Huko Yanga wenye akili timamu ni wawili tu waliobakia wote ni hamnazoKwa kutumia akili ndogo tu nani aliyeumbuka kati ya nyinyi utopolo na sisi?
Nyinyi mchezaji ametaka kuondoka kutokana na maslahi mnamletea habari za mapenzi[emoji23][emoji23][emoji23]amewakana mchana kweupeeeeeeee mkaimba na nyimbo hatumtaki hatumtaki na mabango mkaandika NO FEISAL NO PROBLEM,
Msijue kuwa viongozi wenu wamepanda AZAM MARINE mpaka zenj wakitambaa na magoti kwa mtoto mdogo wakiomba huruma na ahadi kibao mpaka kwa mama yake, mmeonewa huruma sasa sijui mtakula matapishi?aibuuuuuuu yale mabango unafikiri yanafutika kirahisi???????zile nyimbo zitafutika kirahisi???????
Utöpolo wananikumbusha hadithi ya sungura SIZITAKI MBICHI HIZI.........
Sasa hapo winner ni nani?kati ya timu na mchezaji?
Mchezaji kafanikiwa kupandisha thamani yake...so AMEGAIN
Timu imeingiliwa mfukoni.....so IMELOOSE
Washabiki oya oya mmebaki kuwa vigeugeu ......MMEPATA AIBU[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukitaka kuwa jeuri,Kuwa na pesa kwanza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kabisa,Huko Yanga wenye akili timamu ni wawili tu waliobakia wote ni hamnazo
Simba haina hata hawa wawili wenye akili.Huko Yanga wenye akili timamu ni wawili tu waliobakia wote ni hamnazo
Wameumbukaje?Yan mmeumbuka vibaya sana. Aibu imewajaa baada ya kulishabikia hili swala kwa nguvu mkiamini tumeumia lakini wapi.
Hapo ndio muone faida ya kushabikia timu kubwa zenye ushawishi. Asee mmeumbuka vibaya sana
Hivi hii saga ya Feitoto inawapa ahueni kwenye mbio za ubingwa wa Nbc??Kabisa,
Siku mbili viongozi wao wanakesha kuomba huruma tena wakitumia watu mpaka viongozi wastaafu wa serikali alafu wanajitokeza wala mihogo wachache wanaimba hatumtaki hatumtaki,aende aende [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aibu yao
Kwahiyo Yanga imeifunga Azzam Feisal akiwepo kwenye timu?Aibu ndio ilikufanya ureply utopolo huu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkiambiwa hamna akili mnakasirika....toa kwanza huo mwiko nyuma akili itakurudia tuView attachment 2459892
Ambae hana raha utakuwa wewe maana si Kwa kupost hizi habari kila wakati.. unajaribu kutafuta reliefSisi raha yetu ni kuona utopolo hawana raha tu....kuhusu mbio za ubingwa sisi tunakimbiza kimyakimya,.......
Kwani Manara alivyosema kwamba watu wa utopolo hamna akili timamu alikosea?Kwahiyo Yanga imeifunga Azzam Feisal akiwepo kwenye timu?
Rage alipowaita mbumbumbu hakukosea, wahini kwenye timu menu bovu mkampokee Kichuya ndio Manzoki mliyeahidiwa.
Muwe makini na biashara za online kwa Ali Baba, unaoda Pep guardiola unaletewa Mgunda, unaoda Manzoki unaletewa Kichuya.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Raha mnaipataje huku mkiwa hamjielewiiiiAmbae hana raha utakuwa wewe maana si Kwa kupost hizi habari kila wakati.. unajaribu kutafuta relief
Wewe binafsi unataka aende au abaki?Raha mnaipataje huku mkiwa hamjielewiiii
Nyie mnasema aende aende tu,hatumtaki msaliti,at the same time utopolo wenzenu wanampigia magoti kijana arudi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aibuuuuuuuuuuuuuuuuuu.....
Ushabiki wa bongo mithili ya taarabu. Yaani huyu naye ni great thinker!! Wengine heri mtambulike kama great sinkers tuKwa kutumia akili ndogo tu nani aliyeumbuka kati ya nyinyi utopolo na sisi?
Nyinyi mchezaji ametaka kuondoka kutokana na maslahi mnamletea habari za mapenzi[emoji23][emoji23][emoji23]amewakana mchana kweupeeeeeeee mkaimba na nyimbo hatumtaki hatumtaki na mabango mkaandika NO FEISAL NO PROBLEM,
Msijue kuwa viongozi wenu wamepanda AZAM MARINE mpaka zenj wakitambaa na magoti kwa mtoto mdogo wakiomba huruma na ahadi kibao mpaka kwa mama yake, mmeonewa huruma sasa sijui mtakula matapishi?aibuuuuuuu yale mabango unafikiri yanafutika kirahisi???????zile nyimbo zitafutika kirahisi???????
Utöpolo wananikumbusha hadithi ya sungura SIZITAKI MBICHI HIZI.........
Sasa hapo winner ni nani?kati ya timu na mchezaji?
Mchezaji kafanikiwa kupandisha thamani yake...so AMEGAIN
Timu imeingiliwa mfukoni.....so IMELOOSE
Washabiki oya oya mmebaki kuwa vigeugeu ......MMEPATA AIBU[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukitaka kuwa jeuri,Kuwa na pesa kwanza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtu pekee mwenye akili huko ni Rage tu aliyepigwa tukio episode ya Mbuyu TwiteSimba haina hata hawa wawili wenye akili.
Yeye anachotaka ni pesa suala la kubaki au kuondoka ni lake binafsi,kama katimiziwa anachohitaji hapohapo abaki tu,ila kama ni mbambamba zinaendelea anyooshe goti....Wewe binafsi unataka aende au abaki?
Sasa kuna shabiki wa utopolo ni GT?Ushabiki wa bongo mithili ya taarabu. Yaani huyu naye ni great thinker!! Wengine heri mtambulike kama great sinkers tu
Simba kuna wajanja tupuSimba haina hata hawa wawili wenye akili.
Mnaofanya vikao vya kitchen party (in Rage's voice). Yaani hii ina maana makolo wote mna akili za kike tu, ndio hii mipasho tunayoiona sasa hivi. Mlianza na taarabu za Feitoto hatochezea Yanga tena, sasa imegeuka tena kuwa baada ya Yanga kumbakisha HAWANA AKILI. Kweli mikia ni wajuzi wa KITCHEN PARTY tu.Sasa kuna shabiki wa utopolo ni GT?
Wakati ilishawekwa wazi kuwa wote hamnazo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]