Makamba, Mwigulu au Nape watakuja kuwa ma Rais wazuri sana!

Makamba, Mwigulu au Nape watakuja kuwa ma Rais wazuri sana!

NIMEONA

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2019
Posts
3,862
Reaction score
5,693
Changamoto kubwa, nionavyo mimi, ya nafasi ya uraisi ni kusita kufanya maamuzi kutokana na labda kuogopa lawama na kelele kutoka kwa wananchi na wadau wengine.

Makamba, Mwigulu na Nape;
Hawa matusi yameshamalizika ya kuwatukana kabla ya kufanya lolote, sijui kama kuna tusi la kuwatukana limebaki.

Hawa wameshapewa kila aina ya uzushi na kashfa kiasi sijui kama kuna uzushi mwingine umebaki. Hawa wameshaonyeshwa chuki na wawachukiao za kiwango cha mwisho, sijui kama kuna kipande cha chuki hawajaonyeshwa hawa jamaa. Kama Makamba mpaka mtu aliandaliwa kipindi fulani na kulipwa mamilioni kwa ajili ya kudeal na yeye tu.

Pamoja na hayo yote, hawa jamaa bado wapo wanakomaa na kupambana kivyao!

Hayo yote naona yamewakomaza sana na kuwapa ujasiri hawa jamaa kiasi kwamba ikitokea mmojawapo atapata nafasi ya juu na kuwa Rais hawawezi kusita kufanya maamuzi kwa wakati na stahiki maana hatokuwa na cha kuhofia kwa kuwa lawama zilishamtangulia tayari kabla ya yeye kufika hivyo ameshazizoea.

Nawasilisha.
 
Hata kwa goli la mkono hawapati hiyo nafasi.

Wabinafsi sana hao na hawajali mahitaji ya Wananchi.
 
Hao watu kama mimi ningekua raisi ata kazi ya ukarani wa masijala wasingepata. Tatizo la nchii yetu watu makini hawaingii kwenye siasa.

 
Changamoto kubwa, nionavyo mimi, ya nafasi ya uraisi ni kusita kufanya maamuzi kutokana na labda kuogopa lawama na kelele kutoka kwa wananchi na wadau wengine.

Makamba, Mwigulu na Nape;
Hawa matusi yameshamalizika ya kuwatukana kabla ya kufanya lolote, sijui kama kuna tusi la kuwatukana limebaki......
Hawa wameshapewa kila aina ya uzushi na kashfa kiasi sijui kama kuna uzushi mwingine umebaki.....
Hawa wameshaonyeshwa chuki na wawachukiao za kiwango cha mwisho, sijui kama kuna kipande cha chuki hawajaonyeshwa hawa jamaa. Kama Makamba mpaka mtu aliandaliwa kipindi fulani na kulipwa mamilioni kwa ajili ya kudeal na yeye tu.......

Pamoja na hayo yote, hawa jamaa bado wapo.....wanakomaa na kupambana kivyao!

Hayo yote naona yamewakomaza sana na kuwapa ujasiri hawa jamaa kiasi kwamba ikitokea mmojawapo atapata nafasi ya juu na kuwa raisi hawawezi kusita kufanya maamuzi kwa wakati na stahiki maana hatokuwa na cha kuhofia kwa kuwa lawama zilishamtangulia tayari kabla ya yeye kufika hivyo ameshazizoea.

Nawasilisha.
Mnawaza tu vyeo..badala ya maendeleo kwa wananchi....mnapenda watu wenye ujasiri wa ajabu ajabu kuliko kuwa na system yenye nguvu......
 
Ombea katiba isibadilike. Siku ukisika Katiba mpyaaaaaaaaa hiyooooooo. Watahamia Burundi
 
Changamoto kubwa, nionavyo mimi, ya nafasi ya uraisi ni kusita kufanya maamuzi kutokana na labda kuogopa lawama na kelele kutoka kwa wananchi na wadau wengine.

Makamba, Mwigulu na Nape;
Hawa matusi yameshamalizika ya kuwatukana kabla ya kufanya lolote, sijui kama kuna tusi la kuwatukana limebaki.

Hawa wameshapewa kila aina ya uzushi na kashfa kiasi sijui kama kuna uzushi mwingine umebaki. Hawa wameshaonyeshwa chuki na wawachukiao za kiwango cha mwisho, sijui kama kuna kipande cha chuki hawajaonyeshwa hawa jamaa. Kama Makamba mpaka mtu aliandaliwa kipindi fulani na kulipwa mamilioni kwa ajili ya kudeal na yeye tu.

Pamoja na hayo yote, hawa jamaa bado wapo wanakomaa na kupambana kivyao!

