Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
- Thread starter
- #41
Kuna watu humu jamvini wanasema hivyo, aisee haiwezekani.
Yanga FC waondoka rasmi Uwanja wa Mkapa
Yanga waondoka rasmi uwanja Wa mkapa , wakigomea mabadiliko ya muda Wa mchezo wao uliotakiwa kuchezwa Leo saa 11 jioni na kupelekwa mbele saa 1 jioni Wachezaji na viongozi wao wote wameondoka .