Makampuni ya kukopesha pesa kwa riba yamerudi rasmi

Makampuni ya kukopesha pesa kwa riba yamerudi rasmi

sammosses

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2011
Posts
1,687
Reaction score
1,111
Uchumi wa nchi umekuwa Sana na kufikia uchumi wa kati kabla ya muda ulio kusudiwa, maanake tume break event.lakini Maisha ya Watanzania hayahakisi uhalisia wa mabadiliko hayo ya uchumi.

Makamu wa rais amesema kuwa Hali ya umaskini kwa Watanzania ni mbaya Sana,wananchi zaidi ya milioni 14 wanaishi chini ya mstari wa umaskini,hii ni kutokana na sera na mifumo kandamizi iliyo filisi na kuuwa sekta binafsi.

Athari zake ni mzunguko wa fedha kuwa dormant kunako sababisha wananchi wa kawaida kuishi Maisha duni na kujiingiza kwenye biashara ya fedha iliyobeba dhana ya Mikopo kwa wajasiliamali,ili kukidhi haja za matatizo yao.

Mikopo hii maarufu Kama suluhisho kwa wajasiliamali,imebeba dhima nzito ya kuwatwisha zigo la marejesho wananchi kwa vigezo vilivyo thibitishwa na serikali kwa kuwaongezea umaskini zaidi kuliko kutumika Kama fursa.

Makampuni haya yamesajiliwa kwa mujibu wa sheria,yamepewa vibali vyote toka taasisi za kifedha,yanalipa Kodi lakini uendeshaji wake wa utoaji Mikopo ni tatizo kwa jamii.

Nitatoa mfano halisi kwa Hali ilivyo. Mathalani unakopeshwa laki moja(100,000/-) kwa mwezi unatakiwa kulia laki na ishirini(120,000/-),maanake laki moja kwa mwezi riba yake ni shilingi 20,000/- . Utaratibu wa marejesho ni kila siku na kwa kiwango cha 100,000/- unatakiwa kulipa 4,000/- kila siku kwa siku 30 bila kukosa ili kumaliza mkopo wako. Haijalishi public holiday Wala weekend.

Hoja yangu hapa nini!!!

Utaratibu unaotumika hauna tofauti na utakatishaji fedha(money laundering),mbaya zaidi ukiwa umebeba baraka zote za serikali.

Pili mfumo huu wa Mikopo unawaumiza Sana wananchi kwa kuwa hauzingati mwongozo wa ukopeshaji fedha kwa mujibu wa sheria na taratibu za upatikanaji riba. Hii inatoa picha jinsi gani wenye dhamana na mamlaka ya utoaji vibali hawatumi muda wao kukagua taasisi hizi ambazo zilikufa wakati wa Magufuli sasa zimerudi kwa kasi.

Ikiwa mkopo huo utaachiwa uendelee kuwaumiza wananchi kwa sababu ya umaskini wao,tutegemee kuutokomeza umaskini ni msamiati uliokosa maana halisi.

Nihisi serikali kulitazama jambo hili kwa umakini mkubwa,kwa kuwa wanaoumia ni wananchi, makampuni yamejazana wilayani kwa kujua uelewa wa wananchi ni mdogo katika mambo ya ukopeshaji na riba zake.
 
Hulazimishwi kukopa

Acha au kakope Bank

Huna biashara wala collateral unataka mkopo utaangukia mkopo umiza,uamuzi ni wako.
Siyo wote wana uelewa ndiyo maana vibali na leseni vikatolewa ukishindwa kutekeleza masharti ya leseni huna budi kunyang'anywa,tusitumie umaskini wananchi kuwaumiza,haki huinua Taifa
 
Uchumi wa nchi umekuwa Sana na kufikia uchumi wa kati kabla ya muda ulio kusudiwa, maanake tume break event.lakini Maisha ya Watanzania hayahakisi uhalisia wa mabadiliko hayo ya uchumi.

