Makamu Mwenyekiti CCM Stephen Wassira awasili kwenye msiba wa baba yake Mohamed Mchengerwa

Makamu Mwenyekiti CCM Stephen Wassira awasili kwenye msiba wa baba yake Mohamed Mchengerwa

CM 1774858

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2021
Posts
5,621
Reaction score
5,029
IMG-20250224-WA0554.jpg

Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg. Stephen Wasira amefika kutoa pole nyumbani kwa Waziri Wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mohamed Mchengerwa na kushiriki dua ya kisomo kufuatia kifo cha Baba yake mzazi, Alhaj Omary Mchengerwa.

Alhaj Omary Mchengerwa, amefariki dunia alfajiri ya leo Jumatatu, Februari 24, 2025 akiwa katika Ibada ya Umrah, Makkah.

Soma Pia: Waziri wa TAMISEMI Mohammedi Mchengerwa Amefiwa na Baba Yake Mzazi Akiwa Ibadani Makka Na Atazikwa hukohuko Makka

Leo Jumanne, kutafanyika dua ya kisomo jimboni Rufji, Mkoa wa Pwani na Jumatano itafanyika dua nyumbani kwa marehemu Alhaj Omary Mchengerwa Yombo, jijini Dar es Salaam.

IMG-20250224-WA0556.jpg
 
View attachment 3248481
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg. Stephen Wasira amefika kutoa pole nyumbani kwa Waziri Wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mohamed Mchengerwa na kushiriki dua ya kisomo kufuatia kifo cha Baba yake mzazi, Alhaj Omary Mchengerwa.

Alhaj Omary Mchengerwa, amefariki dunia alfajiri ya leo Jumatatu, Februari 24, 2025 akiwa katika Ibada ya Umrah, Makkah.

Soma Pia: Waziri wa TAMISEMI Mohammedi Mchengerwa Amefiwa na Baba Yake Mzazi Akiwa Ibadani Makka Na Atazikwa hukohuko Makka

Leo Jumanne, kutafanyika dua ya kisomo jimboni Rufji, Mkoa wa Pwani na Jumatano itafanyika dua nyumbani kwa marehemu Alhaj Omary Mchengerwa Yombo, jijini Dar es Salaam.

View attachment 3248482
Tuliambiwa kwamba " kifo ni kifo tu."
 
View attachment 3248481
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg. Stephen Wasira amefika kutoa pole nyumbani kwa Waziri Wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mohamed Mchengerwa na kushiriki dua ya kisomo kufuatia kifo cha Baba yake mzazi, Alhaj Omary Mchengerwa.

Alhaj Omary Mchengerwa, amefariki dunia alfajiri ya leo Jumatatu, Februari 24, 2025 akiwa katika Ibada ya Umrah, Makkah.

Soma Pia: Waziri wa TAMISEMI Mohammedi Mchengerwa Amefiwa na Baba Yake Mzazi Akiwa Ibadani Makka Na Atazikwa hukohuko Makka

Leo Jumanne, kutafanyika dua ya kisomo jimboni Rufji, Mkoa wa Pwani na Jumatano itafanyika dua nyumbani kwa marehemu Alhaj Omary Mchengerwa Yombo, jijini Dar es Salaam.

View attachment 3248482
RIP baba yake Mchengerwa
 
View attachment 3248481
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg. Stephen Wasira amefika kutoa pole nyumbani kwa Waziri Wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mohamed Mchengerwa na kushiriki dua ya kisomo kufuatia kifo cha Baba yake mzazi, Alhaj Omary Mchengerwa.

Alhaj Omary Mchengerwa, amefariki dunia alfajiri ya leo Jumatatu, Februari 24, 2025 akiwa katika Ibada ya Umrah, Makkah.

Soma Pia: Waziri wa TAMISEMI Mohammedi Mchengerwa Amefiwa na Baba Yake Mzazi Akiwa Ibadani Makka Na Atazikwa hukohuko Makka

Leo Jumanne, kutafanyika dua ya kisomo jimboni Rufji, Mkoa wa Pwani na Jumatano itafanyika dua nyumbani kwa marehemu Alhaj Omary Mchengerwa Yombo, jijini Dar es Salaam.

View attachment 3248482
Is it news?
 
Inakueje azikwe macca,hapo wenzetu pana tatizo
 
View attachment 3248481
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg. Stephen Wasira amefika kutoa pole nyumbani kwa Waziri Wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mohamed Mchengerwa na kushiriki dua ya kisomo kufuatia kifo cha Baba yake mzazi, Alhaj Omary Mchengerwa.

Alhaj Omary Mchengerwa, amefariki dunia alfajiri ya leo Jumatatu, Februari 24, 2025 akiwa katika Ibada ya Umrah, Makkah.

Soma Pia: Waziri wa TAMISEMI Mohammedi Mchengerwa Amefiwa na Baba Yake Mzazi Akiwa Ibadani Makka Na Atazikwa hukohuko Makka

Leo Jumanne, kutafanyika dua ya kisomo jimboni Rufji, Mkoa wa Pwani na Jumatano itafanyika dua nyumbani kwa marehemu Alhaj Omary Mchengerwa Yombo, jijini Dar es Salaam.

View attachment 3248482
Namshauri Wasira na wengine wajitahidi waitafute dini ya kweli kabla umauti haujawakuta.
Surah Aal-Imran (3:85)

“Na anayefuata dini isiyokuwa Uislamu, haitakubaliwa kwake, naye Akhera atakuwa miongoni mwa waliopata hasara.”
 
Namshauri Wasira na wengine wajitahidi waitafute dini ya kweli kabla umauti haujawakuta.
Surah Aal-Imran (3:85)

“Na anayefuata dini isiyokuwa Uislamu, haitakubaliwa kwake, naye Akhera atakuwa miongoni mwa waliopata hasara.”
Anakufa Lini
 
Wasira kaenda kutoa pole msibani ila kwa ugonjwa wake wa kusinzia Kabla hajaongea neno la pili Wasira atakua anakoroma
 
Sijui kwa nini kila nionapo picha wasira naishiaga kuangua kicheko, uyu mzee anavituko sana aisee ,tuzo aliopewa Makongoro Nyerere , ilitakiwa apewe uyu mzee
 
View attachment 3248481
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg. Stephen Wasira amefika kutoa pole nyumbani kwa Waziri Wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mohamed Mchengerwa na kushiriki dua ya kisomo kufuatia kifo cha Baba yake mzazi, Alhaj Omary Mchengerwa.

Alhaj Omary Mchengerwa, amefariki dunia alfajiri ya leo Jumatatu, Februari 24, 2025 akiwa katika Ibada ya Umrah, Makkah.

Soma Pia: Waziri wa TAMISEMI Mohammedi Mchengerwa Amefiwa na Baba Yake Mzazi Akiwa Ibadani Makka Na Atazikwa hukohuko Makka

Leo Jumanne, kutafanyika dua ya kisomo jimboni Rufji, Mkoa wa Pwani na Jumatano itafanyika dua nyumbani kwa marehemu Alhaj Omary Mchengerwa Yombo, jijini Dar es Salaam.

View attachment 3248482
Pole sana ndugu Mchengerwa
 
Back
Top Bottom