Hayo yote naona yamewakomaza sana na kuwapa ujasiri hawa jamaa kiasi kwamba ikitokea mmojawapo atapata nafasi ya juu na kuwa Rais hawawezi kusita kufanya maamuzi kwa wakati na stahiki maana hatokuwa na cha kuhofia kwa kuwa lawama zilishamtangulia tayari kabla ya yeye kufika hivyo ameshazizoea.

Nawasilisha.
Kuna Mmoja ana Sifa ya Uchawi na Uongo mwingine Dhuluma pamoja na Uwizi na mwingine Unafiki na Upumbavu hivyo sidhani kama Watanzania watawahitaji labda Wewe na Familia yako pekee.
 
Miaka rudi miaka nenda wanatajwa hao tu, hii nchi haina watu zaidi ya hao??? Halafu washafanya maajabu gani hadi waonekane wao ndio wanna vigezo?
 
Naona nyuzi za kuwaangalia upepo kama wanakubalika au laa hao labda wagombee Urais wa Yanga sio Nchi unakuta kiongozi hajui madhara ya TOZO anashawishi sheria iwepo Wananchi wakipiga kelele ndio anarudi kutoa maelezo ya marekebisho badala ya kufuta kabisa utadhani hii Nchi ipo Jangwani..
 
Changamoto kubwa, nionavyo mimi, ya nafasi ya uraisi ni kusita kufanya maamuzi kutokana na labda kuogopa lawama na kelele kutoka kwa wananchi na wadau wengine.

Makamba, Mwigulu na Nape;
Hawa matusi yameshamalizika ya kuwatukana kabla ya kufanya lolote, sijui kama kuna tusi la kuwatukana limebaki.

Hawa wameshapewa kila aina ya uzushi na kashfa kiasi sijui kama kuna uzushi mwingine umebaki. Hawa wameshaonyeshwa chuki na wawachukiao za kiwango cha mwisho, sijui kama kuna kipande cha chuki hawajaonyeshwa hawa jamaa. Kama Makamba mpaka mtu aliandaliwa kipindi fulani na kulipwa mamilioni kwa ajili ya kudeal na yeye tu.

Pamoja na hayo yote, hawa jamaa bado wapo wanakomaa na kupambana kivyao!

Hayo yote naona yamewakomaza sana na kuwapa ujasiri hawa jamaa kiasi kwamba ikitokea mmojawapo atapata nafasi ya juu na kuwa Rais hawawezi kusita kufanya maamuzi kwa wakati na stahiki maana hatokuwa na cha kuhofia kwa kuwa lawama zilishamtangulia tayari kabla ya yeye kufika hivyo ameshazizoea.

Nawasilisha.
Leo nilikuwa sina mpango wa kutukana mtu, itoshe kusema wewe ni kenge
 
Mmmh sawa bhana! Ila kuna muda niliaminigi kuwa January anaweza kutufaa kwenye kiti cha Urais lakini baada ya kupewa wizara ya Nishati .. mmh nikakosa imani kabisa.
Kwa upande wa Nape, Hapana asee. Nape anamajibu ya dharau sana hata nduguye Mchemba. Nape ameshindwa kuyabana makampuni ya simu kwenye mabando na hatimaye kuanza kuwajibu wananchi waliompa kura za kukaa hapo alipo majibu dharau sana na kuonyesha kwamba hayo wanayolalamikia ni ujinga tu.

Kwenye orodha labda yaani makamba, ila Nape na Mwigulu mmh hapana.
 
Changamoto kubwa, nionavyo mimi, ya nafasi ya uraisi ni kusita kufanya maamuzi kutokana na labda kuogopa lawama na kelele kutoka kwa wananchi na wadau wengine.

Makamba, Mwigulu na Nape;
Hawa matusi yameshamalizika ya kuwatukana kabla ya kufanya lolote, sijui kama kuna tusi la kuwatukana limebaki.

Hawa wameshapewa kila aina ya uzushi na kashfa kiasi sijui kama kuna uzushi mwingine umebaki. Hawa wameshaonyeshwa chuki na wawachukiao za kiwango cha mwisho, sijui kama kuna kipande cha chuki hawajaonyeshwa hawa jamaa. Kama Makamba mpaka mtu aliandaliwa kipindi fulani na kulipwa mamilioni kwa ajili ya kudeal na yeye tu.

Pamoja na hayo yote, hawa jamaa bado wapo wanakomaa na kupambana kivyao!

Hayo yote naona yamewakomaza sana na kuwapa ujasiri hawa jamaa kiasi kwamba ikitokea mmojawapo atapata nafasi ya juu na kuwa Rais hawawezi kusita kufanya maamuzi kwa wakati na stahiki maana hatokuwa na cha kuhofia kwa kuwa lawama zilishamtangulia tayari kabla ya yeye kufika hivyo ameshazizoea.

Nawasilisha.
Walipe kodi na wao.Na hakuna hata mmoja atakayekuwa rais hapo.
 
Back
Top Bottom