TANZIA Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad afariki dunia

Unaweza kuta stone amejipiga chanjo kimya kimya hana maana yule mwamba
 
Mkuu siasa kitu kibaya sana hata lisu na yeye angekubali kutibiwa Tanzania na yeye angekuwa tushamsahau walivyoona zanzibar mechi ngumu ikapelekwa taifa mechi maana marefa wao mungu awalaani wote waliohusika kwenye zoezi hili.

RIP MAALIM
 
Bora tungeendelea kusikia zile skendo za akina paula[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huku kwa TANZIA hakufai kabisa[emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huku pia ni muhimu kujua mustakabali wa maisha yetu.
 
Innalilah wainnailaihi rajiuun.
maalim hakuacha pengo ameacha mapengo,kubwa ambalo alikuwa akilipigania dhidi ya uhai wake ni kuwaweka pamoja WaZanzibari na hakuwacha kuwausia jambo hilo na kama amefanikiwa basi ameondoka Duniani akiwaachia WaZanzibar zawadi ndani ya umoja na mashikamano.

Tunaweza kusema kukubali kuingia kwake ndani ya serikali ya Umoja wa Kitaifa ni uwezo wa ALLAH kumtimizia ahadi yake aliyokuwa akiitamani muda wa uhai wake,Maalim ameondoka amewacha WaZanzibari ndani ya furaha na matumaini mapya.Amewaacha pale ambapo alitamani.
 
RIP mpambanaji..........kuna mwingine yuko njiani.....sio kwamba tunafurahi bali tuna huzuni.....misiba mitaani kila kona.......mshkaji damu wa jiwe kamfuta Maalim fasta......who netx??? Mungu pekee ajuae.....tunaomba po ee Mungu....
 
ishu si usafiri wa meli, changamoto ninayoiona mimi ni usafiri wa barabarani utakuwa wa tabu sanaaa na vurugu huko Pemba.
Nimewahi kufika huko.Barabara zao ni za nyoka sana na nyembamba kupita kiasi.Wangejua mwaka wa kufa Seif basi wangezitengeneza kidogo.
 
Wameshasema haifai huku kwetu ya nini tena.Hata hizo nyengine baada ya mwaka zitakuwa hazina maana tena kwani wanasema hicho kiddudu kinabadili sura kila siku.Bora tuchukue msimamo wetu huu huu na Mungu atatulinda.
 
Kwa hyo unataka kusema wamemuua na s ugonjwa?
 
Kama wanalitaka kumuuwa TL ujue kila aliekua mpinzani alikua yumo kwenye list ya kupotezwa ukiachia mbali hawa wakiowaweka ndani bila sababu, Mungu mnusuru Mdude na sindano za sumu kutoka kwa hawa magaidi Ccm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…