Pre GE2025 Makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar: ACT kimeamua kitoke kwenye siasa za maridhiano, tunaanza kufanya siasa za mapambano

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hiki chama zito kabwe yumo? Kama yupo atawavuruga kweli kweli! Jamaa huyu siku hizi ni msaliti na mlamba miguu ya mama
 
WAnasiasa wajanja sana.
Katulia kwanza kala mema ya nchi miaka 4, anaona uchaguzi umekaribia ndipo anajifanya anaanza mapambano...
Je uchaguzi ni haki ili akosen sababu ya siasa za mapambano? Amesema kilichokuwa kinaendelea ni siasa za ulaghai, ila uchaguzi wa SM za umeonyesha ni ulaghai tu.
 
No reform No election
shikilieni hapo hapo Msije kubadilika!
 
Ila dalali zito na wenzako mnavituko sana mmekula mema ya nchi miaka 4 unakaribia uchaguzi mnataka kuhadaa wananchi

Baada ya uchaguzi unarudisha tena mpira kwa kipa
 
Hawa wajinga wameanzisha Tena kampeni ndogo katikati ya kampeni kubwa.

Wakati wenzao wakiwa kwenye kampeni ya kupigania katiba mpya wao walianzisha yao ya Time huru ya Uchaguzi kuelekea katiba mpya lengo ilikuwa ni kuwapa gate way CCM ya kukwepa katiba mpya na
Sasa No reforms No election imewaibua tena mafichoni.

Same people same script
 
Lakini kumbuka ACT wanaendelea na zoezi la kuandaa wagombea wa ubunge. Uwakilishi na nadiwani, nyinyi CHADEMA endeleeni kuingizwa mkenge; Oktoba 2025 mtawaona wenzenu bungeni, baraza la wawakilishi na katika serikali ya umoja wa kitaifa Januari 2926.

Mtakumbuka shaka kumekucha.

Hawa wanaokesha kujadili mechi ya Simba na yanga kutofanyika ndio waingie barabarani?
 
Uamuzi sahihi kabisa bado Mzee Hashim Rungwe ulaghai wa Samia umeshtukiwa thank you God.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…