Makamu wa Rais Dkt. Mpango amtembelea Mjane Janeth Magufuli

niliangalia tu matumizi ya rasilimali
Nasubiri uelezee matumizi ya rasilimali ya tarehe 08/05/2021 yaliyofanyika huko Dar es Salaam. Hata hivyo, unaweza kupuuzia bandiko hili kama huna maelezo.
 
Labda wanaume wanamuogopa, ujue mwanamke akishakua vile pia wanaume huwa wanaingia uwoga....

Au nasema uongo ndugu zangu.?!
Kuna siku hivi nipo sehemu, wakawa wanamzungumzia DC, kuhusu kutoolewa ili hali ana kila sifa ya kuitwa mke, m1 akajibu yule hawezi olewa na hawezi pata kijana wa umri wake,
Wanaogopa Gridi ya taifa kuunganishwa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan nilicheka huku nikisikitika.
 
Kwanini Mjane alitoka upesi Chato na kurejea Dar es Salaam hivi? Sidhani kama kuna Uhusiano mzuri kati yake na Ndugu wa Hayati na huenda kuna Matukio yamemtisha na Kumkimbiza huko Chato.
Itakua kuna mgogoro
 
Huyo mama bado kijana ssna nashauri serikali imtafutie mume wa kumfariji na kumtuliza hisia zake.
Deo kisandu kajitolea kuwa na huyo mjane
 
Mkuu naona unaitendea haki kweli kweli jinsia yako.
 
hiz picha sio, weka zile zenye maburungutu
 
Ada Estate wameshahama 😳😳😳? Au ashatimuliwa na ndugu wa marehemu πŸ€”πŸ€”πŸ€”
 
Huyo mama bado kijana ssna nashauri serikali imtafutie mume wa kumfariji na kumtuliza hisia zake.
Deo kisandu kajitolea kuwa na huyo mjane
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka km mazuri khaaaaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…