Uchaguzi 2020 Makamu Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri awataka wanasiasa wanadi Sera badala ya kupambana na Vyombo vya Habari

Uchaguzi 2020 Makamu Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri awataka wanasiasa wanadi Sera badala ya kupambana na Vyombo vya Habari

Uzuri kwa sasa wapinzani wanatumia mitandao na kuingia field. Huyo Balile ajue watu wa kizazi hiki hawababaiki na magazeti na TV zenye story za kizee.
Mkitaka matusi tumieni tu vyombo vyenu ili mradi msije mkailaumu serikali vikipigwa ban.
 
Kizazi hiki bado kuna mtu anasoma gazeti?
Idadi yao ni ndogo sana, haina athari kwenye habari za Lussu
Vijijini taarifa wanapata kupitia luninga na magazeti..hawana smartphones wengi tu na wala hawana bando za kuweka kwa ajili ya internet.
 
Mkitaka matusi tumieni tu vyombo vyenu ili mradi msije mkailaumu serikali vikipigwa ban.

Mnachekesha kweli, eti matusi halafu mwenye tafsiri ya matusi ni Magufuli. Pale utashi wa rais unapogeuka kuwa tafsiri ya matusi.
 
Deodatus Balile (Makamu mwenyekiti jukwaa la wahariri): Kumetokea jambo wiki hii ambalo limefanywa na mchungaji Peter Msigwa kwenye mkutano alioufanya wiki hii anawaambia wafuasi wa chama chake cha CHADEMA kwamba waandishi wa habari wamesusia mkutano wake pale Iringa nadhani alikuwa anampokea mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu aliyekuwa ameenda kutafuta wadhamini.

Akawahamasisha wananchi wasuse vyombo vya habari, akawauliza kama wana smartphone, watumie mitandao ya kijamii. Sisi hatuna shida na yale aliyoyazungumza kuhusu uhuru wa vyombo vya habari. Uhuru wa kutoa maoni, uhuru wa kusikilizwa hilo hatuna shida.

Shida tuliyoipata ni pale alipowaambia wafuasi wao kwamba wavisuse vyombo vya habari, wazisuse Tv, wayasuse magazeti.

Makamu Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) Deodatus Balile amewataka wanasiasa kutopambana na vyombo vya habari badala yake vinadi sera zao. Wakianza hivi kidogo kidoko, tuna historia kipindi cha uchaguzi waandishi kupigwa, kuchomewa nyumba. Tusipotoa kauli kukemea kitendo hiki kiovu ambacho ni jinai mwisho wa siku atahamasisha wafuasi wake wawapie kidogo waandishi wa habari.


Sisi hatupo kwenye siasa, hatufanyi siasa isipokuwa tunaandika ukweli juu ya jambo lilitokea. Inawezekana waandishi wa habari hawakwenda kwenye mkutano wake lakini hakutuambia kama aliwaalika au La, tuwe wazi haiwezekani kama tutakuwa kwenye kila mkutano.

Tunaomba wasitumie uwanja wa siasa kupambana na vyombo vya habari, mwaka 2005 Jangwani waandishi wa TBC walipigwa kutokana na uhamasishaji wa viongozi wa kisiasa, Tarime waandishi walipigwa 2010, mwaka 2000 waandishi Zanzibar walipigwa, hatutaki kupigwa kama wawanahari, kazi yetu si kushiriki siasa.

Tutaripoti mikutano yote kwa mujibu wa ratiba itayokuwa imetolewa na tume ya uchaguzi. tutahakikisha vyombo vya habari tutaratibu. Pia iwapo vyama vya siasa vitakuwa na mikutano vihakikishe vinawasiliana na vyombo vya habari kwa sababu sisi si wanachama wa vyama hivi.

Hatutarajii mwanasiasa aanze kuwazungungumza watu, haitusaidii. Sisi vyombo vya habari tutakuwa tuna-monitor ni nani anaezungumza kututoa katika maadui watatu wa nchi hii. Ujinga maradhi na umaskini na tumejipanga kuripoti sera wanazozisema na nasisitiza hatutaripoti matusi.

Hii inaleta shida sana kwenye live coverage, kuna watu wanashutumu televisheni hazitaki kuwapa live coverage. Matusi hayatatuoa hapa tulipo.
=======

Kwa dalili ninazoanza kuziona sasa nadhani nahitaji Kuzidisha tu 'Dua' kwa Mwenyezi Mungu ili Wazee wa Upanga na Oysterbay wasimezwe Kisiasa.
Mzee baba aliposema "watch out your not free Kama mnavodhani" alijitokeza na kauli gani??
 
