Kwahiyo unataka makampuni yaingilie ndoa ZAKE?Manara ana makampuni anavyofanya nayo kazi, ambayo ni makampuni yanayoheshimika sana.
Sioni kwa nini aendelee kuwa balozi wa makampuni hayo kwa tabia na maneno machafu aliyotamka kwa Mkewe.
Natoa rai mikataba yake itenguliwe
Bwana chiembe ungeuweka huo udhalilishaji alioufanya. Si kila mtu ana taarifa ulizonazo. Weka tujadiliUdhalilishaji alilofanya, hujaelewa nini? Shule ulienda kusomea ujinga?
Ukiyaleta haya maneno hapa uniiteManara ana makampuni anavyofanya nayo kazi, ambayo ni makampuni yanayoheshimika sana.
Sioni kwa nini aendelee kuwa balozi wa makampuni hayo kwa tabia na maneno machafu aliyotamka kwa Mkewe.
Natoa rai mikataba yake itenguliwe
Wewe fuatilia maisha yako uache huo upuuzi wako,unataka akose kazi utampa kazi wewe?mijitu mingine sijui mkojeManara ana makampuni anavyofanya nayo kazi, ambayo ni makampuni yanayoheshimika sana.
Sioni kwa nini aendelee kuwa balozi wa makampuni hayo kwa tabia na maneno machafu aliyotamka kwa Mkewe.
Natoa rai mikataba yake itenguliwe