Makamba Yuko Mahutihuti India

Makamba Yuko Mahutihuti India

Bongo hakuna umeme ndio maana habari hazisafiri.
 
KATIKA GAZETI LA LEO MWANAHALISI KUNA HABARI ZA KUWA MAKAMBA AMELAZWA HOSPITALI YA APOLLO HUKO NEW DELH,

mwenye data amwage hapa isije ikawa wameshamkolimba hawa, manake hawaaminiki wanahangaika sana hawa

Unataka data gani wakati wewe umeshasema kuwa yupo mahututi huko India, na jinsi ulivyokuwa unakumbilia kuleta udaku huu hata kuandika ulikosea..
Makamba Yuko Mahutihuti India
 
Tungewekeza katika hospitali zetu wala tusingekuwa na haja ya kwenda India kila mara, wangapi wanaweza kumudu kwenda India.

Ndiyo Ujamaa na Kujitegemea?

Aibu.
UKIJENGA HOSPITALI NZURI HAPA UTACHOTAJE PESA YA PER DM
 
Kama alivyodokeza Pezzonovante, si ajabu kaenda huko ili tu kuongeza mtaji, maana kuchota hivihivi sasa hivi kidogo ngumu...
 
Kada..wewe ndiye tunayekutegemea kwasababu si unajua inawezekana ni yeye aliyezipokea pesa za EPA wakiziingiza kwenye kampeni ya CCM?
Je nini kinaendelea bongo?

wee ! nitoe kwenye hilo balaa mie.. lol.. nisije kupelekwa india na mie !lol
 
Sijui ni kwa muda gani tutaendelea kujiaibisha,kwa kutibiwa nje kwa gharama kubwa.Ni saa ya ukombozi

Huyu ni kiongozi bwana .....jana si uliona hatukuwa na umeme nchi nzima na dizeli imekuwa ghali sana hivyo generator za mahospitalini yalikuwa off...

Wanyonge tuu ndio hutibiwa hapa nchini
 
Tungewekeza katika hospitali zetu wala tusingekuwa na haja ya kwenda India kila mara, wangapi wanaweza kumudu kwenda India.

Ndiyo Ujamaa na Kujitegemea?

Aibu.

Mkuu ni kweli kabisa kuhusu kuboreshwa kwa Hospitali zetu ila sometimes jamaa huwa wanakula Tour hasa wanapoona Mambo magumu.
 
lol.. aliwahi mwambia binti mmoja eti atamlea lakini yeye na ndom m2 na adui eti ana allergy nazo...sasa sijui...

Mnyambiss, mwanangu, ngoja niwatafsirie Wakuu:

Aliwahi (Makamba, that is) kumwambia msichana atamtunza lakini yeye (Makamba) na protection ni mtu na adui. Hawezi kuzitumia. Ana alergy nazo. Sasa haijulikani kama ndo hizo tabia za kuto jikinga zinammaliza huko India aliko mahutihuti!
 
Ndiyo, lakini amelazwa pale hospitalini kwa check up ya kwaida tu; anatarajiwa kurudi nyumbani jumatatu.
 
aaah jamaa siku ya walivyokuwa wanawajibu CUF alionekana mgonjwa mdomo wa juu ulivimba na sura kwa ujumla hukawii sikia figo imefail
 
Fisadi Mkapa naye ataumwa na ugojwa wa ajabu hivi karibuni
 
kwa kuwa uv-ccm, na chiligati wao ni vimbelembele wa kukanusha tuhuma dhidi yao, na kwa kuwa tangu gazeti hili la mwanahalisi kiandike hizi habari hakuna aliyekanusha, na kwa kuwa siku za karibuni gazeti hili limekuwa linaaminika kwa kutoa habari ambazo baadaye huthibitika kuwa ni za kweli, KWA HIYO NI KWELI KUWAA HUYU BWANA LUTENI KANALI MAKAMBA NI MGONJWA SANA, TUMWOMBEE APONE
 
kwa kuwa uv-ccm, na chiligati wao ni vimbelembele wa kukanusha tuhuma dhidi yao, na kwa kuwa tangu gazeti hili la mwanahalisi kiandike hizi habari hakuna aliyekanusha, na kwa kuwa siku za karibuni gazeti hili limekuwa linaaminika kwa kutoa habari ambazo baadaye huthibitika kuwa ni za kweli, KWA HIYO NI KWELI KUWAA HUYU BWANA LUTENI KANALI MAKAMBA NI MGONJWA SANA, TUMWOMBEE APONE

Mkuu hata tukimwombea atatusaidia nini????? Mimi sioni chochote anachofanya zaidi ya kupayuka tuu, hana jipya. On top hana siri moyoni kama aliyokuwa nayo balali. Aende zake tu anatuzibia nafasi...khaa nimeshajichokea mimi.
 
Damu ya wapemba inammwagikia au??????????????
Washambaa wasema Makamba yuko MATIUTIU.
Anyway tunakuombea upone.
 
Hebu fanyeni hima muhakikishe hii ishu ,maana huyu jamaa akiipata hii itabidi watu watafute pa kujificha ,si mnamjua akianza kurwap hana dogo.
 
mm naona hakuna haja ya kumwombea apone kwani hana msaada wowote ktk nchi zaidi zaidi ndio anaye wakingia kifua mafisadi...na mafisadi wanapumua mgongoni mwa Makamba bora afe tu
 
Hana Faida Huyu. Kwa Sasa Hivi Kuna Maombi Kwa Mungu Ili Awashughulikie Mafisadi Wooooooooooooote. Sasa Wakae Tayari Kwani Hawatatuibia Wakabaki Na Furaha. No. Lazima Watakutana Na Mapigo Kama Hayo.
 
Back
Top Bottom