TANZIA Makamu Mwenyekiti mstaafu NCCR Mageuzi Tanzania Bara ndugu Rakia Abubakar Hassan afariki Dunia

TANZIA Makamu Mwenyekiti mstaafu NCCR Mageuzi Tanzania Bara ndugu Rakia Abubakar Hassan afariki Dunia

NCCR Mageuzi

Member
Joined
Oct 3, 2007
Posts
23
Reaction score
63
IMG-20210201-WA0010.jpg

Mwenyekiti wa Taifa wa chama cha NCCR-Mageuzi ndugu James Francis Mbatia anasikitika kutangaza kifo cha makamu mwenyekiti mstaafu Tanzania Bara ndugu Rakia Abubakar Hassan kilichotokea siku ya Jumamosi Januari 30, 2021 Morogoro.

Marehemu alikuwa mmojawapo wa wanachama waanzilishi wa NCCR-Mageuzi tangu mwaka 1992 hadi umauti. Alikitumikia chama kwa mapenzi makubwa na kwa uadilifu mkubwa hadi kufanikiwa kupata nafasi mbalimbali za uongozi katika ngazi mbalimbali.
  1. Makamu mwenyekiti Tanzania Bara- (2009-2014)
  2. Mjumbe wa Halmashuri kuu ya Taifa wa kuteuliwa na Mwenyekiti wa Taifa- (2014 hadi Umauti)
  3. Mjumbe wa Baraza la wadhamini- (2019 hadi Umauti)
  4. Mratibu wa Jumuiya ya wanawake mkoa wa Morogoro- (2003-2009)
Marehemu aliugua kwa muda mfupi na kifo chake kilisababishwa kwa kushindwa kupumua.

MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI. AMINA
 

Attachments

View attachment 1691587
Mwenyekiti wa Taifa wa chama cha NCCR-Mageuzi ndugu James Francis Mbatia anasikitika kutangaza kifo cha makamu mwenyekiti mstaafu Tanzania Bara ndugu Rakia Abubakar Hassan kilichotokea siku ya Jumamosi Januari 30, 2021 Morogoro.

Marehemu alikuwa mmojawapo wa wanachama waanzilishi wa NCCR-Mageuzi tangu mwaka 1992 hadi umauti. Alikitumikia chama kwa mapenzi makubwa na kwa uadilifu mkubwa hadi kufanikiwa kupata nafasi mbalimbali za uongozi katika ngazi mbalimbali.
  1. Makamu mwenyekiti Tanzania Bara- (2009-2014)
  2. Mjumbe wa Halmashuri kuu ya Taifa wa kuteuliwa na Mwenyekiti wa Taifa- (2014 hadi Umauti)
  3. Mjumbe wa Baraza la wadhamini- (2019 hadi Umauti)
  4. Mratibu wa Jumuiya ya wanawake mkoa wa Morogoro- (2003-2009)
Marehemu aliugua kwa muda mfupi na kifo chake kilisababishwa kwa kushindwa kupumua.

MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI. AMINA
Apumzike kwa amani
 
Hii serikali haijawahi kuwa salama kwa wananchi wake.
(i)Kiuchumi
(ii) Kijamii
(iii) Kisiasa

Covid-19 ipo,jihadhari na tujihadhari
Serikali ifanyeje mkuu!!..

Au ni serikali ipi ambayo imefanikiwa kuzuia vifo vitokanavyo na corona?

Chukua tahadhari, Corona inauwa hasa ukiwa na maambukizi ya magonjwa mengine tahadhari pia Kwa wenye umri mkubwa
 
Back
Top Bottom