Makampuni na Mawakala wa pikipiki za TVS, Hero, Bajaj nk, mnatukosea sana Watanzania!

Makampuni na Mawakala wa pikipiki za TVS, Hero, Bajaj nk, mnatukosea sana Watanzania!

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Inafika kipindi mtu akisikia pikipiki ya TVS au Hero, anachowaza ni zile za bodaboda.
images (5).jpeg

Tunajua mnatoa vyuma vizuri tu kwa bei rafiki, lakini kwanini hamzileti Tanzania?
images (3).jpeg

Mfano hii pikipiki ukiambiwa ni TVS unakataa, na ukaambiwa mpya ni $3,000 tu kabla ya usafiri na kodi.
apache-rr-310-tft-instrument-cluster.jpeg

Kwamba hatuwezi kununua au mnahisi Watanzania wengi hatuna flavor ya pikipiki kama usafiri binafsi?
images (4).jpeg

Kwa mfano mkazi wa Dar, wengi tu wangependezwa na kununua pikipiki za kisasa zenye muonekano mzuri, wazitumie kama chombo kikuu cha usafiri au usafiri wa backup incase kukiwa na foreni au weekend.
apache-rr-310-left-rear-three-quarter.jpeg

Wafanyabiashara/Mawakala mnaotoa bike India mngejaribu na hii fursa.

Tunaishia kuuziwa used Honda za 2013 kwa million 10+ na watoto wa mjini.
 
Inafika kipindi mtu akisikia pikipiki ya TVS au Hero, anachowaza ni zile za bodaboda.
View attachment 3185573
Tunajua mnatoa vyuma vizuri tu kwa bei rafiki, lakini kwanini hamzileti Tanzania?
View attachment 3185569
Mfano hii pikipiki ukiambiwa ni TVS unakataa, na ukaambiwa mpya ni $3,000 tu kabla ya usafiri na kodi.
View attachment 3185570
Kwamba hatuwezi kununua au mnahisi Watanzania wengi hatuna flavor ya pikipiki kama usafiri binafsi?
View attachment 3185571
Kwa mfano mkazi wa Dar, wengi tu wangependezwa na kununua pikipiki za kisasa zenye muonekano mzuri, wazitumie kama chombo kikuu cha usafiri au usafiri wa backup incase kukiwa na foreni au weekend.
View attachment 3185575
Wafanyabiashara/Mawakala mnaotoa bike India mngejaribu na hii fursa.

Tunaishia kuuziwa used Honda za 2013 kwa million 10+ na watoto wa mjini.
Yaani badala ya kutuletea pikipiki, wenyewe wanatuletea vibao vya kukunia nazi!! Hizi ni dharau za hali ya juu sana.
 
Back
Top Bottom