Pre GE2025 Makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar: ACT kimeamua kitoke kwenye siasa za maridhiano, tunaanza kufanya siasa za mapambano

Pre GE2025 Makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar: ACT kimeamua kitoke kwenye siasa za maridhiano, tunaanza kufanya siasa za mapambano

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877

View: https://www.youtube.com/watch?v=It3WB1-ceDw&ab_channel=JAMBOTV

Isihaka Mchinjita - Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo ACT Bara

"Kama tulikuwa tunasubiri kuona maneno ya Rais Samia ni ya kweli au ni ya unafiki bsi uchaguzi wa Serikali za Mitaa basi ni ushahidi kuwa Rais Samia aliwanafikia Watanzania na bila iabu tukaenda kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa "

"CCM wanajua Uchaguzi wa mwaka 2019 ulikuwa umeharibiwa. Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wao Abdulrahman Kinana alikuja kwenye mkutano Mkuu wetu na akasema kinachowakatisha tamaa Watanzania ni uhribifu uliofanywa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019"

Katibu Mkuu wa sasa Emmanuel Nchimbi tumekutana nae TCD na mara zote kwenye kikao cha mwisho tukijadili mbovu zilizoletwa na TAMISEMI pale TCD watu wote walikuwa wanarejea uharibifu uliofanywa 2019. Aliposimama bila aibu akasema yale ya mwaka 2019 tunaomba tusiyataje taje sana, kwa sababu kulikuwa na mazingira maalum tunaomba tuyaache twende mbele"

Makamu wa kwanza Rais Zanzibar - Othman Masoud Othman

"Huko nyumba alishawahi kusema yule aliyetangulia, alisema atahakikisha vyama vya upinzani vitakufa. Lakini vyama vya upinzani vipo na vinaendelea kuwa imara"

"Chama chetu kilifanya siasa kwa mujibu wa siasa zilivyokuwa. Siasa tulizotoka ni za kuaminishwa kwamba tunakwenda kwenye siasa za maridhiano. Tulifanya engagement kwenye ngazi zote. Hakuna kiongozi wa CCM ambaye hatukumfika"

"Tuliamini kwenye siasa za maridhiano, tuliamini kwenye siasa za kistaarabu. Na tumeyafanya haya Tanzania bara na Zanzibar kwa kuingia kwenye maridhiano. Malipo yetu yalikuwa ni nini? Malipo yetu ilikuwa viongozi wetu ikiwemo Mwenyekiti wetu wa ngome ya vijana kukamatwa, kutekwa na kuteswa"

"Tume yetu ya Uchaguzi imekuwa kama yule mwigizaji Joti. Maana Joti akivaa nguo za kike anaitwa nani? Kiboga. Akivaa kaptula kwenda shule anakuwa andunje lakini si joti yuleyule"

"Baada ya kukutana tumeamua kuwa ni muda wa chama chetu kubadili namna ya kufanya siasa katika nchi yetu na sasa ni wakati wa kwenda na hali ya bahari yenyewe ilivyo. Chama chetu kimeamua kitoke kwenye siasa za maridhiano, sasa twende kwenye siasa zinazohitajika kwa wakati huu, siasa za mapambano"
 
Hongereni sana ACT,kwa kuutambua ukweli na kuwa tayari kufanya siasa kwa kuzingatia mazingira na ubaramia wa aliyeshikilia mpini.

Kwasasanguvu zote za vyama vya upinzani, na watanzania wote wazalendo na qenye mapenzi mema kwa Taifa, tuelekeze nguvu zote katika kuondoa mazingira shetani kwenye uchaguzi.

NO REFORM NO ELECTION ihame kutoka kuwa ya CHADEMA, na kuwa ndiyo msimamo wa vyama vyote vya upinzani, na uwe ndio msimamo wa wananchi wote walio wazalendo wa kweli kwa Taifa letu.

Viongozi wa vyama vya upinzani, wanaharakati, watetezi wa haki, viongozi wa dini, na asasi mbalimbali, andaeni mkutano mkubwa wa pamoja utakaowahusisha wananchi na viongozi wote, ili kutoa tamko la pamoja.
 