Toka 2000 alishajiunga kunako juhudi.
Kwa anaetaraji Baalile aandike au asemee habari za upinzani pole yake.
Hapana huyo ameunga mkono juzi juzi tu,kipindi cha kikwete alikuwa anatema nondo balaa za kuichana ccm,baada ya kuingia JIWE kanga mkono Juhudi kama alivyounga Nasari Kimya kimya.
 
Unalazimishaje watu kutoa taarifa zako na unasema vyombo vya habari vinatakiwa viwe huru,uhuru wa habari ndio huo MTU alipoti kile kinachompa maslai kwasababu vyombo vyote vya habari duniani vinamaslai binafsi hivyo kama hana maslai nahabari yako kunaulazima wa kuripoti mbona hiyo online yenu kutokea marekani hairipoti uchaguzi wa ccm.

Azam walikuwa wanamreport lissu ghafla wakastop na kufuta post zote za lissu kwahiyo huo ndio uhuru wa habari? Umesoma taarifa ya kigogo iliyotoa maelekezo kwa vyombo vya habar kuhsu kupiga matangazo ya kampeni ya ccm?
 
Deodatus Balile (Makamu mwenyekiti jukwaa la wahariri): Kumetokea jambo wiki hii ambalo limefanywa na mchungaji Peter Msigwa kwenye mkutano alioufanya wiki hii anawaambia wafuasi wa chama chake cha CHADEMA kwamba waandishi wa habari wamesusia mkutano wake pale Iringa nadhani alikuwa anampokea mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu aliyekuwa ameenda kutafuta wadhamini.

Akawahamasisha wananchi wasuse vyombo vya habari, akawauliza kama wana smartphone, watumie mitandao ya kijamii. Sisi hatuna shida na yale aliyoyazungumza kuhusu uhuru wa vyombo vya habari. Uhuru wa kutoa maoni, uhuru wa kusikilizwa hilo hatuna shida.

Shida tuliyoipata ni pale alipowaambia wafuasi wao kwamba wavisuse vyombo vya habari, wazisuse Tv, wayasuse magazeti.

Makamu Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) Deodatus Balile amewataka wanasiasa kutopambana na vyombo vya habari badala yake vinadi sera zao. Wakianza hivi kidogo kidoko, tuna historia kipindi cha uchaguzi waandishi kupigwa, kuchomewa nyumba. Tusipotoa kauli kukemea kitendo hiki kiovu ambacho ni jinai mwisho wa siku atahamasisha wafuasi wake wawapie kidogo waandishi wa habari.


Sisi hatupo kwenye siasa, hatufanyi siasa isipokuwa tunaandika ukweli juu ya jambo lilitokea. Inawezekana waandishi wa habari hawakwenda kwenye mkutano wake lakini hakutuambia kama aliwaalika au La, tuwe wazi haiwezekani kama tutakuwa kwenye kila mkutano.

Tunaomba wasitumie uwanja wa siasa kupambana na vyombo vya habari, mwaka 2005 Jangwani waandishi wa TBC walipigwa kutokana na uhamasishaji wa viongozi wa kisiasa, Tarime waandishi walipigwa 2010, mwaka 2000 waandishi Zanzibar walipigwa, hatutaki kupigwa kama wawanahari, kazi yetu si kushiriki siasa.

Tutaripoti mikutano yote kwa mujibu wa ratiba itayokuwa imetolewa na tume ya uchaguzi. tutahakikisha vyombo vya habari tutaratibu. Pia iwapo vyama vya siasa vitakuwa na mikutano vihakikishe vinawasiliana na vyombo vya habari kwa sababu sisi si wanachama wa vyama hivi.

Hatutarajii mwanasiasa aanze kuwazungungumza watu, haitusaidii. Sisi vyombo vya habari tutakuwa tuna-monitor ni nani anaezungumza kututoa katika maadui watatu wa nchi hii. Ujinga maradhi na umaskini na tumejipanga kuripoti sera wanazozisema na nasisitiza hatutaripoti matusi.

