Makamu wa Rais, Dkt Mpango anasafiri kwenda Singapore leo Novemba 14

Hawa wanahudhuria mikutano ambayo ni open kwa viongpzi wa nchi zote, lakini ni kazi sana kupata mialiko ya nchi za Ulaya Magharibi na Amerika ya Kaskazini. Samia alijaribu sana alipokuwa Marekani ilishindikana.

Mataifa ya Ulaya na America yana ethics. Samia alitaka akutane na Biden, huku nchini kwake akiwa amewafungia kwenye mahabusu za polisi wanaomkosoa. Wakamkatalia. Mpaka sasa mialiko ya nchi ategemee zaidi ya mataifa ya Afrika ambayo hayana ethics.
 
Naona Wanapishana tu angani, huyu akirudi utasikia Chifu nae amepata mwaliko tena
 
Akitoka huko apitie Ethiopia kuona wenzetu wanavyojengwa bwawa la kufua umeme

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…