Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wahuni Siyo Watu WazuriMtu kachapiwa mke wake na wahuni asilalamike,wahuni ni wahuni tu.
Hao warembo wanataka pumzi, sio maneno, manenoKuna maisha binafsi, Kama makampuni hayo yanajihusisha na masuala ya wanawake sawa. Kwahiyo yeye asijibu shihaka za X shemej?
Akikosa na hizo deals wahuni wataanza kumchapa spika MUBASHARAWewe fuatilia maisha yako uache huo upuuzi wako,unataka akose kazi utampa kazi wewe?mijitu mingine sijui mkoje
hayo mambo yapo ulaya, sio hapa africa na uarabuni. africa na uarabuni hata kupiga mwanamke sio kitu cha ajabu.Manara ana makampuni anavyofanya nayo kazi, ambayo ni makampuni yanayoheshimika sana.
Sioni kwa nini aendelee kuwa balozi wa makampuni hayo kwa tabia na maneno machafu aliyotamka kwa Mkewe.
Natoa rai mikataba yake itenguliwe
Hayo maneno umeprove ukweli wake? Mambo ya kwenye ndoa yanaingiaje kwenye biashara?Manara ana makampuni anavyofanya nayo kazi, ambayo ni makampuni yanayoheshimika sana.
Sioni kwa nini aendelee kuwa balozi wa makampuni hayo kwa tabia na maneno machafu aliyotamka kwa Mkewe.
Natoa rai mikataba yake itenguliwe
Mbona hili neno la kawaida tu!Ametukana matusi mazito yanayodhalilisha utu wa mwanamke, kama KMlaMMK
Katamka nini? Nipo huku kazuramimba sijasikia alichotamka jamaaManara ana makampuni anavyofanya nayo kazi, ambayo ni makampuni yanayoheshimika sana.
Sioni kwa nini aendelee kuwa balozi wa makampuni hayo kwa tabia na maneno machafu aliyotamka kwa Mkewe.
Natoa rai mikataba yake itenguliwe
Ungeweka basi clip au alipoandika matusi hayo. Otherwise kwa tusio na taarifa itakuwa ngumu kuamini ukisemacho.Ametukana matusi mazito yanayodhalilisha utu wa mwanamke, kama KMlaMMK