View: https://www.youtube.com/watch?v=It3WB1-ceDw&ab_channel=JAMBOTV

Isihaka Mchinjita - Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo ACT Bara

"Kama tulikuwa tunasubiri kuona maneno ya Rais Samia ni ya kweli au ni ya unafiki bsi uchaguzi wa Serikali za Mitaa basi ni ushahidi kuwa Rais Samia aliwanafikia Watanzania na bila iabu tukaenda kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa "

"CCM wanajua Uchaguzi wa mwaka 2019 ulikuwa umeharibiwa. Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wao Abdulrahman Kinana alikuja kwenye mkutano Mkuu wetu na akasema kinachowakatisha tamaa Watanzania ni uhribifu uliofanywa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019"

Katibu Mkuu wa sasa Emmanuel Nchimbi tumekutana nae TCD na mara zote kwenye kikao cha mwisho tukijadili mbovu zilizoletwa na TAMISEMI pale TCD watu wote walikuwa wanarejea uharibifu uliofanywa 2019. Aliposimama bila aibu akasema yale ya mwaka 2019 tunaomba tusiyataje taje sana, kwa sababu kulikuwa na mazingira maalum tunaomba tuyaache twende mbele"

Makamu wa kwanza Rais Zanzibar - Othman Masoud Othman

"Huko nyumba alishawahi kusema yule aliyetangulia, alisema atahakikisha vyama vya upinzani vitakufa. Lakini vyama vya upinzani vipo na vinaendelea kuwa imara"

"Chama chetu kilifanya siasa kwa mujibu wa siasa zilivyokuwa. Siasa tulizotoka ni za kuaminishwa kwamba tunakwenda kwenye siasa za maridhiano. Tulifanya engagement kwenye ngazi zote. Hakuna kiongozi wa CCM ambaye hatukumfika"

"Tuliamini kwenye siasa za maridhiano, tuliamini kwenye siasa za kistaarabu. Na tumeyafanya haya Tanzania bara na Zanzibar kwa kuingia kwenye maridhiano. Malipo yetu yalikuwa ni nini? Malipo yetu ilikuwa viongozi wetu ikiwemo Mwenyekiti wetu wa ngome ya vijana kukamatwa, kutekwa na kuteswa"

"Tume yetu ya Uchaguzi imekuwa kama yule mwigizaji Joti. Maana Joti akivaa nguo za kike anaitwa nani? Kiboga. Akivaa kaptula kwenda shule anakuwa andunje lakini si joti yuleyule"

"Baada ya kukutana tumeamua kuwa ni muda wa chama chetu kubadili namna ya kufanya siasa katika nchi yetu na sasa ni wakati wa kwenda na hali ya bahari yenyewe ilivyo. Chama chetu kimeamua kitoke kwenye siasa za maridhiano, sasa twende kwenye siasa zinazohitajika kwa wakati huu, siasa za mapambano"

Waache uhuni,yaani wale mazuri miaka mitano leo ndo wajitoe
 

View: https://www.youtube.com/watch?v=It3WB1-ceDw&ab_channel=JAMBOTV

Isihaka Mchinjita - Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo ACT Bara

"Kama tulikuwa tunasubiri kuona maneno ya Rais Samia ni ya kweli au ni ya unafiki bsi uchaguzi wa Serikali za Mitaa basi ni ushahidi kuwa Rais Samia aliwanafikia Watanzania na bila iabu tukaenda kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa "

"CCM wanajua Uchaguzi wa mwaka 2019 ulikuwa umeharibiwa. Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wao Abdulrahman Kinana alikuja kwenye mkutano Mkuu wetu na akasema kinachowakatisha tamaa Watanzania ni uhribifu uliofanywa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019"

Katibu Mkuu wa sasa Emmanuel Nchimbi tumekutana nae TCD na mara zote kwenye kikao cha mwisho tukijadili mbovu zilizoletwa na TAMISEMI pale TCD watu wote walikuwa wanarejea uharibifu uliofanywa 2019. Aliposimama bila aibu akasema yale ya mwaka 2019 tunaomba tusiyataje taje sana, kwa sababu kulikuwa na mazingira maalum tunaomba tuyaache twende mbele"

