Sio mchezaji wa yanga ni wa motema pombe.... Hupo?Usishangae kuona Yanga hawapati chochote kutokana na hayo mauzo !!!
Kabisa mkuu.. umri unaenda kila siku kuwadai yanga wakati kipaji unacho ni ujingaJamaa kachagua team nzri tu Acha akakuze soka lake
Kumbe na wewe unafatilia ya Simba... Acha tuendelee na mjadalaMikia acheni kufuatilia Yanga.. Kwenu kunawaka moto MO Anataka 6B zake au wampe hati za Msimbazi. . Tafakuri
Kabisa.. huwa nashangaa eti wakidai malipo yao mnawatukana.Daah! Ila Mtani kwa kuwa mpira ndio maisha yake wacha aende tu huenda kuna cha zaidi atakipata huko.
Horoya ndio timu gani. Hivi kwenye 8 bora africa walioingia simba walikuwepo? Sijawahi isikia hii timuHabari mpya ni kwamba leo Mshambuliaji tegemeo wa Yanga Heritier Makambo amejiunga na Horoya ya Guinea kwa mkataba wa miaka mitatu, habari zaidi zitafuata.
Sawa Sawa Mkuu ,huyo DCMP walishindana Tabia , mtoto wa Kinshasa huyo ,hata Fc lupopo pia walishindwana hivyo hivyo , hapo Yanga watapata pesa kdg sanaDili la Makambo kujiunga na Horoya FC , Yanga kusubiri hisani tu ya mchezaji huyo na kocha wake kwakuwa alikuwa Yanga kwa mkopo akitokea DC Motema Pembe . Agent Mwinyi Zahera na klabu hiyo ndio wenye dhamana ya mwisho katika kumuuza mshambuliaji huyo mzee wa kuwajaza aliyegeuka kipenzi cha wanayanga kwa muda mfupi.
Samuel Samuel
Futilia mpira , bonge la timu hiloHoroya ndio timu gani. Hivi kwenye 8 bora africa walioingia simba walikuwepo? Sijawahi isikia hii timu
Kweny champions league ilikuwepo?Futilia mpira , bonge la timu hilo
Mkuu mbona unajichanganya unasema hakua na mkataba Mara unasema tena mkataba wake unamruhusu kuondoka sasa tukueleweje?Nachojua Makambo hapo Yanga alikua km mpita njia tu , yaani alikua anajitangaza ,Yanga wanamlipa mshahara tu, hakusajiriwa kwa hela , toka ametoka lupopo alikua huru ,mkataba wake unamruhusu kuondoka muda wowote
Km Yanga watapata hela basi ni kiasi kdg tu
Horoya ndio timu gani. Hivi kwenye 8 bora africa walioingia simba walikuwepo? Sijawahi isikia hii timu
Kwa ulaya hili haliwezekani ila kwa Afrika kocha anaweza kuwa wakala bila shida yoyote.Yaani kocha anakuwa wakala wa mchezaji how comes? Kweli Bongo soka hakuna ladha kabisa Kocha anakuwa anawachezaji wake kwenye timu na Yanga mkakubali tu, anaaga anaenda Congo kumbe anakwenda kupiga dili na watu wanaachwa wamesinzia tu, tangu lini mchezaji anauzwa na timu iliyokopeshwa mchezaji yaani mmekopeshwa mchezaji halafu nyinyi mumuuze tena hiyo inakuja kweli?. Zahera anacheza na akili zenu kawaona kabisa ni vichwa maji halafu eti mmsubiri aje ndio muulize kuhusu hiyo ofa ya mchezaji na wakati tayari ameshatinga uzi wa HOROYA, Acha niweke nukta hapo.
Sasa ka unajua kua hao mikia walikosea kwa kutokujua mauzo ya Okwi mbona mnafanya Yale Yale?.Mikia bwana! Hela za Okwi zililiwa mbona hatujasikia ukitoa japo maoni kulaani, leo ulalamikie mauzo ya Makambo!
πππππSasa ka unajua kua hao mikia walikosea kwa kutokujua mauzo ya Okwi mbona mnafanya Yale Yale?.
Au wote ni mikia ila imetofautiana nyie wa kwenu wa mbuzi ila wao wa ng'ombe
πππππKwa ulaya hili jambo haliwezekani
Lakini kwa afrika bado hakuna
Kwa ulaya hili haliwezekani ila kwa Afrika kocha anaweza kuwa wakala bila shida yoyote.
ππππππSimba uwalinganishe na horoya?
Horoya wapo juu zaidi ya simba ni sawa na kuwalinganisha Nyuki na nzi.
ππππMkuu mbona unajichanganya unasema hakua na mkataba Mara unasema tena mkataba wake unamruhusu kuondoka sasa tukueleweje?
Mchezaji anaruhusiwaje kucheza ligi huku akiwa hana mkataba/ makubaliano maalumu na klabu?