CUF Habari JF-Expert Member Joined Dec 12, 2019 Posts 239 Reaction score 234 Jul 17, 2020 #1 HABARI Makamo Mwenyekiti wa JUKE TAIFA Mhe. Kiza Mayeye aendelea na Ziara yake ya Ujenzi wa Chama Katika Jimbo la Kigoma Vijijini. Atembelea kata kwa Kata Katika Jimbo Hilo na kufungua matawi na kutoka kadi kwa wanachama wapya wa CUF. Pia, Mhe. Miza Mayeye Ndiye Mgombea Ubunge Jimbo la Kigoma Vijijini Kupitia CUF Chama Cha Wananchi
HABARI Makamo Mwenyekiti wa JUKE TAIFA Mhe. Kiza Mayeye aendelea na Ziara yake ya Ujenzi wa Chama Katika Jimbo la Kigoma Vijijini. Atembelea kata kwa Kata Katika Jimbo Hilo na kufungua matawi na kutoka kadi kwa wanachama wapya wa CUF. Pia, Mhe. Miza Mayeye Ndiye Mgombea Ubunge Jimbo la Kigoma Vijijini Kupitia CUF Chama Cha Wananchi
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 Jul 17, 2020 #2 Futeni huu uzi
sonzawileme JF-Expert Member Joined Jul 5, 2017 Posts 502 Reaction score 284 Jul 17, 2020 #3 Kigoma hatuna jimbo linaloitwa kigoma Vijijini -Rekebisha hapo labda kigoma kaskazini