Shy,
nimesubiria muda mwingi sana uende mahakamani lakini naona kimya. Nilichosema kuwa wewe unahusishwa kwenye ile skendo ya kuwakamata wana JF bado nastand by that na sifuti statement yangu so you can go ahead and do what you want!
haya mambo ya kutisha watu umeyatoa wapi tena? bado nakuuliza swali kama ulifaidika na nini wana JF walipokamatwa?
Huyu shy kweli ni nishai .Mbaneni mbavu huyu anaonekana ana mengi huyu .