Makampuni ya simu na TCRA +BOT wanashindwa kuzuia malipo yanayoenda kwa akaunti za Mange Kimambi? Zinafadhili uhalifu

Makampuni ya simu na TCRA +BOT wanashindwa kuzuia malipo yanayoenda kwa akaunti za Mange Kimambi? Zinafadhili uhalifu

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Hizi Hela zinatoka katika akaunti za mpesa/tigo/halotel/Airtel. Watu hulipia Application ya Mange kutokea makampuni hayo, kwa wingi. Watanzania wengi hawana ujanja wa kutumia Mastercard and the like, ni ku-highlight destination ya Hela inakotumwa na kuingiza mfumo wa ku-block transaction /muamala. Ikishabloku, anayetuma fedha anapewa warning mara tatu kwamba anafanya kosa la kufadhili uhalifu, na anaweza kufikishwa mahakamani

Otherwise hata wafadhili wa ugaidi watakuwa wanachanga kirahisi.

Hivi makampuni yamekosa namna kabisa? Huyu atakuja kudhalilisha mtu mkubwa sana na akaleta taharuki.

Au hiyo Application kwa nini haiwi reported?

######
Deal Done.
Screenshot_20220806-101901.jpg
 
Hizi Hela zinatoka katika akaunti za mpesa/tigo/halotel/Airtel.

Hivi makampuni yamekosa namna kabisa? Huyu atakuja kudhalilisha mtu mkubwa sana na akaleta taharuki.

Au hiyo Application kwa nini haiwi reported?
Application ishakuwa reported several times ila attempts za kuishut down pia naona ni mazoezi
 
Labda hajavunja sheria na ukumbuke alikutana na mama kule ubeberuni
 
Ni suala la msimu tu hayo maudhui yatabadilika. Matusi ndiyo yanayofanya hiyo app ifuatiliwe
 
Hizi Hela zinatoka katika akaunti za mpesa/tigo/halotel/Airtel.

Hivi makampuni yamekosa namna kabisa? Huyu atakuja kudhalilisha mtu mkubwa sana na akaleta taharuki.

Au hiyo Application kwa nini haiwi reported?
Mtu mkubwa ni nani? Na kwa nini ilete taharuki kwa baadhi ya watu?
 
Hizi Hela zinatoka katika akaunti za mpesa/tigo/halotel/Airtel. Watu hulipia Application ya Mange kutokea makampuni hayo, kwa wingi. Watanzania wengi hawana ujanja wa kutumia Mastercard and the like, ni ku-highlight destination ya Hela inakotumwa na kuingiza mfumo wa ku-block transaction /muamala. Ikishabloku, anayetuma fedha anapewa warning mara tatu kwamba anafanya kosa la kufadhili uhalifu, na anaweza kufikishwa mahakamani

Otherwise hata wafadhili wa ugaidi watakuwa wanachanga kirahisi.

Hivi makampuni yamekosa namna kabisa? Huyu atakuja kudhalilisha mtu mkubwa sana na akaleta taharuki.

Au hiyo Application kwa nini haiwi reported?

######
Deal Done.
View attachment 2315923
Huyu dada ni njaa tu zinamsumbua, yaani anadhalilisha watu kwa tamaa ya pesa tu, mshenzy sana
 
Ni kivip mange anadhalilisha watu?
Akifungiwa tutapata wapi uroada wa connections burebure?
 
Huyu dada anatakiwa apumzishwe kwa manufaa ya umma
 
The app is enabling her to blackmail people hakuna kitu kingine
 
Back
Top Bottom