CUF Habari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 239
- 234
HABARI Makamo Mwenyekiti wa JUKE TAIFA Mhe. Kiza Mayeye aendelea na Ziara yake ya Ujenzi wa Chama Katika Jimbo la Kigoma Vijijini.
Atembelea kata kwa Kata Katika Jimbo Hilo na kufungua matawi na kutoka kadi kwa wanachama wapya wa CUF.
Pia, Mhe. Miza Mayeye Ndiye Mgombea Ubunge Jimbo la Kigoma Vijijini Kupitia CUF Chama Cha Wananchi