Makampuni ya mengi yaanza hujuma


Aisee umeeleza kwa ufupi ila kwa ufasaha. Ifike wakati watu wafahamu kwa undani nia za ndani na rangi halisi za hawa matycoon ambao wanakuwa mstari wa mbele kutetea maslahi yao na ikibidi hata kukandamiza maslahi ya wengi ikiwa tu yataingiliana na maslahi yao.
 

mkuu biashara inayo hushisha ardhi sio kama daladala
ni sheria ardhi sharti iendelezwe
huwez sema umebadili priority
kwanza nashangaa kwann hadi leo serikali haijamnyang'anya hivo vitalu
nna ushahid watu walionyang'anywa ardhi kisa wameshindwa kuendeleza
 

you have missed the whole concept ya vitalu na umiliki.... hata mimi ninavyo vinne.... ntaviendeleza sera zikikaa sawa
 
Kiwanda cha KILIMANJARO TEXTILES MILLS, KIMEGEUZWA KUWA kanisa linaloitwa ZION CITY CHURCH!
 
Nimesoma ulichioandika..thinking outside the box...je suluhisho lako ni nini? What is the solution
? Hii sio vita dhidi ya mengi..mimi nachojali ni mtanzania..wewe unasema serikali inakosa mapato ar u sane?? Serikali imepata mapato gani from barrick na tanzanite one? Watanzania tumepata faida gani? Au kwako ajira za laki mbili ni faida? Dont b pathetic and attack Mengi..makampuni yote hukopa..na silazima kua na hard cash kufanya project..hav u ever heard of joint ventures? Hata kama wazawa hatuna kitu we can atlist do joint venture..hivi on the other hand,unajua investment za bakhresa? So na yeye hawezi sio? Dont b cheap my brother..what has got into ur mind? Aint u fil ashamed u stand againt ur own people? Dont giv us stories that we cant while u aint layin down any strategy that wl benefit the locals...
 
Mkuu wewe naona umetumiwa kwa maslahi ya wageni coz mtaji hutafutwa na hakuna sababu ya msingi wewe kutuaminisha kwamba mengi anaongea kwa niaba ya ipp wakati kila siku tpsf ambayo yeye ni chair wanaongea umuhimu wa sera ya gesi utangulie kabla ya kuanza kugawa vitalu. Kwa mawazo yako unaamini kuna watanzania hawana uwezo wa kuendesha shughuli hiyo umefanya utafiti wa muda gani na umehoji watanzania wangapi? Na huna sababu ya kupotosha umma kuhusiana na mdaharo wa vijana wa chadema coz naona malengo yake binafsi naona ni maslahi zaidi kuliko mawazo ya waziri anayetamani afanye maamuzi yote mazito kabla uongozi wake haujamaliza muda wake octoba 2015.
 
Ndugu wana jf!

..........vyenye mita za mraba 3754.37, lakini sasa..................tanzani.



Wana JF. Wanasema Mengi amemilikishwa vitalu vyenye mita za mraba 3754.37. Kuna usahihi kweli? Kwa sababu mimi ninaishi kwenye kiwanja chenye mita za mraba 1800 hapahapa dar es Salaam. Sasa in maana kiwanja changu hicho nilichojenga banda nikizidisha mara mbili napata vitalu anavyomiki mengi. Kuna usahihi hapo kweli? Tena habari hii imejirudia mara nyingi bila kusahihishwa. Jambo la pili ni kuwa, ingawa mimi sio mtaalamu wa masuala ya vitalu vya mdaini laki ninavyojua ni kuwa ukipewa kitalu cha madini kuna muda maalumu wa kuchimba halafu kinatangazwa upya. Je, hivyo vitalu mengi muda wake haujaisha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…