utopolo og
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 575
- 1,575
Kwaio wewe unaumia Morison kula izo mil 24 za Yanga?? Yaani wew ni shabiki wa Simba unaeumizwa na mambo ya Yanga kiasi hiki??Sasa mlimnunua? Au? Amewageuza kama mwembe wa uwani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]na hiyo ndio sababu ya fei kuwahenyesha kama hujui,maana jitu msimu mzima lina goli 2 na assist 1 then linalipwa 23mil alafu mtoto wa watu mumbebeshe mahirizi na kujituma kote anapata mshahara kama rambirambi,ufala huo hata mimi ningewahenyesha
Acha maneno mingi wewe! Tuwekee hapa mshahara wa Kibu Dennis dhidi ya ule wa Nelson Okwa! Mnamsema dogo hafungi magoli, na wakati hamjui hata mapito anayopitia hamyajui!Ukiwaona utopolo wakizungumzia habari za usafiri wa simba utasema wana hata kauwanjanka kufanyia mazoezi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa huu mwendo wa ku draw na kagera bado una matumaini na ubingwa?Bado mechi ngapi ligi iishe?hata epl Arsenal yupo juu kwa point 8 sasa kaa kwa kutulia hapo hesabu tofauti ni point 3 maana point 3 mmetushikia tunakuja kuzichukua wenyewe.
Nasikia mna connection yenu huko utopolo dah,mmeharibu sanaKwaio wewe unaumia Morison kula izo mil 24 za Yanga?? Yaani wew ni shabiki wa Simba unaeumizwa na mambo ya Yanga kiasi hiki??
Hivi wewe ni taahira au hayawani??? Ndugu rage apewe heshima yake popote alipo
Mbona mnazidi kwenda mbali? Siyo tena Feisal ni uwanja sasa? 😄😄😄😄Ukiwaona utopolo wakizungumzia habari za usafiri wa simba utasema wana hata kauwanjanka kufanyia mazoezi
Rage ni mpuuzi tu kama weweRage ndie alisema siyo mimi
Mbona na wewe unaifuatilia sana mambo ya Simba? Usiwapangie watu cha kuandika humu.Acha maneno mingi wewe! Tuwekee hapa mshahara wa Kibu Dennis dhidi ya ule wa Nelson Okwa! Mnamsema dogo hafungi magoli, na wakati hamjui hata mapito anayopitia hamyajui!
Hebu fikiria Nelson Okwa hata benchi tu hawekwi, ila mwisho wa mwezi anavuta mpunga wa maana! Na hapo sijamtaja Victor Akpan!! Hakika nyinyi ni mabingwa wa kufuatilia maisha ya majirani zenu, na wakati huko kwenu ni tia maji tia maji!
Mpaka leo nikikuuliza kama Juma Mgunda ana mkataba na simba, huwezi kujibu! Maana mwisho tutaambiwa alikuwa ni deiwaka tu kama yule kocha wenu wa magolikipa. Yaani timu inaendeshwa kijanja kijanja tu na Mhindi!
Haya maisha ukiumia umechagua mwenyewe tu. Ndio hawa jamaa sasa kinachowakuta wako hapa wanajaribu kukifariji tu
Mwache ajipe comfort maana reality hurts.Kwa huu mwendo wa ku draw na kagera bado una matumaini na ubingwa?
Hivi ikitokea umemfumania mwenzi wako utamfanyeje? Na huku bado unamhitaji kwa faida ya familia. Ndiyo kilichotokea kati ya Yanga na Fei toto.Kwa kutumia akili ndogo tu nani aliyeumbuka kati ya nyinyi utopolo na sisi?
Nyinyi mchezaji ametaka kuondoka kutokana na maslahi mnamletea habari za mapenzi[emoji23][emoji23][emoji23]amewakana mchana kweupeeeeeeee mkaimba na nyimbo hatumtaki hatumtaki na mabango mkaandika NO FEISAL NO PROBLEM,
Msijue kuwa viongozi wenu wamepanda AZAM MARINE mpaka zenj wakitambaa na magoti kwa mtoto mdogo wakiomba huruma na ahadi kibao mpaka kwa mama yake, mmeonewa huruma sasa sijui mtakula matapishi?aibuuuuuuu yale mabango unafikiri yanafutika kirahisi???????zile nyimbo zitafutika kirahisi???????
Utöpolo wananikumbusha hadithi ya sungura SIZITAKI MBICHI HIZI.........
Sasa hapo winner ni nani?kati ya timu na mchezaji?
Mchezaji kafanikiwa kupandisha thamani yake...so AMEGAIN
Timu imeingiliwa mfukoni.....so IMELOOSE
Washabiki oya oya mmebaki kuwa vigeugeu ......MMEPATA AIBU[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukitaka kuwa jeuri,Kuwa na pesa kwanza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Heshima kwake Rage. Huu umbumbumbu aliuona yeye tuKwa hyo nawewe unaamini mpemba atarudi kinyesini??lazima utakuwa juha sio bure!..sa atarudije akati ashasaini??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23](kweli wenye akili ni wawili)
Poleni sana wewe na wenzio.Na bado hiyo hela haimtoshi, hiyo itamsukuma sukuma mpaka kwenye dirisha kubwa la usajili ambapo hapo Azam atakuja na comeback ya hatari