Hii inaleta shida sana kwenye live coverage, kuna watu wanashutumu televisheni hazitaki kuwapa live coverage. Matusi hayatatuoa hapa tulipo.
=======

Kwa dalili ninazoanza kuziona sasa nadhani nahitaji Kuzidisha tu 'Dua' kwa Mwenyezi Mungu ili Wazee wa Upanga na Oysterbay wasimezwe Kisiasa.
Huyu ni tapeli tu alikuwa hajui kama Lissu anaenda Iringa?
 
Azam walikuwa wanamreport lissu ghafla wakastop na kufuta post zote za lissu kwahiyo huo ndio uhuru wa habari? Umesoma taarifa ya kigogo iliyotoa maelekezo kwa vyombo vya habar kuhsu kupiga matangazo ya kampeni ya ccm?
Na nikufaamishe tu kuwa ata marekani vyombo vya habari vimegawanyika,trump kila leo anawalalamikia chombo fulani cha habari.
 
Uzuri kwa sasa wapinzani wanatumia mitandao na kuingia field. Huyo Balile ajue watu wa kizazi hiki hawababaiki na magazeti na TV zenye story za kizee.
Nakazia hapa
 
Wameshakuwa wachumia tumbo hao waache kabisa kujiita vyombo vya habari au wajiite Vyombo vya habari UCHWARA.



Deodatus Balile (Makamu mwenyekiti jukwaa la wahariri): Kumetokea jambo wiki hii ambalo limefanywa na mchungaji Peter Msigwa kwenye mkutano alioufanya wiki hii anawaambia wafuasi wa chama chake cha CHADEMA kwamba waandishi wa habari wamesusia mkutano wake pale Iringa nadhani alikuwa anampokea mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu aliyekuwa ameenda kutafuta wadhamini.

Akawahamasisha wananchi wasuse vyombo vya habari, akawauliza kama wana smartphone, watumie mitandao ya kijamii. Sisi hatuna shida na yale aliyoyazungumza kuhusu uhuru wa vyombo vya habari. Uhuru wa kutoa maoni, uhuru wa kusikilizwa hilo hatuna shida.

Shida tuliyoipata ni pale alipowaambia wafuasi wao kwamba wavisuse vyombo vya habari, wazisuse Tv, wayasuse magazeti.

Makamu Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) Deodatus Balile amewataka wanasiasa kutopambana na vyombo vya habari badala yake vinadi sera zao. Wakianza hivi kidogo kidoko, tuna historia kipindi cha uchaguzi waandishi kupigwa, kuchomewa nyumba. Tusipotoa kauli kukemea kitendo hiki kiovu ambacho ni jinai mwisho wa siku atahamasisha wafuasi wake wawapie kidogo waandishi wa habari.


Sisi hatupo kwenye siasa, hatufanyi siasa isipokuwa tunaandika ukweli juu ya jambo lilitokea. Inawezekana waandishi wa habari hawakwenda kwenye mkutano wake lakini hakutuambia kama aliwaalika au La, tuwe wazi haiwezekani kama tutakuwa kwenye kila mkutano.

Tunaomba wasitumie uwanja wa siasa kupambana na vyombo vya habari, mwaka 2005 Jangwani waandishi wa TBC walipigwa kutokana na uhamasishaji wa viongozi wa kisiasa, Tarime waandishi walipigwa 2010, mwaka 2000 waandishi Zanzibar walipigwa, hatutaki kupigwa kama wawanahari, kazi yetu si kushiriki siasa.

Tutaripoti mikutano yote kwa mujibu wa ratiba itayokuwa imetolewa na tume ya uchaguzi. tutahakikisha vyombo vya habari tutaratibu. Pia iwapo vyama vya siasa vitakuwa na mikutano vihakikishe vinawasiliana na vyombo vya habari kwa sababu sisi si wanachama wa vyama hivi.

Hatutarajii mwanasiasa aanze kuwazungungumza watu, haitusaidii. Sisi vyombo vya habari tutakuwa tuna-monitor ni nani anaezungumza kututoa katika maadui watatu wa nchi hii. Ujinga maradhi na umaskini na tumejipanga kuripoti sera wanazozisema na nasisitiza hatutaripoti matusi.

Hii inaleta shida sana kwenye live coverage, kuna watu wanashutumu televisheni hazitaki kuwapa live coverage. Matusi hayatatuoa hapa tulipo.
=======

Kwa dalili ninazoanza kuziona sasa nadhani nahitaji Kuzidisha tu 'Dua' kwa Mwenyezi Mungu ili Wazee wa Upanga na Oysterbay wasimezwe Kisiasa.
 
Back
Top Bottom