo na Makamba wake msiseme wanachama wa CCM,kwani sie ndo tulimpa,si alipewa na vyuo vikuu tena kingine cha nje ya nchi?????Tunaacha kujadili DOWANS,Katiba,ufisadi unaoendelea tunaleta thread za Degree za heshima? zinatulisha sisi au kutuletea pembejeo za kilimo na madawa hospitali,kujenga barabara??? NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK,many of the CCM members do not even know that he has that doctorate.