Makambo aikimbia Yanga ajiunga Horoya ya Guinea

Nachojua Makambo hapo Yanga alikua km mpita njia tu , yaani alikua anajitangaza ,Yanga wanamlipa mshahara tu, hakusajiriwa kwa hela , toka ametoka lupopo alikua huru ,mkataba wake unamruhusu kuondoka muda wowote

Km Yanga watapata hela basi ni kiasi kdg tu
 
Habari mpya ni kwamba leo Mshambuliaji tegemeo wa Yanga Heritier Makambo amejiunga na Horoya ya Guinea kwa mkataba wa miaka mitatu, habari zaidi zitafuata.
Horoya ndio timu gani. Hivi kwenye 8 bora africa walioingia simba walikuwepo? Sijawahi isikia hii timu
 
Sawa Sawa Mkuu ,huyo DCMP walishindana Tabia , mtoto wa Kinshasa huyo ,hata Fc lupopo pia walishindwana hivyo hivyo , hapo Yanga watapata pesa kdg sana
 
Mkuu mbona unajichanganya unasema hakua na mkataba Mara unasema tena mkataba wake unamruhusu kuondoka sasa tukueleweje?
Mchezaji anaruhusiwaje kucheza ligi huku akiwa hana mkataba/ makubaliano maalumu na klabu?
 
Kwa ulaya hili jambo haliwezekani
Lakini kwa afrika bado hakuna
Kwa ulaya hili haliwezekani ila kwa Afrika kocha anaweza kuwa wakala bila shida yoyote.
 
Sasa ka unajua kua hao mikia walikosea kwa kutokujua mauzo ya Okwi mbona mnafanya Yale Yale?.
Au wote ni mikia ila imetofautiana nyie wa kwenu wa mbuzi ila wao wa ng'ombe
πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Mkuu mbona unajichanganya unasema hakua na mkataba Mara unasema tena mkataba wake unamruhusu kuondoka sasa tukueleweje?
Mchezaji anaruhusiwaje kucheza ligi huku akiwa hana mkataba/ makubaliano maalumu na klabu?
πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…