Makambo aikimbia Yanga ajiunga Horoya ya Guinea

Sasa ka unajua kua hao mikia walikosea kwa kutokujua mauzo ya Okwi mbona mnafanya Yale Yale?.
Au wote ni mikia ila imetofautiana nyie wa kwenu wa mbuzi ila wao wa ng'ombe
viongozi wa yanga wapo smart....wanajua wakisema kauzwa kwa utawala huu....TRA watadai chao
 
Mkuu mbona unajichanganya unasema hakua na mkataba Mara unasema tena mkataba wake unamruhusu kuondoka sasa tukueleweje?
Mchezaji anaruhusiwaje kucheza ligi huku akiwa hana mkataba/ makubaliano maalumu na klabu?
Hahahaha, OK mkataba wake wa maelewano ,Yanga hawakumpa hela ya usajiri yy alikua analipwa mshahara/posho ,ni km Zahera tu ,na wako chini ya MTU na sio Yanga

Hapo Yanga ni Mchezaji aamue tu kuwapoza
 
Ni ishara ya kushindwa kunijibu swali langu toka mwanzo kwahiyo endeleeni kupigwa changa la macho na huyo zahera na mko karibu kukatana mapanga.
Swali la mwanzo ni hela za Okwi kuwekwa kwenye account ya kiongozi wa Simba na wote ukiwemo wewe mmetoa macho tu,leo unashupalia mauzo ya Makambo kivipi?
 
Amekimbia wapi acheni wivu,waongezeeni mikataba wakina BOCCO na KAGERE
 
horoya imefika nusu fainali ya champions league mwaka 2018.. na imefika robo fainali champions league mwaka 2019.... ni timu nzuri ataonekana makambo kama samata kama akicheza vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…