TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Nasubiri uelezee matumizi ya rasilimali ya tarehe 08/05/2021 yaliyofanyika huko Dar es Salaam. Hata hivyo, unaweza kupuuzia bandiko hili kama huna maelezo.niliangalia tu matumizi ya rasilimali
DC hawezi pata mtu aolewe, akae kwa kutulia tyuuh.Huyo mmama nae hamnazo kuiweka rehani ndoa kiasi kile, kama bado ipo hiyo ndoa akatoe sadaka...
Dc nae apate sasa mtu aolewe, boifrendi kishadanja hivo [emoji23]
Why? She is a super woman....ana akili, mchapakazi, nk nampenda sanaDC hawezi pata mtu aolewe, akae kwa kutulia tyuuh.
Super woman, mchapakazi, ana akili na anajitambua, ila kuolewa mmmh, muda utaongea.Why? She is a super woman....ana akili, mchapakazi, nk nampenda sana
Sijui DC anafeli wapi, amekuwa kama kiwanja cha kupashia mwiliHuyo mmama nae hamnazo kuiweka rehani ndoa kiasi kile, kama bado ipo hiyo ndoa akatoe sadaka...
Dc nae apate sasa mtu aolewe, boifrendi kishadanja hivo [emoji23]
Hiyo sio sifa pekee...hana nyota tuWhy? She is a super woman....ana akili, mchapakazi, nk nampenda sana
Labda wanaume wanamuogopa, ujue mwanamke akishakua vile pia wanaume huwa wanaingia uwoga....Super woman, mchapakazi, ana akili na anajitambua, ila kuolewa mmmh, muda utaongea.
πππππ Jamani!!!Sijui DC anafeli wapi, amekuwa kama kiwanja cha kupashia mwili
Labda wanaume wanamuogopa, ujue mwanamke akishakua vile pia wanaume huwa wanaingia uwoga....
Au nasema uongo ndugu zangu.?!
Kweli, ameonjwa onjwa sana sijui kwanini hakuna aliyemganda, wote wanaonja karanga na hawanunui[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Jamani!!!
Kuna siku hivi nipo sehemu, wakawa wanamzungumzia DC, kuhusu kutoolewa ili hali ana kila sifa ya kuitwa mke, m1 akajibu yule hawezi olewa na hawezi pata kijana wa umri wake,Labda wanaume wanamuogopa, ujue mwanamke akishakua vile pia wanaume huwa wanaingia uwoga....
Au nasema uongo ndugu zangu.?!
Mkuu naona unaitendea haki kweli kweli jinsia yako.Inadaiwa hivyo kulikuwa na tetesi kwamba jamaa alimpiga baada ya kutoka nyumbani kwake bila kumtaarifu jamaa. Jamaa alimtafuta na akaambiwa katoka na yeye hakujua ameenda wapi. Akaomba akirudi ataarifiwe na alipopewa taarifa akaenda kumbamiza. Na hasira zake nadhani hata ubunge wa viti maalum hakumteua pamoja na alikuwa ana uwezo wa kufanya hivyo.
hiz picha sio, weka zile zenye maburungutuMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, akizungumza na Mjane wa Hayati Dkt. John Magufuli Mama Janeth Magufuli wakati alipomtembelea Nyumbani kwake Masaki Jijini Dar es Salaam leo Mei 08,2021. Katikati ni Mke wa Makamu wa Rais Mama Mbonimpaye Mpango.
Mwendazake alikua akimdunda dailyMjane anaonekana mwenye furaha tofauti na hapo zamani, na amenawiri bila shaka ana amani sana....
Atakua na amani sana mama.Mwendazake alikua akimdunda daily
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka km mazuri khaaaaahHuyo mama bado kijana ssna nashauri serikali imtafutie mume wa kumfariji na kumtuliza hisia zake.
Deo kisandu kajitolea kuwa na huyo mjane