Elections 2010 Makamba: Viongozi CHADEMA wana akili ndogo

Wakuu mbona hatuambiwi ni MATUSI gani ambayo yanazungumziwa? Nakumbuka wakati wa kongamano la Taasisi ya Mwalimu Nyerere baadhi ya viongozi wastaafu wa ngazi ya juu wenye heshima na hadhi kubwa humu nchini walitoa madukuduku yao kuhusu ambavyo hawakubaliani na jinsi ambavyo Serikali inaendesha baadhi ya mambo. Makamba akakurupuka na kudai kwamba viongozi hao wamemtukana Rais! Kwa Mzee Makamba, kutoa dukuduku lako dhidi ya Rais ama kiongozi wa CCM ni kutukana! Ama kweli CCM wamefulia ile mbaya.
 
MAKAMBA si mwehu.. Ni mwendawazimu.:glasses-nerdy:
 
Hata mtoto wake anajuakuwa baba yake hamnazo. Haina haja ya kujadili saana alichoongea.


hivi huyu Makamba Jeshini alikuwa Kitengo gani?, alipoigana vita yoyote huyu?, mbona anaonekana ana akili za kushikiwa?
 
point hapa wenye kuzungumzia watu baada ya issue hili ndilo linapelekea simple mind kama za akina hawa
 
Wana JF,

Sasa tukianza kuongerea swala la nani anaakili na nani hana akili na nani anaakili za grade one na nani ana za grade two tutakuwa sasa hatuijui siasa ni kubwabwaja tuuu unajua mwenzio akikutwanga kimtindo ndani ya siasa tumia akili kujibu kwa hoja na sio kujibu kwa kuonyesha kuwa wewe nawewe huko kwa grade izo na bahati mbaya grade yako ionekane ndio ya mwisho sasa ndipo hapo utawafanya wananchi wakuone wewe ndio mpuuuzi wa grade isiweza kutamkwa kwa jamiii.

Sasa sijui viongozi hawa na siasa hii hujifunzia wapi propaganda zao na kushindwa kujibwa kwa kutumia hoja.

Yaani katika siasa usipo angalia Umri,alama za nyakati,na unachokiongea kwa wananchi vikipishana tuuu imekula kwako.

Kwa viongozi wetu wa CCM mpigwapo dongo na vyama vingine mwatakiwa nanyi kukaa na kujua mwatakiwa kujibu nini nasio tu kukurupuka nyie ndio mwaiongoza nchi bado mnakuwa na woga wa aajabu kiasi kwamba hata sisi twawashuku uwezo na utendaji kazi wenu ndani ya chama na serikali
 
I like this Makamba guy.....the bomb thrower in chief...hahahahahaaa......
 

Very interesting.
 
Makamba anachachawa na makomandoo. Dr.Slaa yupo juu na huo ni ukweli usiopingika. Inaonekana anaipenda CHADEMA,kama vipi anakaribishwa kwa wateule wa bwana!!


Please please, hakuna kukaribishwa huyu nungayembe! mtupu namna hiyo ni mzigo usiobebeka akiingia Chadema.
 
Hivi makamba analala usingizi kweli? Naona afya yake kama mtu mwenye kisukari na mwenye msongo wa mawazo...........
Ila Slaa anatisha, ndiyo maana hawalali na amewavuruga vilivyo!
 


Hebu jibuni hizo hoja jamani, stop cherry picking hoja ambazo ziko upande wenu tu. Halafu mkiambiwa mna akili ndogo mnalalamika. Ukiangalia kwa undani majority ya posts za Chademanistas humu ndani zina ufinyu wa mawazo.
 
Afadhali viongozi wa CHADEMA wenye akili ndogo kuliko yeye (Makamba) asiye na akili kabisa, kiasi kwamba hata mwanawe Januari alikiri kuwa babaye ni mropokaji.

Makamba ni mwehu

MAKAMBA si mwehu.. Ni mwendawazimu.:glasses-nerdy:

mmh hapa ni conclude tu kwamba Kichwa cha makamba kitakuwa ni sifuri.......................sasa najiuliza kwa nini ccm bado wanamtumia kama spokesman wao!!!!
 
Hebu jibuni hizo hoja jamani, stop cherry picking hoja ambazo ziko upande wenu tu. And maybe you guys (CHADEMA) need a seasoned and a more effective attack dog.

Heheheheeee...you couldn't stay out of this one, could you?
 
Duh hii mbaya sana.
Diploma unapigwa DISCO? shughuli ipo kweli kwenye kichwa cha huyu mtu. Ndo maana ktk kura za maoni alikuwa anasindikizwa na Msekwa. kisha kila aliloongea Makamba, msekwa alilirudia akisema kuweka rekodi sawa. Ina maana Aliyemteua kuwa katibu mkuu hakujua anateua kilaza? ama ndo zile kuteua watu dhaifu ionekane weye ndo unafanyakazi peke yako?
 
Mi nadhani Makamba anasema kitu kama kweli vile, tokea kampeni zianze mimi sijaona wala sijasikia chadema wakinadi sera wanaongea watu tu, nilishangaa mpaka kusikia wanazusha mambo ya uwongo, kueleza mambo bila ya ushahidi na utafiti wowote kama kawaida yao. Chadema wamekuja na mpya uchaguzi huu, wanakurupuka kurupuka tu, mimi siwakumbuki kuwa hivi hapo kabla, niliwajuwa kuwa ni chama makini chenye watu waelewa hawaongei ovyo ovyo bila ya utafiti.

Ajabu juzi namsikia Mbowe anam defend mgombea wake wa STD7 kwa kudai kuwa hata marehemu Mzee Idris Abdul wakyl,(alyekuwa rais wa awamu ya 4 Zanzibar) alikuwa ana elimu ya kiwango hicho, wakati ni uwongo mtupu, Mzee Idris amesoma kwa kiwango cha elimu ya chuo kikuu (alisoma Makerere University, Uganda), hili hata mtoto mdogo Zanzibar analijuwa.
 

Huyu naye anadanganya watu kuwa ni mwanachama wa CUF. Au ndio ndoa ya CUF na CCM imewekwa hadharani?
 
..ku-disco IDM Mzumbe + nafasi za kuteuliwa tu maishani mwake + kumpa cheo CCM nyumba ndogo yake(Tambwe) + kujikomba kwa epileptic= akili za Makamba (yaani ndoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooogo)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…