Makamu wa rais amesema kuwa Hali ya umaskini kwa Watanzania ni mbaya Sana,wananchi zaidi ya milioni 14 wanaishi chini ya mstari wa umaskini,hii ni kutokana na sera na mifumo kandamizi iliyo filisi na kuuwa sekta binafsi.

Athari zake ni mzunguko wa fedha kuwa dormant kunako sababisha wananchi wa kawaida kuishi Maisha duni na kujiingiza kwenye biashara ya fedha iliyobeba dhana ya Mikopo kwa wajasiliamali,ili kukidhi haja za matatizo yao.

Mikopo hii maarufu Kama suluhisho kwa wajasiliamali,imebeba dhima nzito ya kuwatwisha zigo la marejesho wananchi kwa vigezo vilivyo thibitishwa na serikali kwa kuwaongezea umaskini zaidi kuliko kutumika Kama fursa.

Makampuni haya yamesajiliwa kwa mujibu wa sheria,yamepewa vibali vyote toka taasisi za kifedha,yanalipa Kodi lakini uendeshaji wake wa utoaji Mikopo ni tatizo kwa jamii.

Nitatoa mfano halisi kwa Hali ilivyo. Mathalani unakopeshwa laki moja(100,000/-) kwa mwezi unatakiwa kulia laki na ishirini(120,000/-),maanake laki moja kwa mwezi riba yake ni shilingi 20,000/- . Utaratibu wa marejesho ni kila siku na kwa kiwango cha 100,000/- unatakiwa kulipa 4,000/- kila siku kwa siku 30 bila kukosa ili kumaliza mkopo wako. Haijalishi public holiday Wala weekend.

Hoja yangu hapa nini!!!

Utaratibu unaotumika hauna tofauti na utakatishaji fedha(money laundering),mbaya zaidi ukiwa umebeba baraka zote za serikali.

Pili mfumo huu wa Mikopo unawaumiza Sana wananchi kwa kuwa hauzingati mwongozo wa ukopeshaji fedha kwa mujibu wa sheria na taratibu za upatikanaji riba. Hii inatoa picha jinsi gani wenye dhamana na mamlaka ya utoaji vibali hawatumi muda wao kukagua taasisi hizi ambazo zilikufa wakati wa Magufuli sasa zimerudi kwa kasi.

Ikiwa mkopo huo utaachiwa uendelee kuwaumiza wananchi kwa sababu ya umaskini wao,tutegemee kuutokomeza umaskini ni msamiati uliokosa maana halisi.

Nihisi serikali kulitazama jambo hili kwa umakini mkubwa,kwa kuwa wanaoumia ni wananchi, makampuni yamejazana wilayani kwa kujua uelewa wa wananchi ni mdogo katika mambo ya ukopeshaji na riba zake.
Mkopo ni kitu optional, na hizi taasisi zinazokopesha mikopo umiza wana operate kama loan sharks. Tujifunze kufanya savings, tujizoeshe kuwa na credit cards zenye credit score safi sio kila kitu tunalalamikia serikali na huku shida zingine mazingira tumesaidia kuyatengeneza wenyewe. Maana wabongo (me included) tunapenda sana small quick loans.
 
Nna interest na hii kitu..mkuu..
Wakat unakuja kuomba mkopo unakuwa umelazimishwa au? Ulitaka ukipewa 100k unataka urudishe ngap?..had manisapaa wakukupa leseni umekidhi vigezo...
 
Mkopo ni kitu optional, na hizi taasisi zinazokopesha mikopo umiza wana operate kama loan sharks. Tujifunze kufanya savings, tujizoeshe kuwa na credit cards zenye credit score safi sio kila kitu tunalalamikia serikali na huku shida zingine mazingira tumesaidia kuyatengeneza wenyewe. Maana wabongo (me included) tunapenda sana small quick loans.
Wanakujaga had usk kugonga umsaidie ....sasa why tunalalamika..ukiona mtunanakopa jua amebanwa...huna haja ya kukopa kama huna shida ya hela
 
Uchumi wa nchi umekuwa Sana na kufikia uchumi wa kati kabla ya muda ulio kusudiwa, maanake tume break event.lakini Maisha ya Watanzania hayahakisi uhalisia wa mabadiliko hayo ya uchumi.