Makamu wa kwanza Rais Zanzibar - Othman Masoud Othman

"Huko nyumba alishawahi kusema yule aliyetangulia, alisema atahakikisha vyama vya upinzani vitakufa. Lakini vyama vya upinzani vipo na vinaendelea kuwa imara"

"Chama chetu kilifanya siasa kwa mujibu wa siasa zilivyokuwa. Siasa tulizotoka ni za kuaminishwa kwamba tunakwenda kwenye siasa za maridhiano. Tulifanya engagement kwenye ngazi zote. Hakuna kiongozi wa CCM ambaye hatukumfika"

"Tuliamini kwenye siasa za maridhiano, tuliamini kwenye siasa za kistaarabu. Na tumeyafanya haya Tanzania bara na Zanzibar kwa kuingia kwenye maridhiano. Malipo yetu yalikuwa ni nini? Malipo yetu ilikuwa viongozi wetu ikiwemo Mwenyekiti wetu wa ngome ya vijana kukamatwa, kutekwa na kuteswa"

"Tume yetu ya Uchaguzi imekuwa kama yule mwigizaji Joti. Maana Joti akivaa nguo za kike anaitwa nani? Kiboga. Akivaa kaptula kwenda shule anakuwa andunje lakini si joti yuleyule"

"Baada ya kukutana tumeamua kuwa ni muda wa chama chetu kubadili namna ya kufanya siasa katika nchi yetu na sasa ni wakati wa kwenda na hali ya bahari yenyewe ilivyo. Chama chetu kimeamua kitoke kwenye siasa za maridhiano, sasa twende kwenye siasa zinazohitajika kwa wakati huu, siasa za mapambano"


Kwanza mtoeni ZZK kwenye Cycle ndio mtafanikiwa ama sivyo Ni Sawa na kutwanga maji kwenye kinu
 

View: https://www.youtube.com/watch?v=It3WB1-ceDw&ab_channel=JAMBOTV

Isihaka Mchinjita - Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo ACT Bara

"Kama tulikuwa tunasubiri kuona maneno ya Rais Samia ni ya kweli au ni ya unafiki bsi uchaguzi wa Serikali za Mitaa basi ni ushahidi kuwa Rais Samia aliwanafikia Watanzania na bila iabu tukaenda kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa "

"CCM wanajua Uchaguzi wa mwaka 2019 ulikuwa umeharibiwa. Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wao Abdulrahman Kinana alikuja kwenye mkutano Mkuu wetu na akasema kinachowakatisha tamaa Watanzania ni uhribifu uliofanywa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019"

Katibu Mkuu wa sasa Emmanuel Nchimbi tumekutana nae TCD na mara zote kwenye kikao cha mwisho tukijadili mbovu zilizoletwa na TAMISEMI pale TCD watu wote walikuwa wanarejea uharibifu uliofanywa 2019. Aliposimama bila aibu akasema yale ya mwaka 2019 tunaomba tusiyataje taje sana, kwa sababu kulikuwa na mazingira maalum tunaomba tuyaache twende mbele"

Makamu wa kwanza Rais Zanzibar - Othman Masoud Othman

"Huko nyumba alishawahi kusema yule aliyetangulia, alisema atahakikisha vyama vya upinzani vitakufa. Lakini vyama vya upinzani vipo na vinaendelea kuwa imara"

"Chama chetu kilifanya siasa kwa mujibu wa siasa zilivyokuwa. Siasa tulizotoka ni za kuaminishwa kwamba tunakwenda kwenye siasa za maridhiano. Tulifanya engagement kwenye ngazi zote. Hakuna kiongozi wa CCM ambaye hatukumfika"

"Tuliamini kwenye siasa za maridhiano, tuliamini kwenye siasa za kistaarabu. Na tumeyafanya haya Tanzania bara na Zanzibar kwa kuingia kwenye maridhiano. Malipo yetu yalikuwa ni nini? Malipo yetu ilikuwa viongozi wetu ikiwemo Mwenyekiti wetu wa ngome ya vijana kukamatwa, kutekwa na kuteswa"

"Tume yetu ya Uchaguzi imekuwa kama yule mwigizaji Joti. Maana Joti akivaa nguo za kike anaitwa nani? Kiboga. Akivaa kaptula kwenda shule anakuwa andunje lakini si joti yuleyule"

"Baada ya kukutana tumeamua kuwa ni muda wa chama chetu kubadili namna ya kufanya siasa katika nchi yetu na sasa ni wakati wa kwenda na hali ya bahari yenyewe ilivyo. Chama chetu kimeamua kitoke kwenye siasa za maridhiano, sasa twende kwenye siasa zinazohitajika kwa wakati huu, siasa za mapambano"

No Reform No Election.
 

