Makamba, unatumia muda mwingi kujibrand kuliko kupambana na mgao umeme

Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja
 
Binafsi nimeanza kumkumbuka Kalemani, Makamba sioni jipya naona giza tupu kila siku
 
Alitoa siku mbili atatoa suluhisho la kudumu kukatika kwa umeme mpaka Sasa hajaonekana.
Hamutaki matamuko tunataka meme usikatike.
Japo amemwaga wapambane jf wakumtetea,mtaangukua pua tu.
Jamaa anawaza 2030 mengine hayamhusu kabisa
 
Of course makamba anatumia nguvu nyingi kujidanganya na kelele za mitandaoni kuwa anatosha kuingia ikulu. Watanzania sio wajinga. Refer mwigulu nchemba na kampeni zake za mawe...lol
 
Sasa kama nyinyi ni TANESCO, mkisoma hiyo makala mtakuwa mmeona tatizo liko....It is too much, it is too frustrating.
 
2030 ni mbali sana.kama ni kweli anajihangaisha bure.na kama kuna back up nyuma yake basi wamemchagulia wrong ministry..lakini binafs sioni ubaya kwa mtu kuwa na ambition/ ndoto ya kuwa raisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…