Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watoe rushwa gani hao, ama unadhani ni wauza unga kama wauza unga wa ccm?Rushwa inatembea wakitafuta kuungwa mkono
Afadhali hata kondoa,hapa kwa mihanyenye ccm ndio kila ki kwao!Hivi huyu Dada aliachaga kazi ya uripota ITV ama nimemfananisha?
Watie nguvu hapo, hiyo kanda ya Kati ni kama wamekunywa Maji ya bendera ya CCM
Yaani pamoja na Umasikini walionao lakini wao na CCM, CCM na wao 🙌
Dodoma Upinzani una safari ndefu sanaAfadhali hata kondoa,hapa kwa mihanyenye ccm ndio kila ki kwao!
Joyce Mukya umekosa ulaji baada ya Dj kupigwa chini
No reform no election inakuwaje mnaongelea uchaguzi ? Panga mbinu za kuzuwia uchaguzi mpaka mabadiliko.Hii ndio Taarifa mpya iliyosambazwa mitandaoni kote siku ya leo
Taarifa zingine zinaeleza kwamba, Viongozi hao Wamepanga Mikakati ya namna ya kuing'oa ccm kwenye Kanda hiyo, na tayari kazi imeanza, ambapo wamekubaliana kuanzia Jimbo la Job Ndugai
Hawa hapa wakiwa na Mjumbe wa Kamati Kuu Godbless Lema
Kwa hali ilivyo mabadiliko hayazuilikiNo reform no election inakuwaje mnaongelea uchaguzi ? Panga mbinu za kuzuwia uchaguzi mpaka mabadiliko.