View: https://www.youtube.com/watch?v=It3WB1-ceDw&ab_channel=JAMBOTV

Isihaka Mchinjita - Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo ACT Bara

"Kama tulikuwa tunasubiri kuona maneno ya Rais Samia ni ya kweli au ni ya unafiki bsi uchaguzi wa Serikali za Mitaa basi ni ushahidi kuwa Rais Samia aliwanafikia Watanzania na bila iabu tukaenda kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa "

"CCM wanajua Uchaguzi wa mwaka 2019 ulikuwa umeharibiwa. Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wao Abdulrahman Kinana alikuja kwenye mkutano Mkuu wetu na akasema kinachowakatisha tamaa Watanzania ni uhribifu uliofanywa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019"

Katibu Mkuu wa sasa Emmanuel Nchimbi tumekutana nae TCD na mara zote kwenye kikao cha mwisho tukijadili mbovu zilizoletwa na TAMISEMI pale TCD watu wote walikuwa wanarejea uharibifu uliofanywa 2019. Aliposimama bila aibu akasema yale ya mwaka 2019 tunaomba tusiyataje taje sana, kwa sababu kulikuwa na mazingira maalum tunaomba tuyaache twende mbele"

Makamu wa kwanza Rais Zanzibar - Othman Masoud Othman

"Huko nyumba alishawahi kusema yule aliyetangulia, alisema atahakikisha vyama vya upinzani vitakufa. Lakini vyama vya upinzani vipo na vinaendelea kuwa imara"

"Chama chetu kilifanya siasa kwa mujibu wa siasa zilivyokuwa. Siasa tulizotoka ni za kuaminishwa kwamba tunakwenda kwenye siasa za maridhiano. Tulifanya engagement kwenye ngazi zote. Hakuna kiongozi wa CCM ambaye hatukumfika"

"Tuliamini kwenye siasa za maridhiano, tuliamini kwenye siasa za kistaarabu. Na tumeyafanya haya Tanzania bara na Zanzibar kwa kuingia kwenye maridhiano. Malipo yetu yalikuwa ni nini? Malipo yetu ilikuwa viongozi wetu ikiwemo Mwenyekiti wetu wa ngome ya vijana kukamatwa, kutekwa na kuteswa"

"Tume yetu ya Uchaguzi imekuwa kama yule mwigizaji Joti. Maana Joti akivaa nguo za kike anaitwa nani? Kiboga. Akivaa kaptula kwenda shule anakuwa andunje lakini si joti yuleyule"

"Baada ya kukutana tumeamua kuwa ni muda wa chama chetu kubadili namna ya kufanya siasa katika nchi yetu na sasa ni wakati wa kwenda na hali ya bahari yenyewe ilivyo. Chama chetu kimeamua kitoke kwenye siasa za maridhiano, sasa twende kwenye siasa zinazohitajika kwa wakati huu, siasa za mapambano"

Haya sasa ndiyo maneno ya kiume, mnafanya maridhiano mchana usiku watu wenu wanatekwa na kuuwawa kikatili huo ni ufala.
 
NO REFORM NO ELECTION ihame kutoka kuwa ya CHADEMA, na kuwa ndiyo msimamo wa vyama vyote vya upinzani, na uwe ndio msimamo wa wananchi wote walio wazalendo wa kweli kwa Taifa letu.
"Vyama vyote vya upinzani"- HAIWEZEKANI. Hukumsikia Lipumba?

NO REFORM NO ELECTION kuwa " msimamo wa wananchi..." hapa ndipo penye kazi nzito sana inayo wasubiri hawa vyama vya upinzani. Kazi ya kuwafikia na kuwa elimisha wananchi juu ya haki na uhuru wa kura zao, hapa ndipo panapotakiwa kuwekeza nguvu zote toka sasa hadi Oktoba.
Ni wananchi pekee walio elimika ndio wenye uwezo wa kutimiza ahadi hii ya "NO REFORM, NO ELECTION".
CCM wakitambua kwamba wananchi wa kutosha wamepata elimu hiyo, utawaona wanabadilika haraka sana na kuwa wapole bila shurti.
 
