safari hii mtajibeba na hizo cheap generalization na arguments ( Sitta,Salim Ahmed Salim, Mwakyembe,Magufuli,Tibaijuka na hao wote wanachama milioni ngapi wanashobokea Doctorate feki????suala la Kikwete mfano kupewa Degree ya heshima linailetea vipi nchi shida,mtu kama hana uwezo na Makamba wake msiseme wanachama wa CCM,kwani sie ndo tulimpa,si alipewa na vyuo vikuu tena kingine cha nje ya nchi?????Tunaacha kujadili DOWANS,Katiba,ufisadi unaoendelea tunaleta thread za Degree za heshima? zinatulisha sisi au kutuletea pembejeo za kilimo na madawa hospitali,kujenga barabara??? NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK,many of the CCM members do not even know that he has that doctorate.