Makamu wa rais amesema kuwa Hali ya umaskini kwa Watanzania ni mbaya Sana,wananchi zaidi ya milioni 14 wanaishi chini ya mstari wa umaskini,hii ni kutokana na sera na mifumo kandamizi iliyo filisi na kuuwa sekta binafsi.

Athari zake ni mzunguko wa fedha kuwa dormant kunako sababisha wananchi wa kawaida kuishi Maisha duni na kujiingiza kwenye biashara ya fedha iliyobeba dhana ya Mikopo kwa wajasiliamali,ili kukidhi haja za matatizo yao.

Mikopo hii maarufu Kama suluhisho kwa wajasiliamali,imebeba dhima nzito ya kuwatwisha zigo la marejesho wananchi kwa vigezo vilivyo thibitishwa na serikali kwa kuwaongezea umaskini zaidi kuliko kutumika Kama fursa.

Makampuni haya yamesajiliwa kwa mujibu wa sheria,yamepewa vibali vyote toka taasisi za kifedha,yanalipa Kodi lakini uendeshaji wake wa utoaji Mikopo ni tatizo kwa jamii.

Nitatoa mfano halisi kwa Hali ilivyo. Mathalani unakopeshwa laki moja(100,000/-) kwa mwezi unatakiwa kulia laki na ishirini(120,000/-),maanake laki moja kwa mwezi riba yake ni shilingi 20,000/- . Utaratibu wa marejesho ni kila siku na kwa kiwango cha 100,000/- unatakiwa kulipa 4,000/- kila siku kwa siku 30 bila kukosa ili kumaliza mkopo wako. Haijalishi public holiday Wala weekend.

Hoja yangu hapa nini!!!

Utaratibu unaotumika hauna tofauti na utakatishaji fedha(money laundering),mbaya zaidi ukiwa umebeba baraka zote za serikali.

Pili mfumo huu wa Mikopo unawaumiza Sana wananchi kwa kuwa hauzingati mwongozo wa ukopeshaji fedha kwa mujibu wa sheria na taratibu za upatikanaji riba. Hii inatoa picha jinsi gani wenye dhamana na mamlaka ya utoaji vibali hawatumi muda wao kukagua taasisi hizi ambazo zilikufa wakati wa Magufuli sasa zimerudi kwa kasi.

Ikiwa mkopo huo utaachiwa uendelee kuwaumiza wananchi kwa sababu ya umaskini wao,tutegemee kuutokomeza umaskini ni msamiati uliokosa maana halisi.

Nihisi serikali kulitazama jambo hili kwa umakini mkubwa,kwa kuwa wanaoumia ni wananchi, makampuni yamejazana wilayani kwa kujua uelewa wa wananchi ni mdogo katika mambo ya ukopeshaji na riba zake.
Kuna Akiba yako mwenyewe.

Kuna ndugu, jamaa na marafiki.

Kuna VICOBA, SACCOS.

Kuna BANK.

Kama hilo halitoshi, siyo lazima UKOPE. KAZAAA TU!!

Sasa kote huko umeshindwa ukakope sehemu nyingine halafu unakuja kulialia humu kama mbwa koko. Huu ni ujuha Grade 1.

Ninyi ndio wafuasi wa Magufuli. Akili mlipishana nazo.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]. Mkuu ulitaka nikikukopesha laki moja, urudishe kiasi gani na kwa muda gani!?

Ukipata shida ghafla utajua umuhimu wa mkopo huu.

Mie ukija na shida zako nakugonga riba ya 30% kwa mwezi[emoji41]
 
Back
Top Bottom