SPECIAL TMN
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 1,111
- 807
πππππππHoroya ndio timu gani. Hivi kwenye 8 bora africa walioingia simba walikuwepo? Sijawahi isikia hii timu
πππππChurachurani njaa tupu
Hupo = UpoSio mchezaji wa yanga ni wa motema pombe.... Hupo?
viongozi wa yanga wapo smart....wanajua wakisema kauzwa kwa utawala huu....TRA watadai chaoSasa ka unajua kua hao mikia walikosea kwa kutokujua mauzo ya Okwi mbona mnafanya Yale Yale?.
Au wote ni mikia ila imetofautiana nyie wa kwenu wa mbuzi ila wao wa ng'ombe
Hahahaha, OK mkataba wake wa maelewano ,Yanga hawakumpa hela ya usajiri yy alikua analipwa mshahara/posho ,ni km Zahera tu ,na wako chini ya MTU na sio YangaMkuu mbona unajichanganya unasema hakua na mkataba Mara unasema tena mkataba wake unamruhusu kuondoka sasa tukueleweje?
Mchezaji anaruhusiwaje kucheza ligi huku akiwa hana mkataba/ makubaliano maalumu na klabu?
Imefungwa robo fainali na waydad CasablancaKweny champions league ilikuwepo?
Ni biashara nzuri sana ,angalia bei ya HazardHivi hii biashara ya kuuza watu kumbe badly inaendelea?
Alimpa nani?Mikia acheni kufuatilia Yanga.. Kwenu kunawaka moto MO Anataka 6B zake au wampe hati za Msimbazi. . Tafakuri
Ilikuwemo.. ilifika roboKweny champions league ilikuwepo?
Ok. Bas timu kubwaIlikuwemo.. ilifika robo
Swali la mwanzo ni hela za Okwi kuwekwa kwenye account ya kiongozi wa Simba na wote ukiwemo wewe mmetoa macho tu,leo unashupalia mauzo ya Makambo kivipi?Ni ishara ya kushindwa kunijibu swali langu toka mwanzo kwahiyo endeleeni kupigwa changa la macho na huyo zahera na mko karibu kukatana mapanga.
Unafikiri 900m za sportpesa zinatosha kuendesha timu?Alimpa nani?
Watachunguzwa kama wamekwepa kodiviongozi wa yanga wapo smart....wanajua wakisema kauzwa kwa utawala huu....TRA watadai chao
Kwa majibu yako tu unahitaji msaada wa kisaikolojia.Swali la mwanzo ni hela za Okwi kuwekwa kwenye account ya kiongozi wa Simba na wote ukiwemo wewe mmetoa macho tu,leo unashupalia mauzo ya Makambo kivipi?
Hao lazima waongezwe mkataba... Huko kwenu malipo ya mwezi tu shidaAmekimbia wapi acheni wivu,waongezeeni mikataba wakina BOCCO na KAGERE
Manji mlimlipa lini deni lake?... TFF nayo inawadai.Unafikiri 900m za sportpesa zinatosha kuendesha timu?
ngada uturukiManji mlimlipa lini deni lake?... TFF nayo inawadai.