Makampuni ya kukopesha mitandani, yameiweka serikalini mfukoni au hii ni biashara ya watawala?

Makampuni ya kukopesha mitandani, yameiweka serikalini mfukoni au hii ni biashara ya watawala?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Katika mambo ya kushangaza hapa nchini, ni uwepo wa haya makampuni ya kukopesha mitandaoni ambayo yanaonekana kufanya hii biashara kiholela lakini kwa kutumia mitandao ya makampuni ya simu jambo ambalo linashangaza sana.

Yaani biashara haramu inafanyika huku taasisi za kuthibiti huu uharamu zipo( Polisi, TCRA,BOT, n.k).

Swali ni je, makampuni haya yameiweka serikali mfukoni?

Au hii ni biashara ya vigogo wa hii nchi?

Je, serikali haisikii kilio cha watanzania kuhusu haya makampuni au mpaka Tundu Lissu na wanasiasa wengine wawasemee?

Kama wameshindwa kuyadhibiti, , je, tuko salama kama nchi?

Wabunge wamelia, wananchi wanalia, serikali inasibiri nini kuchukua hatua?

With kwa wapinzani na wanaharakati:
Chunguzeni hili jambo huenda mkaibua kashifa kubwa itayohusisha majina makubwa kama tulivyoona kwenye kashifa za Escrow, Kagoda, Richmond, n.k.
 
Katika mambo ya kushangaza hapa nchini, ni uwepo wa haya makampuni vya kukopesha mitandaoni ambayo yanaonekana kufanya hii biashara kiholela lakini kwa kutumia mitandao ya makempuni ya simu jambo jambo ambalo linashangaza sana.

Yaani biashara haramu inafanyika huku taasisi za kuthibiti huu uharamu upo( Polisi, TCRA,BOT, n.k).

Swali ni je, makampuni haya yameiweka serikali mfukoni?

Au hii ni biashara ya vigogo wa hii nchi?

Je, serikali haisikii kilio cha watanzania kuhusu haya makampuni au mpaka Tundu Lissu na wanasiasa wengine wawasemee?

Kama wameshindwa kuyadhibiti, , Je tuko salama kama nchi?

Wabunge wamelia,wananchi wnalia, serikali inasibiri nini kuchukua hatua?

With kwa wapinzani na wanaharakati:
Chunguzeni hili jambo huenda mkaibua kashifa kubwa itayohusisha majina makubwa kama tulivyoona kwa Escrow, Kagoda, Richmond, n.k.
MKUUU WAIBIE DAWA YA WEZI KUWAIBIA SIMPLE

TAFUTA OFISIZAO KAMA WATAKUONYESHA
 
Hakuna eneo wananchi wanapigwa kama hili, mobile loan ni tatizo kubwa Tanzania na halina weledi kabisa .. Imagine mtu anakopewa pesa kiduchu riba lundo ! Wakopaji wanafedheheshwa, wanazalilishwa, wananyanyasika .. Serikali ikomeshe huu wizi, sauti zaidi zipazwe. USTAWI LOANS Mr. Finance wanaongoza kuzalilisha watanzania kupitia hii mikopo haramu.
 
Back
Top Bottom