Pre GE2025 Makamba: Sisi CCM kwenye urais tumeshamaliza kazi, mgombea wetu ni Rais Samia

Pre GE2025 Makamba: Sisi CCM kwenye urais tumeshamaliza kazi, mgombea wetu ni Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), January Makamba amesema chama chao kimeshafanya uamuzi kuhusu kiti cha urais kwa kumteua Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea.

Soma Pia: Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025


“Sisi CCM kwenye urais tumeshamaliza kazi, mgombea wetu ni Rais Samia na kwa rekodi, uzoefu na ubunifu wake kwenye uongozi, hatuna shaka na ushindi utakuwa mkubwa. Kwa hiyo tutakwenda kumpigia kampeni kwa wananchi kwa nguvu na maarifa yetu yote na kwa kuwa amefanya mambo makubwa kwenye maendeleo, tuna uhakika na ushindi,”

 
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), January Makamba amesema chama chao kimeshafanya uamuzi kuhusu kiti cha urais kwa kumteua Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea.

“Sisi CCM kwenye urais tumeshamaliza kazi, mgombea wetu ni Rais Samia na kwa rekodi, uzoefu na ubunifu wake kwenye uongozi, hatuna shaka na ushindi utakuwa mkubwa. Kwa hiyo tutakwenda kumpigia kampeni kwa wananchi kwa nguvu na maarifa yetu yote na kwa kuwa amefanya mambo makubwa kwenye maendeleo, tuna uhakika na ushindi,”
January. whom are you fooling na utaacha lini unafiki? Kuna chawa waliukamia urais kama wewe na Mwigulu madilu Nchembwa?
 
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), January Makamba amesema chama chao kimeshafanya uamuzi kuhusu kiti cha urais kwa kumteua Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea.

Soma Pia: Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025

“Sisi CCM kwenye urais tumeshamaliza kazi, mgombea wetu ni Rais Samia na kwa rekodi, uzoefu na ubunifu wake kwenye uongozi, hatuna shaka na ushindi utakuwa mkubwa. Kwa hiyo tutakwenda kumpigia kampeni kwa wananchi kwa nguvu na maarifa yetu yote na kwa kuwa amefanya mambo makubwa kwenye maendeleo, tuna uhakika na ushindi,”

Once a chawa always a chawa! Chawa anataka aonekane tena!
 
Kijana huyu aangaliww Kwa umakini mkubwa nyendo zake.
 
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), January Makamba amesema chama chao kimeshafanya uamuzi kuhusu kiti cha urais kwa kumteua Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea.

Soma Pia: Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025

“Sisi CCM kwenye urais tumeshamaliza kazi, mgombea wetu ni Rais Samia na kwa rekodi, uzoefu na ubunifu wake kwenye uongozi, hatuna shaka na ushindi utakuwa mkubwa. Kwa hiyo tutakwenda kumpigia kampeni kwa wananchi kwa nguvu na maarifa yetu yote na kwa kuwa amefanya mambo makubwa kwenye maendeleo, tuna uhakika na ushindi,”

Makamba kiherehere chako kutaka kugombea urais ukisaidiwa na Nape kilisababisha mchinjiwe baharini mapema na bila shaka ni kazi toka Msoga akihofia ya hayati Ngoyai.
 
amenyauka kapauka
kuna njia ngumu amechagua
kujaribu kuwa anachotaka
anatia huruma
 
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, January Makamba, amesema kwamba chama chao kimeshafanya maamuzi kuhusu kiti cha urais kwa kumteua Rais Samia Suluhu Hassan kama mgombea na kwamba wanauhakika atashinda kutokana na turufu na rekodi nzuri ya mambo yaliyofanyika katika kipindi hiki.

Alisisitiza kuwa CCM ina uhakika wa kushinda kutokana na uzoefu wa Rais Samia, maarifa aliyonayo katika uongozi wake, pamoja na mchango wa chama chao katika kujenga na kuilinda amani ya Tanzania.

Makamba aliyasema hayo , wakati akizungumza katika kikao cha robo ya pili cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Bumbuli, Mkoani Tanga.

Makemba aliongeza kwamba wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa watapiga kampeni kwa nguvu, uwezo na maarifa yao yote waliyojaliwa na Mungu ili kuhakikisha mgombea wao anashinda, akisema kuwa dalili zote za ushindi kwa mgombea wao zipo wazi.

Makamba, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Bumbuli, alisema kwa upande wa wagombea Ubunge na Udiwani, kuna mchakato na mkeka wa wajumbe umeshatoka.

January Makamba alieleza kuwa wajumbe wa Halmashauri Kuu waliamua kufanya hivyo ili kupanua demokrasia, na kuwapa viongozi wa ngazi ya chini nafasi ya kusema nani anafaa kuongoza.

 
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), January Makamba amesema chama chao kimeshafanya uamuzi kuhusu kiti cha urais kwa kumteua Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea.

Soma Pia: Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025

“Sisi CCM kwenye urais tumeshamaliza kazi, mgombea wetu ni Rais Samia na kwa rekodi, uzoefu na ubunifu wake kwenye uongozi, hatuna shaka na ushindi utakuwa mkubwa. Kwa hiyo tutakwenda kumpigia kampeni kwa wananchi kwa nguvu na maarifa yetu yote na kwa kuwa amefanya mambo makubwa kwenye maendeleo, tuna uhakika na ushindi,”

Huyu Obama wenu akiwa nje ya mfumo anakua hana sifa yoyote yakiuongozi sisiemu konyo sana
 
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), January Makamba amesema chama chao kimeshafanya uamuzi kuhusu kiti cha urais kwa kumteua Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea.

Soma Pia: Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025

“Sisi CCM kwenye urais tumeshamaliza kazi, mgombea wetu ni Rais Samia na kwa rekodi, uzoefu na ubunifu wake kwenye uongozi, hatuna shaka na ushindi utakuwa mkubwa. Kwa hiyo tutakwenda kumpigia kampeni kwa wananchi kwa nguvu na maarifa yetu yote na kwa kuwa amefanya mambo makubwa kwenye maendeleo, tuna uhakika na ushindi,”

Makamba unaongea kuhusu democracy gani!!??? Mngeacha watu wachukue fomu apambanie nafasi na yeye, HAPO HAKUNA DEMOCRACY BALI NI MAVI YA POPO.
 
Back
Top Bottom