N-handsome
JF-Expert Member
- Jan 23, 2008
- 2,453
- 560
Hamna kitu kamjamaa kametumia State House Resources kujijenga huko Bumbuli na kulaghai wananchi kuwa ana baraka za Ikulu kugombea hilo jimbo siku nyingi tu. Na ukweli usiokua na shaka haka kamjamaa si ndio kalituandikia hutoba ya mbayuwayu? :A S-eek: hakuna jipya
