Makampuni yaliyo na mikataba na Haji Manara yaifute kwa udhalilishaji wa wanawake

Makampuni yaliyo na mikataba na Haji Manara yaifute kwa udhalilishaji wa wanawake


Ufalme Wa Haji Unakwenda Kudondoka, Muda Umeisha Sasa Hivi

 
Hivi haya mambo ya kupangiana cha kufanya mbona yamezidi sana duniani kwa sasa....

Unless wewe ni shareholder wa hizo kampuni (basi peleka dukuduku lako kwa shareholders wenzako) ambao nina uhakika watakutoa baruti unless kuwepo kwa Jamaa pale kunapunguza wateja (the bottom line) ila kama the greens are still flowing hayo mambo ya haki / udhalilishaji unless ana-advertise product za kina mama nadhani suggestion yako ni non-starter...
 
Wewe fuatilia maisha yako uache huo upuuzi wako,unataka akose kazi utampa kazi wewe?mijitu mingine sijui mkoje
Yeye huwa anatushirikisha katika maisha yake halafu unataka tusiyafuatilie
 
Wewe fuatilia maisha yako uache huo upuuzi wako,unataka akose kazi utampa kazi wewe?mijitu mingine sijui mkoje
Akikosa na hizo deals wahuni wataanza kumchapa spika MUBASHARA
 
Manara ana makampuni anavyofanya nayo kazi, ambayo ni makampuni yanayoheshimika sana.

Sioni kwa nini aendelee kuwa balozi wa makampuni hayo kwa tabia na maneno machafu aliyotamka kwa Mkewe.

Natoa rai mikataba yake itenguliwe
hayo mambo yapo ulaya, sio hapa africa na uarabuni. africa na uarabuni hata kupiga mwanamke sio kitu cha ajabu.
 
Manara ana makampuni anavyofanya nayo kazi, ambayo ni makampuni yanayoheshimika sana.

Sioni kwa nini aendelee kuwa balozi wa makampuni hayo kwa tabia na maneno machafu aliyotamka kwa Mkewe.

Natoa rai mikataba yake itenguliwe
Hayo maneno umeprove ukweli wake? Mambo ya kwenye ndoa yanaingiaje kwenye biashara?
 
Mara nyingi Anguko la mwanaume huwa ni mwanamke.
 
Wakati wenzako ndo wanafurahia mana balozi wao hakauki vinywani mwa watu
KWahiyo hapo biashara zao zinasikika na hata asietaka mana utajikuta tu lazima ukachungulie page ya manara huko instagram,
 
Manara ana makampuni anavyofanya nayo kazi, ambayo ni makampuni yanayoheshimika sana.

Sioni kwa nini aendelee kuwa balozi wa makampuni hayo kwa tabia na maneno machafu aliyotamka kwa Mkewe.

Natoa rai mikataba yake itenguliwe
Katamka nini? Nipo huku kazuramimba sijasikia alichotamka jamaa
 
Hayo maneno umeprove ukweli wake? Mambo ya kwenye ndoa yanaingiaje kwenye biashara?
Biashara njema huwakilishwa na balozi mwenye maadili.

Sheikh Bakhresa, swala tano, anawakikishwaje na jitu huni huni tu
 
Back
Top Bottom