Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wanaukumbi,
ACT imeendelea kutoa spana kwa chama tawala yaani CCM.
Akiwa anazungumza kwenye kampeni Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Bara, Isihaka Mchinjita alitoa tuhuma kali dhidi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), akidai kuwa chama hicho kimegeuka kuwa genge la wahalifu linalojinufaisha na rasilimali za wananchi badala ya kuzitumia kwa maendeleo.
Soma Pia: Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Msikilizeni hapa:
ACT imeendelea kutoa spana kwa chama tawala yaani CCM.
Akiwa anazungumza kwenye kampeni Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Bara, Isihaka Mchinjita alitoa tuhuma kali dhidi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), akidai kuwa chama hicho kimegeuka kuwa genge la wahalifu linalojinufaisha na rasilimali za wananchi badala ya kuzitumia kwa maendeleo.
Soma Pia: Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Msikilizeni hapa: