hakuna namna my friends, ladies and gentlemen.
mtadhibitiwa popote pale nchini, mtakapojaribu kuharibu utaratibu wa kampeni,
na zaidi sana mtakapojaribu kukaidi ilani na maelekezo ya vyombo vya ulinzi, mtadhibitiwa na kuchukuliwa hatua muafaka za kisheria ili kuwapa fursa wenye shughili zao wafanye kwa amani.
Tii ratiba ya Uchaguzi, sheria za usalama na maelekezo mengineyo ya polisi, mtaganya mambo yenu kwa amani.
vinginevyo,
Fujo na vurugu hazikubaliki 🐒