tatamajuva
Member
- Sep 11, 2019
- 74
- 84
Nimemfuatilia mchezaji huyo heritier makambo kuwa alistahili kuwekwa bench na hata yanga anaetahili kuanzia bench, kabla ya kuondoka Yanga alikuwa ni wa kiwango Cha juu Ila kwa Sasa amekwisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukimuwngalia uwanjani akili yake inataka kufanya makubwa ila mwili unakataa kuyekeleza ya akiliniNimemfuatilia mchezaji huyo heritier makambo kuwa alistahili kuwekwa bench na hata yanga anaetahili kuanzia bench, kabla ya kuondoka Yanga alikuwa ni wa kiwango Cha juu Ila kwa Sasa amekwisha
Pale Horoya ilikuwa vigumu kwake kupata namba.Nimemfuatilia mchezaji huyo heritier makambo kuwa alistahili kuwekwa bench na hata yanga anaetahili kuanzia bench, kabla ya kuondoka Yanga alikuwa ni wa kiwango Cha juu Ila kwa Sasa amekwisha
Alikotoka alifunga goli 2 msimu mzima.Mapema sana kusema hivo
Mpelekeni kwa mtaalam
Makambo ana ana goli moja kwa michezo mitano. Vipi Nchimbi ana magoli mangapi tokea asajiliwe Yanga?Alikotoka alifunga goli 2 msimu mzima.
Kwani Makambo na Nchimbi Kuna tofauti gani. Kumbwela mbwela uwanjani tu. Yanga tumepigwaaa!!
Eleza tofauti yao kwa maana ya wote ni washambuliaji wanaotegemewa na timu.Makambo ana ana goli moja kwa michezo mitano. Vipi Nchimbi ana magoli mangapi tokea asajiliwe Yanga?
Unaanza kupima kwanzia wakati gani? Maana kama Makambo ndio kwanza tupo msimu wa kwanza na ligi ndio kwanza mechi mbili zimechezwa.Eleza tofauti yao kwa maana ya wote ni washambuliaji wanaotegemewa na timu.
Kihesabu wote ni watu waliofeli.
Yeye mwenyewe ni Mtaalamu wa kuwajazaMpelekeni kwa mtaalam