TANZIA Makamu Mwenyekiti mstaafu NCCR Mageuzi Tanzania Bara ndugu Rakia Abubakar Hassan afariki Dunia

TANZIA Makamu Mwenyekiti mstaafu NCCR Mageuzi Tanzania Bara ndugu Rakia Abubakar Hassan afariki Dunia

Aliwahi kusema Mwl.Nyerere kuwa "Kamwe hatuwezi kutatua changamoto zetu kwa kujiaminisha kuwa hazipo" ila ninavyoona ni kama Jiwe anajaribu kutuaminisha kuwa changamoto zetu hazipo ilihali athari zake zipo dhahiri. Na tukiendelea na dhana Hii yajayo yatakuwa hayafurahishi
 
Kushindwa kupumua[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848].
R.I.P Bibi Rakia
===
Kwani kuna anayeondoka dunia, na hata akiwekwa kwenye nyumba yake ya milele anakuwa bado anapumua!?
Ebu fafanua vizuri unamaanisha nini hapa?
 
View attachment 1691587
Mwenyekiti wa Taifa wa chama cha NCCR-Mageuzi ndugu James Francis Mbatia anasikitika kutangaza kifo cha makamu mwenyekiti mstaafu Tanzania Bara ndugu Rakia Abubakar Hassan kilichotokea siku ya Jumamosi Januari 30, 2021 Morogoro.

Marehemu alikuwa mmojawapo wa wanachama waanzilishi wa NCCR-Mageuzi tangu mwaka 1992 hadi umauti. Alikitumikia chama kwa mapenzi makubwa na kwa uadilifu mkubwa hadi kufanikiwa kupata nafasi mbalimbali za uongozi katika ngazi mbalimbali.
  1. Makamu mwenyekiti Tanzania Bara- (2009-2014)
  2. Mjumbe wa Halmashuri kuu ya Taifa wa kuteuliwa na Mwenyekiti wa Taifa- (2014 hadi Umauti)
  3. Mjumbe wa Baraza la wadhamini- (2019 hadi Umauti)
  4. Mratibu wa Jumuiya ya wanawake mkoa wa Morogoro- (2003-2009)
Marehemu aliugua kwa muda mfupi na kifo chake kilisababishwa kwa kushindwa kupumua.

MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI. AMINA
Asante sana NCCR Mageuzi kwa kusema ukweli. Tuwaombee wazee wetu Mungu awaepushe na changamoto hizi
 
View attachment 1691587
Mwenyekiti wa Taifa wa chama cha NCCR-Mageuzi ndugu James Francis Mbatia anasikitika kutangaza kifo cha makamu mwenyekiti mstaafu Tanzania Bara ndugu Rakia Abubakar Hassan kilichotokea siku ya Jumamosi Januari 30, 2021 Morogoro.

Marehemu alikuwa mmojawapo wa wanachama waanzilishi wa NCCR-Mageuzi tangu mwaka 1992 hadi umauti. Alikitumikia chama kwa mapenzi makubwa na kwa uadilifu mkubwa hadi kufanikiwa kupata nafasi mbalimbali za uongozi katika ngazi mbalimbali.
  1. Makamu mwenyekiti Tanzania Bara- (2009-2014)
  2. Mjumbe wa Halmashuri kuu ya Taifa wa kuteuliwa na Mwenyekiti wa Taifa- (2014 hadi Umauti)
  3. Mjumbe wa Baraza la wadhamini- (2019 hadi Umauti)
  4. Mratibu wa Jumuiya ya wanawake mkoa wa Morogoro- (2003-2009)
Marehemu aliugua kwa muda mfupi na kifo chake kilisababishwa kwa kushindwa kupumua.

MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI. AMINA
Kumbe mzigo umefika moro?
 
View attachment 1691587
Mwenyekiti wa Taifa wa chama cha NCCR-Mageuzi ndugu James Francis Mbatia anasikitika kutangaza kifo cha makamu mwenyekiti mstaafu Tanzania Bara ndugu Rakia Abubakar Hassan kilichotokea siku ya Jumamosi Januari 30, 2021 Morogoro.

Marehemu alikuwa mmojawapo wa wanachama waanzilishi wa NCCR-Mageuzi tangu mwaka 1992 hadi umauti. Alikitumikia chama kwa mapenzi makubwa na kwa uadilifu mkubwa hadi kufanikiwa kupata nafasi mbalimbali za uongozi katika ngazi mbalimbali.
  1. Makamu mwenyekiti Tanzania Bara- (2009-2014)
  2. Mjumbe wa Halmashuri kuu ya Taifa wa kuteuliwa na Mwenyekiti wa Taifa- (2014 hadi Umauti)
  3. Mjumbe wa Baraza la wadhamini- (2019 hadi Umauti)
  4. Mratibu wa Jumuiya ya wanawake mkoa wa Morogoro- (2003-2009)
Marehemu aliugua kwa muda mfupi na kifo chake kilisababishwa kwa kushindwa kupumua.

MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI. AMINA
Apumzike kwa AMANI
 
Tuache kupotoshana na kupeana taharuk..

Kushindwa kupumua ndo nini!?
 
Basi sawa! Ile sherehe leo ya Mahakama itaondoka na wengi pale. Tupinge
Tunavyosema serikali ni kama matukio ya leo kuonesha mfano ni kuwa kila mtu avae barakoa na hakuna kepeana mikono basi inatosha lakini watu wamekaa wanahemiana tu wengine unaona sura za uwoga wanajua Covid yupo ila sasa wanaogopa waije kuumbuliwa vua barakoa, hapa ndo serikali wanakosa, hatutaki lockdown lakini tahadhari ambazo hazina gharama zozote kupunguza.
 
Dah! Ila watu wanadondoka wajameni...
Subili hadi Team Captain mwenyewe ajikwae nipo tutaerewana
Tunavyosema serikali ni kama matukio ya leo kuonesha mfano ni kuwa kila mtu avae barakoa na hakuna kepeana mikono basi inatosha lakini watu wamekaa wanahemiana tu wengine unaona sura za uwoga wanajua Covid yupo ila sasa wanaogopa waije kuumbuliwa vua barakoa, hapa ndo serikali wanakosa, hatutaki lockdown lakini tahadhari ambazo hazina gharama zozote kupunguza.
Umenena vizuli mno; tuwaombee tu
 
Kushindwa kupumua!!
Hatutaki kutumia lugha za propaganda za MAGUFULI&CCM yake!!!
Sama CORONA au COVID-19 ndiyo imechukua uhai wa mwanamama huyu!!!
Hata Mmarekani mweusi Mr. FLOYD alikufa kwa kushindwa kupumua baada ya kuwekewa goti shingoni na Askari Polisi.
 
Subili hadi Team Captain mwenyewe ajikwae nipo tutaerewana
Marehemu Nkurunziza wa Burundi aliiga huu ujinga wa Jiwe akaondoka na Covid-19!!!!
This time around inawezekana kabisa yakatatokea ya Burundi...........mbona ni swala la muda tu!!!!!
 
Rest well Rukia
Pole sana kwa familia na wote walioguswa na msiba
 
Back
Top Bottom