Makamu wa Rais Dk. Mpango tuombe Radhi!

vc niini?
 
Hafai hata kuwa Makamu wa Rais amechangia Uchafu wote wa Uchumi na Fedha uliopo
 
we acha tu, walimdanganya jiwe kuwa yuko fiti akawa anapiga na pushup kumbe anatembelea betri kama remote ya tv, wangetueleza kuwa mzee hayuko poa tungemzuia huko kujimwambafai, huyu nae supana mkononi sijui kama ataiweza kuizungukia hii nchi, manake tangu ateuliwe tofauti na dodoma keshaenda dar na mwanza tu, tena kwenye minuso tu,
 
Kuna watu wanatamani kufuta maneno, kauli na matamshi yao waliyoyatoa wakati wa JPM sema ndio haiwezekani na mbaya zaidi technolojia imetusaidia kuhifadhi kumbukumbu.
 
Uchumi wa kati haubase kwenye hizo % brother..
Taifa kama la Germany liko katika uchumi wa juu kabisa na ni Taifa lenye uchumi mkubwa zaidi pale barani Ulaya lakini % zao ushawahi kuziona? Embu tafuta google ujionee mwenyeweView attachment 1770832
Sisi Wananchi wa kawaida mnatuchanganya.
 
Teletee hiyo hotuba otherwise na wewe ni muongo kama wao
 
Mbona hayati alisema sisi corona haituhusu hivyo tuendelee kuchapa kazi ili tuilishe dunia ambayo imejifungia ndani sasa iweje uchumi uporomoke tena wakati sisi corona haituhusu?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tanzania ukianza kuhesabu WANAFKI unaweza ukawabaini karibia nchi nzima. Muongo anazaa sana watoto...watoto wanakuwa waongo kwa kurithi, huyu muongo anaajiriwa serikalini kwa ujanja ujanja..wanafunzi nao wanalishwa uongo na ujanja ujanja. Taifa lijalo ndio litakuwa vituko kuliko tuonavyo sasa
 
[emoji15]!!! HEEE!!! Acheni uongo Kwani wakati wa MWENDAZAKE kulikua kuna CORONA acheni kupotosha nyie ndio wenye lile genge lenye nia ya kufuta LEGACY ya marehem MALAIKA wakati CORONA haikuwepo bana

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ona sasa kumbe na wewe huna akili ndio maana unamtetea. Jifunze kutumia akili vizuri....!
 
Ukweli gani kaongea hapo zaidi ya porojo...! Kwani uongo Corona kuathiri uchumi.?
Kwani wakati wa MAGU Corona ilikuwepo !!!???

Si alisema CORONA haikuwepo Tanzania ila kulikua na ugonjwa wa changamoto ya Upumuaji

Kwani changamoto ya Upumuaji nayo ilikua inaathiri uchumi au mi ndio sielewi !!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

MWENDA ZAKE BANA YAANI KATUACHIA KELELE ZA LEGACY KILA KONA CHA AJABU LEGACY YENYEWE INAPOTEA KILA UCHWAO [emoji17][emoji17][emoji17]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…