Biashara isiposhuka na kule MUSOMA ndio trip zaoAme contribute Yanga kushika nafasi ya pili nyuma ya Simba na kutolewa nusu fainali ya F.A na Lipuli (Kamwene). Mwakani Yanga ikisafiri sana imeenda Mtwara au Kagera [emoji23]
Zahera atawaletea mkali zaidi ya Makambo, wala msijali anawajua vzr wachezaji.. ngoja apewe 1.5B ya usajili.Tuko njiani mtani kutafuta mbadala. Japo naona mikanganyiko kwani kuna Audio nimeisikia ya Mwenyekiti anasema bado Makambo ana mkataba wa mwaka mmoja.
Au sijui ndio nilikuwa na wenge.
Kususa kwake ndio ilikuwa sababu Mtani maana hakuwa peke yake mwenye madai.Sawa mtani.. Kakolanya alisemwa sana
Usishangae kuona Yanga hawapati chochote kutokana na hayo mauzo !!!
Hahaaa. Hata kama humaanishi Mtani ukweli ndio huo.Zahera atawaletea mkali zaidi ya Makambo, wala msijali anawajua vzr wachezaji.. ngoja apewe 1.5B ya usajili.
Eti wakala wake fan wa Simba.. by the way wameisha.Kususa kwake ndio ilikuwa sababu Mtani maana hakuwa peke yake mwenye madai.
Hebu waza wanagesusa wote ingekuwaje?
Nasikia amebakiza mkataba wa mwaka mumoya?Wapate nini sasa na mkataba wake yanga ulikuwa mwaka mumoya
Namaanisha mtani.. kocha mnae sema maneno ndio mengi mdomoniHahaaa. Hata kama humaanishi Mtani ukweli ndio huo.
Manji alikuwa mwenyekiti .. .figisu za choko Bashite zimekupeni unafuu.. Mngekaa eda miaka kumiNyie mnamuabudu Zahera anawapa nini?.. Enzi za MANJI kumbe alikuwa mungu wenu?..
Mbona anawadai huyo mwenyekiti wenu?... Bashite amekataa msiwe na mwenyekiti au Manji ndie alikuwa anacheza?Manji alikuwa mwenyekiti .. .figisu za choko Bashite zimekupeni unafuu.. Mngekaa eda miaka kumi
Hakuwa na mkataba alikuwa anafanya uhause boy Kwa mjomba wake zahera!Tuanzie hapa hivi Makambo alisaini Yanga kwa muda gani?
Mchezaji kununuliwa na kuuzwa kawaida tu.Masikini ndala
Nakuona chura Ulivokuwa unajikosha kwa muuza ungaMikia mna matatizo, klabu nzima mnamwabudu MO, alivyotekwa wote mliharisha,leo mnarukia habari za Makambo.
Haaa haaa haaa ๐๐ Wabongo bhana ...Njaa United = Bakuli FC = Yanga = ๐ธ๐ธ๐ธ
Zahera hana makuu na mtu! atawamegea kidogoNachojua Makambo hapo Yanga alikua km mpita njia tu , yaani alikua anajitangaza ,Yanga wanamlipa mshahara tu, hakusajiriwa kwa hela , toka ametoka lupopo alikua huru ,mkataba wake unamruhusu kuondoka muda wowote
Km Yanga watapata hela basi ni kiasi kdg tu
Inatajwa alisaini 2 years...Hakuwa na mkataba alikuwa anafanya uhause boy Kwa mjomba wake zahera!
Hata kindoki Hana mkataba
Mbeleko FC marefa wanne wamefungiwa kwa mbeleko ya Mikia FcNjaa United = Bakuli FC = Yanga = [emoji196][emoji196][emoji196]
Nyie mnamuabudu Zahera anawapa nini?.. Enzi za MANJI kumbe alikuwa mungu wenu?..
Enzi za Manji + Malinzi na Magoli ya mikono ya Tambwe ulikuwa wapi?Mbeleko Fc, marefa wanne wamefungiwa kwa kuwabeba Mikia, mpira wa kutegemea mbeleko ni wa kizamani.