bushland
JF-Expert Member
- Mar 6, 2015
- 7,015
- 4,985
Ikulu, uwiiiieWaenda wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikulu, uwiiiieWaenda wapi
Nyeusi Ni Nyeusi Daima, Haiwezi Kuwa Nyeupe Kamwe!! Huo Ni Ukweli, Kama Ni Kwa Uchapakazi Ndio Kigezo Cha Wale Waliokuwa Mawaziri Wa Awamu Ya 4, Kurejea Ktk Awamu Ya 5, Makamba Amefanya Kipi Hasa!!!?? Hebu Mtuambie Hapa Tuone!! ZAIDI Ya Huo Mchango Wake, Na Timu Yake Pale Mlimani City!! NDIO Maana Anajiamini!!!! Kama Hautaki, Hiyo Ni Silika Yenu!!!...teh teh teh..jidanganyeni tu!
Unamaanisha ufundi wote ule aloufanya kuhakikisha mnashinda kwa kila njia mmemgeuka? Kweli binadam hana shukranMakamba ni mamluki as jk hafai kwenye serikali ya magufuli kweli masafara wa mamba kenge nao wamo
Kwa ufahamu wako hili zoezi lina madhumuni gani? Kwanini iwe haramu mwananchi kuwa na mali nyingi atakiwe kujieleza na iwe si haramu kwa mtumishi wa serikali kuwa na mali nyingi hailingani na pato lake.hata angeweka wazi mali walizonazo, ingesaidia nini? Ni haramu kuwa na mali nyingi?
Alifanya makusudi ili arushwe hewani hivyo kupata wasaa mwingine wa kusikika na public.Yule jamaa ni strateger, anajiamini
sentensi tata mkuu, changanua!Dkt. Tulia kafanya nini tena? Mbona mwamtaja?
Twambie kama ulisha ona fomu ya Obama, Mitt Romney, McCain au yeyote huko. Usijifanye unajua.