Viongozi wa vyama vya upinzani, wanaharakati, watetezi wa haki, viongozi wa dini, na asasi mbalimbali, andaeni mkutano mkubwa wa pamoja utakaowahusisha wananchi na viongozi wote, ili kutoa tamko la pamoja.
Mikutano ya namna hiyo pamoja na kuwa na umuhimu wake, lakini usitegemee kuwa ndiyo itakayo kuwa njia ya kuwa vuta wananchi wachukue uamzi wa kuitekeleza hiyo "NO REFORM, NO ELECTION".
Hapa kinacho takiwa ni kuifikisha ajenda hiyo muhiu kwa wananchi, nyumba hadi nyumba, mtaa, kitongoji, kata, n.k..
Ndiyo maana ni lazima kujizatiti kikwelikweli juu ya kazi hiyo.
Hizo nyomi za mikutano za hao viongozi wakuu wa vyama zitakuwa za kutisha, lakini inapokuja kwenye ushiriki muhimu wa mtu kwa mtu, matokeo yake yanakuwa siyo ya kuridhisha.

Pamoja na ubovu wao, lakini muundo wanao utumia CCM tokea huko chini kabisa, ndio unao wapa kiburi kila mara kufanya hata uchafu wakati wa hizo chaguzi.
Mafanikio ya "NO REFORM, NO ELECTION" ni lazima yatokane na utayari wa wananchi katika ngazi zote tokea huko chini.
 

View: https://www.youtube.com/watch?v=It3WB1-ceDw&ab_channel=JAMBOTV

Isihaka Mchinjita - Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo ACT Bara

"Kama tulikuwa tunasubiri kuona maneno ya Rais Samia ni ya kweli au ni ya unafiki bsi uchaguzi wa Serikali za Mitaa basi ni ushahidi kuwa Rais Samia aliwanafikia Watanzania na bila iabu tukaenda kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa "

"CCM wanajua Uchaguzi wa mwaka 2019 ulikuwa umeharibiwa. Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wao Abdulrahman Kinana alikuja kwenye mkutano Mkuu wetu na akasema kinachowakatisha tamaa Watanzania ni uhribifu uliofanywa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019"

Katibu Mkuu wa sasa Emmanuel Nchimbi tumekutana nae TCD na mara zote kwenye kikao cha mwisho tukijadili mbovu zilizoletwa na TAMISEMI pale TCD watu wote walikuwa wanarejea uharibifu uliofanywa 2019. Aliposimama bila aibu akasema yale ya mwaka 2019 tunaomba tusiyataje taje sana, kwa sababu kulikuwa na mazingira maalum tunaomba tuyaache twende mbele"

Makamu wa kwanza Rais Zanzibar - Othman Masoud Othman

"Huko nyumba alishawahi kusema yule aliyetangulia, alisema atahakikisha vyama vya upinzani vitakufa. Lakini vyama vya upinzani vipo na vinaendelea kuwa imara"

"Chama chetu kilifanya siasa kwa mujibu wa siasa zilivyokuwa. Siasa tulizotoka ni za kuaminishwa kwamba tunakwenda kwenye siasa za maridhiano. Tulifanya engagement kwenye ngazi zote. Hakuna kiongozi wa CCM ambaye hatukumfika"

"Tuliamini kwenye siasa za maridhiano, tuliamini kwenye siasa za kistaarabu. Na tumeyafanya haya Tanzania bara na Zanzibar kwa kuingia kwenye maridhiano. Malipo yetu yalikuwa ni nini? Malipo yetu ilikuwa viongozi wetu ikiwemo Mwenyekiti wetu wa ngome ya vijana kukamatwa, kutekwa na kuteswa"

"Tume yetu ya Uchaguzi imekuwa kama yule mwigizaji Joti. Maana Joti akivaa nguo za kike anaitwa nani? Kiboga. Akivaa kaptula kwenda shule anakuwa andunje lakini si joti yuleyule"

