Dickson Edwin Mgaya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2020
- 513
- 1,422
R.I.P Bibi RakiaKushindwa kupumua[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848].
Asante sana NCCR Mageuzi kwa kusema ukweli. Tuwaombee wazee wetu Mungu awaepushe na changamoto hiziView attachment 1691587
Mwenyekiti wa Taifa wa chama cha NCCR-Mageuzi ndugu James Francis Mbatia anasikitika kutangaza kifo cha makamu mwenyekiti mstaafu Tanzania Bara ndugu Rakia Abubakar Hassan kilichotokea siku ya Jumamosi Januari 30, 2021 Morogoro.
Marehemu alikuwa mmojawapo wa wanachama waanzilishi wa NCCR-Mageuzi tangu mwaka 1992 hadi umauti. Alikitumikia chama kwa mapenzi makubwa na kwa uadilifu mkubwa hadi kufanikiwa kupata nafasi mbalimbali za uongozi katika ngazi mbalimbali.
Marehemu aliugua kwa muda mfupi na kifo chake kilisababishwa kwa kushindwa kupumua.
- Makamu mwenyekiti Tanzania Bara- (2009-2014)
- Mjumbe wa Halmashuri kuu ya Taifa wa kuteuliwa na Mwenyekiti wa Taifa- (2014 hadi Umauti)
- Mjumbe wa Baraza la wadhamini- (2019 hadi Umauti)
- Mratibu wa Jumuiya ya wanawake mkoa wa Morogoro- (2003-2009)
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI. AMINA
Taifa la kinafiki,kuna ubaya gani kusema kuwa amekufa kwa Corona?Kushindwa kupumua!!
Hiyo haki wamejimilikisha watu wanne tu,ngoja hiyo changamoto ya kupumua iwachukue,hiyo haki ya kutaja huo ugonjwa itarejeshwa nafikiriTaifa la kinafiki,kuna ubaya gani kusema kuwa amekufa kwa Corona?
Kumbe mzigo umefika moro?View attachment 1691587
Mwenyekiti wa Taifa wa chama cha NCCR-Mageuzi ndugu James Francis Mbatia anasikitika kutangaza kifo cha makamu mwenyekiti mstaafu Tanzania Bara ndugu Rakia Abubakar Hassan kilichotokea siku ya Jumamosi Januari 30, 2021 Morogoro.
Marehemu alikuwa mmojawapo wa wanachama waanzilishi wa NCCR-Mageuzi tangu mwaka 1992 hadi umauti. Alikitumikia chama kwa mapenzi makubwa na kwa uadilifu mkubwa hadi kufanikiwa kupata nafasi mbalimbali za uongozi katika ngazi mbalimbali.
Marehemu aliugua kwa muda mfupi na kifo chake kilisababishwa kwa kushindwa kupumua.
- Makamu mwenyekiti Tanzania Bara- (2009-2014)
- Mjumbe wa Halmashuri kuu ya Taifa wa kuteuliwa na Mwenyekiti wa Taifa- (2014 hadi Umauti)
- Mjumbe wa Baraza la wadhamini- (2019 hadi Umauti)
- Mratibu wa Jumuiya ya wanawake mkoa wa Morogoro- (2003-2009)
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI. AMINA
Apumzike kwa AMANIView attachment 1691587
Mwenyekiti wa Taifa wa chama cha NCCR-Mageuzi ndugu James Francis Mbatia anasikitika kutangaza kifo cha makamu mwenyekiti mstaafu Tanzania Bara ndugu Rakia Abubakar Hassan kilichotokea siku ya Jumamosi Januari 30, 2021 Morogoro.
Marehemu alikuwa mmojawapo wa wanachama waanzilishi wa NCCR-Mageuzi tangu mwaka 1992 hadi umauti. Alikitumikia chama kwa mapenzi makubwa na kwa uadilifu mkubwa hadi kufanikiwa kupata nafasi mbalimbali za uongozi katika ngazi mbalimbali.
Marehemu aliugua kwa muda mfupi na kifo chake kilisababishwa kwa kushindwa kupumua.
- Makamu mwenyekiti Tanzania Bara- (2009-2014)
- Mjumbe wa Halmashuri kuu ya Taifa wa kuteuliwa na Mwenyekiti wa Taifa- (2014 hadi Umauti)
- Mjumbe wa Baraza la wadhamini- (2019 hadi Umauti)
- Mratibu wa Jumuiya ya wanawake mkoa wa Morogoro- (2003-2009)
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI. AMINA
Tunavyosema serikali ni kama matukio ya leo kuonesha mfano ni kuwa kila mtu avae barakoa na hakuna kepeana mikono basi inatosha lakini watu wamekaa wanahemiana tu wengine unaona sura za uwoga wanajua Covid yupo ila sasa wanaogopa waije kuumbuliwa vua barakoa, hapa ndo serikali wanakosa, hatutaki lockdown lakini tahadhari ambazo hazina gharama zozote kupunguza.Basi sawa! Ile sherehe leo ya Mahakama itaondoka na wengi pale. Tupinge
Subili hadi Team Captain mwenyewe ajikwae nipo tutaerewanaDah! Ila watu wanadondoka wajameni...
Subili hadi Team Captain mwenyewe ajikwae nipo tutaerewanaDah! Ila watu wanadondoka wajameni...
Umenena vizuli mno; tuwaombee tuTunavyosema serikali ni kama matukio ya leo kuonesha mfano ni kuwa kila mtu avae barakoa na hakuna kepeana mikono basi inatosha lakini watu wamekaa wanahemiana tu wengine unaona sura za uwoga wanajua Covid yupo ila sasa wanaogopa waije kuumbuliwa vua barakoa, hapa ndo serikali wanakosa, hatutaki lockdown lakini tahadhari ambazo hazina gharama zozote kupunguza.
Hatutaki kutumia lugha za propaganda za MAGUFULI&CCM yake!!!Kushindwa kupumua!!
Marehemu Nkurunziza wa Burundi aliiga huu ujinga wa Jiwe akaondoka na Covid-19!!!!Subili hadi Team Captain mwenyewe ajikwae nipo tutaerewana
We jamaa 🤣Kafanikiwa kuitoroka awamu ya tano