Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 9,164
- 18,402
Huyu jamaa wachache walokuwa wanapendelea nafsi zao na wanafaidika na udhulumati walihakikisha hawampi nchi mana angeleta mabadiliko makubwa. Alikusudia hasa kuikomboa Zanzibar na Wazanzibar. Hakuchoka na alikua very patient akiamini ipo siku kusudio lake litafanikiwa. Makatili wachache hawakutaka kumpa nafasi.Rest easy legend. Atazaliwa tu kama yeye. ....one day yes.... mapinduzi ya ukombozi wa Mzanzibari yatapatikana tu.Aisee ni kweli jamaa historia yake ni balaa, namsikiliza Abdulkarim Atik hapa TBC 1 anamuelezea Maalim hakika mimi mwenyewe najilaumu kwanini sikufatilia historia ya huyu jamaa
Mzee Atik anasema Maalim alikwenda Brunei akaonana na mfalme na alipewa dollar za kutosha lakini aliporudi Znz akakabidhi zile Pesa zote japo alikabidhiwa yeye kama yeye kwa matumizi yake binafsi.
Mzee Atik anasema kama ingekuwa ni Kenya bac Maalim angekuwa mwanasiasa Billionaire na kumbuka yy ndio muasisi wa baraza la wawakilishi in short kafanya mengi ndani ya Znz