"Baada ya kukutana tumeamua kuwa ni muda wa chama chetu kubadili namna ya kufanya siasa katika nchi yetu na sasa ni wakati wa kwenda na hali ya bahari yenyewe ilivyo. Chama chetu kimeamua kitoke kwenye siasa za maridhiano, sasa twende kwenye siasa zinazohitajika kwa wakati huu, siasa za mapambano"

Hawa ni wetu.Hawana madhara
 

View: https://www.youtube.com/watch?v=It3WB1-ceDw&ab_channel=JAMBOTV

Isihaka Mchinjita - Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo ACT Bara

"Kama tulikuwa tunasubiri kuona maneno ya Rais Samia ni ya kweli au ni ya unafiki bsi uchaguzi wa Serikali za Mitaa basi ni ushahidi kuwa Rais Samia aliwanafikia Watanzania na bila iabu tukaenda kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa "

"CCM wanajua Uchaguzi wa mwaka 2019 ulikuwa umeharibiwa. Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wao Abdulrahman Kinana alikuja kwenye mkutano Mkuu wetu na akasema kinachowakatisha tamaa Watanzania ni uhribifu uliofanywa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019"

Katibu Mkuu wa sasa Emmanuel Nchimbi tumekutana nae TCD na mara zote kwenye kikao cha mwisho tukijadili mbovu zilizoletwa na TAMISEMI pale TCD watu wote walikuwa wanarejea uharibifu uliofanywa 2019. Aliposimama bila aibu akasema yale ya mwaka 2019 tunaomba tusiyataje taje sana, kwa sababu kulikuwa na mazingira maalum tunaomba tuyaache twende mbele"

Makamu wa kwanza Rais Zanzibar - Othman Masoud Othman

"Huko nyumba alishawahi kusema yule aliyetangulia, alisema atahakikisha vyama vya upinzani vitakufa. Lakini vyama vya upinzani vipo na vinaendelea kuwa imara"

"Chama chetu kilifanya siasa kwa mujibu wa siasa zilivyokuwa. Siasa tulizotoka ni za kuaminishwa kwamba tunakwenda kwenye siasa za maridhiano. Tulifanya engagement kwenye ngazi zote. Hakuna kiongozi wa CCM ambaye hatukumfika"

"Tuliamini kwenye siasa za maridhiano, tuliamini kwenye siasa za kistaarabu. Na tumeyafanya haya Tanzania bara na Zanzibar kwa kuingia kwenye maridhiano. Malipo yetu yalikuwa ni nini? Malipo yetu ilikuwa viongozi wetu ikiwemo Mwenyekiti wetu wa ngome ya vijana kukamatwa, kutekwa na kuteswa"

"Tume yetu ya Uchaguzi imekuwa kama yule mwigizaji Joti. Maana Joti akivaa nguo za kike anaitwa nani? Kiboga. Akivaa kaptula kwenda shule anakuwa andunje lakini si joti yuleyule"

"Baada ya kukutana tumeamua kuwa ni muda wa chama chetu kubadili namna ya kufanya siasa katika nchi yetu na sasa ni wakati wa kwenda na hali ya bahari yenyewe ilivyo. Chama chetu kimeamua kitoke kwenye siasa za maridhiano, sasa twende kwenye siasa zinazohitajika kwa wakati huu, siasa za mapambano"

WAnasiasa wajanja sana.
Katulia kwanza kala mema ya nchi miaka 4, anaona uchaguzi umekaribia ndipo anajifanya anaanza mapambano...
 

View: https://www.youtube.com/watch?v=It3WB1-ceDw&ab_channel=JAMBOTV

Isihaka Mchinjita - Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo ACT Bara

"Kama tulikuwa tunasubiri kuona maneno ya Rais Samia ni ya kweli au ni ya unafiki bsi uchaguzi wa Serikali za Mitaa basi ni ushahidi kuwa Rais Samia aliwanafikia Watanzania na bila iabu tukaenda kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa "

"CCM wanajua Uchaguzi wa mwaka 2019 ulikuwa umeharibiwa. Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wao Abdulrahman Kinana alikuja kwenye mkutano Mkuu wetu na akasema kinachowakatisha tamaa Watanzania ni uhribifu uliofanywa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019"

