Makambo aikimbia Yanga ajiunga Horoya ya Guinea

Makambo aikimbia Yanga ajiunga Horoya ya Guinea

Kumbe Msolla ameingizwa mjini na Zahera, walikubaliana akafanye vipimo vya tu, halafu wajadiliane bei, lakini Zahera amemuuza mwenyewe na Horoya watajua jinsi ya kupambana, itakuja issue ya mshahara na hela ya usajili.
Kocha ndo mwenyekiti wa kamati ya usajili [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ingekuwa simba wameuza mchezaji isingekuwa njaa. Wachezaji wapo kwa ajili ya maslahi km pametokea sehem pazuri anaenda.
Sijaona sababu ya kichwa cha habari kuwa kaikimbia wakati huohuo unasema M/kit anayo taarifa.
 
Hii team n bonge LA team kweny soka la africa
Wanajitahidi sana kwenye CACL wamefika robo fainali misimu miwili mfululizo japo walipigwa na Wydad Casablanca huko Morroco 5-0 baada ya sare ya 0-0 huko Guinea na kutupwa nje msimu huu.
 
Ingekuwa simba wameuza mchezaji isingekuwa njaa. Wachezaji wapo kwa ajili ya maslahi km pametokea sehem pazuri anaenda.
Sijaona sababu ya kichwa cha habari kuwa kaikimbia wakati huohuo unasema M/kit anayo taarifa.
Tuanzie hapa hivi Makambo alisaini Yanga kwa muda gani?
 
Kumbe Msolla ameingizwa mjini na Zahera, walikubaliana akafanye vipimo vya tu, halafu wajadiliane bei, lakini Zahera amemuuza mwenyewe na Horoya watajua jinsi ya kupambana, itakuja issue ya mshahara na hela ya usajili.
Mikia acheni kufuatilia Yanga.. Kwenu kunawaka moto MO Anataka 6B zake au wampe hati za Msimbazi. . Tafakuri
 
Hii habari inaumiza kuliko ncha ya mshale.

Sidhani kama tutakuja kupata striker wa kariba ya Makambo miaka ya karibuni.

Makambo ni fowadi aliyekamilika. Kila la kheri kwake namkubali sana jamaa.

Hata hivyo alistahili kuondoka hasa ukizingatia hatupo tena kwenye michuano mikubwa
 
Dili la Makambo kujiunga na Horoya FC , Yanga kusubiri hisani tu ya mchezaji huyo na kocha wake kwakuwa alikuwa Yanga kwa mkopo akitokea DC Motema Pembe . Agent Mwinyi Zahera na klabu hiyo ndio wenye dhamana ya mwisho katika kumuuza mshambuliaji huyo mzee wa kuwajaza aliyegeuka kipenzi cha wanayanga kwa muda mfupi.

Samuel Samuel
 
Back
Top Bottom