Intelligence Justice
JF-Expert Member
- Oct 23, 2020
- 3,443
- 4,006
Wakuu,
Hili ni bandiko la mshangao na masikitiko kwa sauti za wafanyakazi kutoka sekta binafsi zimeiga seriklali kutoongeza mishahara kwa asilimia 6%-10% kwa zaidi ya miaka mitano sasa, lakini hata motisha ya jumla kwa mwaka kwa wafanyakazi imeondolewa bila maadalizi ya kisaikolojia kwa watenda kazi za uzalishaji kitendo ambacho kimeondoa hamasa na utendaji bora kazini.
Makampuni husika hayajawahi kufunga shughuli za kiuchumi kwa sababu zozote na miradi mingi wanapata na kulipwa mamilioni ya fedha lakini wafanyakazi ambao ndio wanaostahili kupewa motisha hawathaminiwi tena ila wanajali marejesho ya mitaji yao oambapo wanapata faida kubwa bila kuathiri gharama za uendeshaji.
Je, Serikali kupitia wizara ya kazi, ajira na maendeleo ya vijana, ulemavu na watoto pamoja na shirikisho la waajiri Tanzania (ATE) wamebariki unyonyaji huu unaofanywa na wawekezaji kutoka nje ya nchi? Wafanyakazi kodi wanakatwa kubwa tu ambazo haijulikani kama huwa zinakilishwa serikalini kwa majina yao au hapana
Je, sheria za kazi ziko kimya kiasi kinachofanya wafanyakazi kudhalilika kiasi hicho?
Mamlaka husika tafadhali mulikeni kurunzi yenu kwenye kichaka hiki maana wanasingizia ugonjwa korona wakati wakijua sio kweli
UJUMBE Umewekwa mezani karibuni wadau maana wafanyakazi wana kilio chenye hasira za mkisi!!!
Hili ni bandiko la mshangao na masikitiko kwa sauti za wafanyakazi kutoka sekta binafsi zimeiga seriklali kutoongeza mishahara kwa asilimia 6%-10% kwa zaidi ya miaka mitano sasa, lakini hata motisha ya jumla kwa mwaka kwa wafanyakazi imeondolewa bila maadalizi ya kisaikolojia kwa watenda kazi za uzalishaji kitendo ambacho kimeondoa hamasa na utendaji bora kazini.
Makampuni husika hayajawahi kufunga shughuli za kiuchumi kwa sababu zozote na miradi mingi wanapata na kulipwa mamilioni ya fedha lakini wafanyakazi ambao ndio wanaostahili kupewa motisha hawathaminiwi tena ila wanajali marejesho ya mitaji yao oambapo wanapata faida kubwa bila kuathiri gharama za uendeshaji.
Je, Serikali kupitia wizara ya kazi, ajira na maendeleo ya vijana, ulemavu na watoto pamoja na shirikisho la waajiri Tanzania (ATE) wamebariki unyonyaji huu unaofanywa na wawekezaji kutoka nje ya nchi? Wafanyakazi kodi wanakatwa kubwa tu ambazo haijulikani kama huwa zinakilishwa serikalini kwa majina yao au hapana
Je, sheria za kazi ziko kimya kiasi kinachofanya wafanyakazi kudhalilika kiasi hicho?
Mamlaka husika tafadhali mulikeni kurunzi yenu kwenye kichaka hiki maana wanasingizia ugonjwa korona wakati wakijua sio kweli
UJUMBE Umewekwa mezani karibuni wadau maana wafanyakazi wana kilio chenye hasira za mkisi!!!