Tetesi: Makamba hakurejesha fomu, alindwa

Status
Not open for further replies.
...teh teh teh..jidanganyeni tu!
Nyeusi Ni Nyeusi Daima, Haiwezi Kuwa Nyeupe Kamwe!! Huo Ni Ukweli, Kama Ni Kwa Uchapakazi Ndio Kigezo Cha Wale Waliokuwa Mawaziri Wa Awamu Ya 4, Kurejea Ktk Awamu Ya 5, Makamba Amefanya Kipi Hasa!!!?? Hebu Mtuambie Hapa Tuone!! ZAIDI Ya Huo Mchango Wake, Na Timu Yake Pale Mlimani City!! NDIO Maana Anajiamini!!!! Kama Hautaki, Hiyo Ni Silika Yenu!!!
 
Makamba ni mamluki as jk hafai kwenye serikali ya magufuli kweli masafara wa mamba kenge nao wamo
Unamaanisha ufundi wote ule aloufanya kuhakikisha mnashinda kwa kila njia mmemgeuka? Kweli binadam hana shukran
 
hata angeweka wazi mali walizonazo, ingesaidia nini? Ni haramu kuwa na mali nyingi?
Kwa ufahamu wako hili zoezi lina madhumuni gani? Kwanini iwe haramu mwananchi kuwa na mali nyingi atakiwe kujieleza na iwe si haramu kwa mtumishi wa serikali kuwa na mali nyingi hailingani na pato lake.
 
Ingia kwenye website ya jumba jeupe utapata hakuna fyokofyoko kile kila kitu hadharani
Twambie kama ulisha ona fomu ya Obama, Mitt Romney, McCain au yeyote huko. Usijifanye unajua.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…