Katibu Mkuu wa sasa Emmanuel Nchimbi tumekutana nae TCD na mara zote kwenye kikao cha mwisho tukijadili mbovu zilizoletwa na TAMISEMI pale TCD watu wote walikuwa wanarejea uharibifu uliofanywa 2019. Aliposimama bila aibu akasema yale ya mwaka 2019 tunaomba tusiyataje taje sana, kwa sababu kulikuwa na mazingira maalum tunaomba tuyaache twende mbele"

Makamu wa kwanza Rais Zanzibar - Othman Masoud Othman

"Huko nyumba alishawahi kusema yule aliyetangulia, alisema atahakikisha vyama vya upinzani vitakufa. Lakini vyama vya upinzani vipo na vinaendelea kuwa imara"

"Chama chetu kilifanya siasa kwa mujibu wa siasa zilivyokuwa. Siasa tulizotoka ni za kuaminishwa kwamba tunakwenda kwenye siasa za maridhiano. Tulifanya engagement kwenye ngazi zote. Hakuna kiongozi wa CCM ambaye hatukumfika"

"Tuliamini kwenye siasa za maridhiano, tuliamini kwenye siasa za kistaarabu. Na tumeyafanya haya Tanzania bara na Zanzibar kwa kuingia kwenye maridhiano. Malipo yetu yalikuwa ni nini? Malipo yetu ilikuwa viongozi wetu ikiwemo Mwenyekiti wetu wa ngome ya vijana kukamatwa, kutekwa na kuteswa"

"Tume yetu ya Uchaguzi imekuwa kama yule mwigizaji Joti. Maana Joti akivaa nguo za kike anaitwa nani? Kiboga. Akivaa kaptula kwenda shule anakuwa andunje lakini si joti yuleyule"

"Baada ya kukutana tumeamua kuwa ni muda wa chama chetu kubadili namna ya kufanya siasa katika nchi yetu na sasa ni wakati wa kwenda na hali ya bahari yenyewe ilivyo. Chama chetu kimeamua kitoke kwenye siasa za maridhiano, sasa twende kwenye siasa zinazohitajika kwa wakati huu, siasa za mapambano"

ACT wametupotezea muda sana kwa kutaka kuonekana na ccm ni wastaarabu. Toka muda ccm wanafahamika hawako tayari kwa siasa za kistaarabu , bali wanatumia neno siasa za kistaarabu ili kuhadaa umma.
 

View: https://www.youtube.com/watch?v=It3WB1-ceDw&ab_channel=JAMBOTV

Isihaka Mchinjita - Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo ACT Bara

"Kama tulikuwa tunasubiri kuona maneno ya Rais Samia ni ya kweli au ni ya unafiki bsi uchaguzi wa Serikali za Mitaa basi ni ushahidi kuwa Rais Samia aliwanafikia Watanzania na bila iabu tukaenda kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa "

"CCM wanajua Uchaguzi wa mwaka 2019 ulikuwa umeharibiwa. Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wao Abdulrahman Kinana alikuja kwenye mkutano Mkuu wetu na akasema kinachowakatisha tamaa Watanzania ni uhribifu uliofanywa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019"

Katibu Mkuu wa sasa Emmanuel Nchimbi tumekutana nae TCD na mara zote kwenye kikao cha mwisho tukijadili mbovu zilizoletwa na TAMISEMI pale TCD watu wote walikuwa wanarejea uharibifu uliofanywa 2019. Aliposimama bila aibu akasema yale ya mwaka 2019 tunaomba tusiyataje taje sana, kwa sababu kulikuwa na mazingira maalum tunaomba tuyaache twende mbele"

Makamu wa kwanza Rais Zanzibar - Othman Masoud Othman

"Huko nyumba alishawahi kusema yule aliyetangulia, alisema atahakikisha vyama vya upinzani vitakufa. Lakini vyama vya upinzani vipo na vinaendelea kuwa imara"

"Chama chetu kilifanya siasa kwa mujibu wa siasa zilivyokuwa. Siasa tulizotoka ni za kuaminishwa kwamba tunakwenda kwenye siasa za maridhiano. Tulifanya engagement kwenye ngazi zote. Hakuna kiongozi wa CCM ambaye hatukumfika"

