Elections 2010 Makamba: Viongozi CHADEMA wana akili ndogo

Makamba angekuwa na akili, asinge ruhusu mgonjwa kugombea,kama mgonjwa ndo huyo bora, thithiem si michosho?
 
Kama ni sera tumeimbiwa kila mara. Kama kuna ushahidi wa rekodi mbaya lazima zitajwe ili watu wachague watu wasio na rekodi chafu. Mfano kama kweli kuna ushahidi kuwa 2005 pesa ziliibwa serikalini ili kufanyiwa kampeni, lazima tujue ili tusije chagua wezi. HIVO HISTORIA INATAKIWA ILI TUFANYE MAAMUZI SAHIHI.
Sio busara kukaa kimya wakati madudu yamefanywa na watawala, eti watu wanyamaze.
 
hakuna wala haja ya kuumiza kichwa na makamba... nadhani yeye ndio mwenye matatizo na chanzo cha matatizo mengi humu nchini kwa ku-vuvuzela chochote kilicho mbele yake

zama zake ziliisha miaka hiyo sijui kwanini bado anakula ruzuku ya watanzania
 
Hahahah well hili linafurahisha haswa. Makamba kweli aachwe abaki kuwa Makamba. <simple mind people
 
Hebu jibuni hizo hoja jamani, stop cherry picking hoja ambazo ziko upande wenu tu. Halafu mkiambiwa mna akili ndogo mnalalamika. Ukiangalia kwa undani majority ya posts za Chademanistas humu ndani zina ufinyu wa mawazo.

Selemani hakai mbali na thread za Makamba.
Muda si mrefu utamwona kwenye thread za Mbowe.....ha ha ha ha
 
huyu si ndio alisema rais kadanganywa suala la uraia wa Bashe...sasa mwenye akili ndogo nani?yeye na huyo rais wake au nani?? Makamba pleaseeeeeee funga hilo domo lako unatutia hasira bure hapa
 
Hebu jibuni hizo hoja jamani, stop cherry picking hoja ambazo ziko upande wenu tu. Halafu mkiambiwa mna akili ndogo mnalalamika. Ukiangalia kwa undani majority ya posts za Chademanistas humu ndani zina ufinyu wa mawazo.

Hahahahahahahah

 

Mwambieni Makamba awahi Airport kumpokea Mkwewe aliyempeleka Amerika kujifungua kwa sababu tu Tanzania hakuna huduma nzuri za Afya na kutaka mjukuu wake apate Uraia wa Marekani.......Wale watanzania wa kule Bumbuli wakiachwa wanajifungua nyumbani bila huduma nzuri za Afya.Hawa ndio viongozi tunaowataka Tanzania!
 

Ouuuch....no you didn't!!!

Selemani what say you on this one?
 
NN,

he he he he ... Selemani ametoka kifungoni leo. Kwa jitihada zake, amejishindia hii toka kwa timu Kikwete:


Kwani Sele alikuwa kifungoni?

Halafu hizi totoz unazitoa wapi bana? Loh!!!!!!
 
Kwani Sele alikuwa kifungoni?

Halafu hizi totoz unazitoa wapi bana? Loh!!!!!!

Hizi totoz ziko kwenye kampeni ya Kikwete. Inabidi uingie CCM tu mazee maana huko mambo yake sio mchezo ---- sifa zote kwa muumba wa mbingu na nchi.

Hapa natafuta picha ya Njoki (sijui kama nimekosea jina).

Najua tu Rev Masa atakuwa nayo maana nasikia Njoki alikwenda fanya maombi kwa mzee wa southern gospel
 
Makamba acha kukurupuka, eti

  • mwenye akili ndogo yuko tayari kushiriki katika mdahalo lakini mwenye akili nyingi yuko mbioni anatafuta namna ya kukwepa !
  • mwenye akili ndogo haogopi kufanya mtihani huku mwenye akili nyingi anaingia mitini akipanga namna ya kuiba mtihani !
  • mwenye akili ndogo anayo maelezo umasikini wetu unasababishwa na nini, mwenye akili nyingi hajui kwa nini tu masikini !
  • mwenye akili ndogo anao mkakati wa kuondokana na uchafu katika jamii, mwenye akili nyingi haoni hata hatari ya kuishi na uchafu !
  • mwenye akili ndogo haogopi kupambana na mafisadi, mwenye akili nyingi hana mpango wowote wa kulinusuru taifa kutoka kwenye makucha yao !
Ooh masikini Makamba hata huwezi kutambua kati ya hawa yupi hana hata chembe ya akili. Hakuna kibaya kama utumwa wa akili na Makamba hapa katia fora !
Ninavyojua kwenye kampeni hutaji tu sifa zako kwa nini uchaguliwe, unataja pia mapungufu ya mpinzani wako kwa nini asichaguliwe. Hivyo kutaja mapungufu ya CCM na mgombea wake ni kampeni halali kabisa na haikwepeki labda Tanzania kampeni ina maana tofauti kabisa na kwingineko duniani. Kinachogomba hapa ni kuwa kuna jitihada za kufagia chini ya kitanda uchafu wa CCM wa miaka karibu hamsini na hili bila shaka iwe Chadema au CUF hawawezi kulikubali.
 


Una maana Dokii?

 
point hapa wenye kuzungumzia watu baada ya issue hili ndilo linapelekea simple mind kama za akina hawa

Yaani na ww sijuhi nduguye makamba wote hamnazo ,umeleta hii habari ukazani makamba anaongea point kumbe anaharisha maskini kijitu cha pwaniii!!!!!!!!!!!! Yaani ume leta hiyo habari kusaidia kuonyesha pumba za mtoa pumba maarufu afrika mashariki na kati ambazo atukuzisikia wengine
 
Mutu,
Halafu ukiangalia hii mitu ya pwani haijaonekana hapa tangu uchaguzi iliyopita. Ndio wameingia kama nzige.
 

Hapa ndiyo mnaniacha hoi nyie watu hicho chama. Makamba ni bonge la Professor ukifananisha na mgombea mwenza wa Slaa. Mmefikiria hilo? Kwa namna yoyote ile haiwezekani kabisa Slaa akapata Urais wa nchi hii kwa sababu hiyo kituko yenu.
 
Mutu,
Halafu ukiangalia hii mitu ya pwani haijaonekana hapa tangu uchaguzi iliyopita. Ndio wameingia kama nzige.

Easy mzee wangu Jasusi,

Najua inakera lakini ndio hivyo tu hakuna cha kuwazuia. Wanaonesha vile kampeni ya Kikwete ilivyoishiwa sera na kila kitu. Kuwepo kwao hapa kunaifunua vyema sana kampeni ya Kikwete.

Me likes it ....lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…