inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Nyerere hakutaka kbs Tanganyika,sijui kwa nini!?Ila kuna Zanzibar bila Tanganyika, huu ni utopolo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyerere hakutaka kbs Tanganyika,sijui kwa nini!?Ila kuna Zanzibar bila Tanganyika, huu ni utopolo
Wanapishana tu! Keshokutwa Waziri Mkuu aende India.Yeah mambo juu ya mambo anga za juu!
Mpango ni Mrundi?Kwani mtu ukimwita mchaga au mzanzibari huo ni ubaguzi?
Hawa wanahudhuria mikutano ambayo ni open kwa viongpzi wa nchi zote, lakini ni kazi sana kupata mialiko ya nchi za Ulaya Magharibi na Amerika ya Kaskazini. Samia alijaribu sana alipokuwa Marekani ilishindikana.Nakutakia safari njema Mh. Mpango, nchi inaendeshwa kwa mipango makini na wala mtu huwezi kujifungia ndani eti kwa kisingizio cha kubana matumizi. Hiyo ni safari ya kikazi na yenye manufaa makubwa hapo baadaye kwa nchi yetu.
Natarajia hapo baadaye kuwa utatembelea nchi nyingine kama vile za Scandinavia, Amerika Kaskazini na Kusini, Umoja wa BRICS, Umoja wa Ulaya huku ukiambatana na ujumbe mzito wenye wataalamu mbalimbali ili wapate kujifunza mambo mbalimbali kutoka kwa wenzetu.
Akitoka huko apitie Ethiopia kuona wenzetu wanavyojengwa bwawa la kufua umemeMakamu wa Rais Dkt. @dr_philip_isdor_mpango leo [emoji1001]Nov 14,2021 anatarajia kuondoka Nchini kuelekea Sentosa Island Nchini [emoji1215]Singapore kushiriki mkutano wa Jukwaa la Majadiliano ya Kiuchumi (Bloomberg New Economy Forum 2021 ), Wenye lengo la kujadili masuala mbalimbali ikiwemo muelekeo mpya wa kiuchumi baada ya athari za Uviko19.
Aidha Makamu wa Rais anatarajia kukutana na kufanya mazungumzo ya ana kwa ana na Viongozi wa nchi mbalimbali, Wakuu wa Mashirika ya Kimataifa
Wafanyabiashara pamoja na Wakuu wa Taasisi mbalimbali kwa lengo la kuimarisha ushirikiano baina ya 🇹Tanzania na nchi hizo pamoja na Taasisi zao.Mkutano huo unatarajia kufanyika kuanzia Novemba 16 hadi November 19, 2021
View attachment 2010128
Wakirudi watupe report walichokifuata huko!Wanapishana tu! Keshokutwa Waziri Mkuu aende India.
Hakuna muungano hapo ni upuuzi wa wanasiasa tuTanzania ni Muungano ndugu labda ungesema Tanganyika.
Aliyeuwa nafasi ya Raisi wa Tanganyika ni Mtanganyika mwenyewe.