"Tuliamini kwenye siasa za maridhiano, tuliamini kwenye siasa za kistaarabu. Na tumeyafanya haya Tanzania bara na Zanzibar kwa kuingia kwenye maridhiano. Malipo yetu yalikuwa ni nini? Malipo yetu ilikuwa viongozi wetu ikiwemo Mwenyekiti wetu wa ngome ya vijana kukamatwa, kutekwa na kuteswa"

"Tume yetu ya Uchaguzi imekuwa kama yule mwigizaji Joti. Maana Joti akivaa nguo za kike anaitwa nani? Kiboga. Akivaa kaptula kwenda shule anakuwa andunje lakini si joti yuleyule"

"Baada ya kukutana tumeamua kuwa ni muda wa chama chetu kubadili namna ya kufanya siasa katika nchi yetu na sasa ni wakati wa kwenda na hali ya bahari yenyewe ilivyo. Chama chetu kimeamua kitoke kwenye siasa za maridhiano, sasa twende kwenye siasa zinazohitajika kwa wakati huu, siasa za mapambano"

Ccm kama ccm kisilaumiwe. Maama wao kama.chama hawana nguvu hiyo.
 

View: https://www.youtube.com/watch?v=It3WB1-ceDw&ab_channel=JAMBOTV

Isihaka Mchinjita - Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo ACT Bara

"Kama tulikuwa tunasubiri kuona maneno ya Rais Samia ni ya kweli au ni ya unafiki bsi uchaguzi wa Serikali za Mitaa basi ni ushahidi kuwa Rais Samia aliwanafikia Watanzania na bila iabu tukaenda kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa "

"CCM wanajua Uchaguzi wa mwaka 2019 ulikuwa umeharibiwa. Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wao Abdulrahman Kinana alikuja kwenye mkutano Mkuu wetu na akasema kinachowakatisha tamaa Watanzania ni uhribifu uliofanywa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019"

Katibu Mkuu wa sasa Emmanuel Nchimbi tumekutana nae TCD na mara zote kwenye kikao cha mwisho tukijadili mbovu zilizoletwa na TAMISEMI pale TCD watu wote walikuwa wanarejea uharibifu uliofanywa 2019. Aliposimama bila aibu akasema yale ya mwaka 2019 tunaomba tusiyataje taje sana, kwa sababu kulikuwa na mazingira maalum tunaomba tuyaache twende mbele"

Makamu wa kwanza Rais Zanzibar - Othman Masoud Othman

"Huko nyumba alishawahi kusema yule aliyetangulia, alisema atahakikisha vyama vya upinzani vitakufa. Lakini vyama vya upinzani vipo na vinaendelea kuwa imara"

"Chama chetu kilifanya siasa kwa mujibu wa siasa zilivyokuwa. Siasa tulizotoka ni za kuaminishwa kwamba tunakwenda kwenye siasa za maridhiano. Tulifanya engagement kwenye ngazi zote. Hakuna kiongozi wa CCM ambaye hatukumfika"

"Tuliamini kwenye siasa za maridhiano, tuliamini kwenye siasa za kistaarabu. Na tumeyafanya haya Tanzania bara na Zanzibar kwa kuingia kwenye maridhiano. Malipo yetu yalikuwa ni nini? Malipo yetu ilikuwa viongozi wetu ikiwemo Mwenyekiti wetu wa ngome ya vijana kukamatwa, kutekwa na kuteswa"

"Tume yetu ya Uchaguzi imekuwa kama yule mwigizaji Joti. Maana Joti akivaa nguo za kike anaitwa nani? Kiboga. Akivaa kaptula kwenda shule anakuwa andunje lakini si joti yuleyule"

"Baada ya kukutana tumeamua kuwa ni muda wa chama chetu kubadili namna ya kufanya siasa katika nchi yetu na sasa ni wakati wa kwenda na hali ya bahari yenyewe ilivyo. Chama chetu kimeamua kitoke kwenye siasa za maridhiano, sasa twende kwenye siasa zinazohitajika kwa wakati huu, siasa za mapambano"

Baada ya kula na kushiba.
 
Back
Top Bottom