Makamu wa Rais Dkt. Mpango awasili Rwanda kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi za Jumuiya ya Madola

Makamu wa Rais Dkt. Mpango awasili Rwanda kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi za Jumuiya ya Madola

View attachment 2269769
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango akizungumza na baadhi ya viongozi wa Serikali wanaoshiriki Mkutano wa 26 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Madola unaofanyika jijini Kigali, Rwanda, Juni 20-25, 2022.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango amewasili Nchini Rwanda tarehe 22 Juni 2022 kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa nchi za Jumuiya ya Madola (Commonwealth Heads of Government Meeting-CHOGM) unaofanyika katika mji mkuu wa nchi hiyo, Kigali.

Makamu wa Rais anamwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwenye mkutano huo ulioanza tarehe 20 Juni na utahitimishwa tarehe 25 Juni 2022.

Makamu wa Rais, mbali ya kushiriki kwenye mkutano huo ameombwa pia miadi ya kufanya mazungumzo na viongozi mbalimbali wakiwemo Rais wa Namibia, Hage Geingob; Waziri Mkuu wa Mauritius; Pravind Jugnauth; Waziri Mkuu wa Canada, Justin Trudeau na Melinda Gates.

Inaelezwa kuwa miadi hiyo ni ishara ya dhahiri ya kuendelea kuimarika kwa diplomasia ya Tanzania duniani chini ya Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia.

Hivyo, Makamu wa Rais anatarajiwa kutumia miadi hiyo kusisitiza umuhimu wa kuimarisha uhusiano na ushirikiano baina ya pande mbili na hasa ushirikiano katika eneo la uwekezaji na biashara pamoja na utoaji wa huduma za kijamii kwa wananchi.

View attachment 2269770
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango akiwa katika kikao cha maandalizi na ujumbe wake kabla ya kushiriki kwenye mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Madola unaofanyika jijini Kigali, Rwanda, Juni 20-25, 2022.

Aidha, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula naye yupo nchini humo kushiriki Mkutano huo katika ngazi ya Mawaziri tarehe 23 Juni 2022.

Kama ilivyo kwa Makamu wa Rais, Balozi Mulamula ameombwa miadi ya kufanya mazungumzo na Mawaziri wa mambo ya nje wa nchi za India, Zambia, Botswana, Eswatini, Singapore na mke wa Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza, Tony Blair, Bibi Cherie Blair ambaye ni mwanzilishi wa Cherie Foundation.

Wakati huohuo, mikutano ya utangalizi ya mkutano huo, inaendelea ambapo tarehe 20 hadi 23 Juni 2022 ilifanyika mikutano ya jukwaa la vijana, jukwaa la wanawake na jukwaa la biashara. Tanzania ilishiriki katika majukwaa yote hayo.

Wakati wa mkutano wa jukwaa la biashara, washiriki pamoja na mambo mengine, walijadili namna bora ya kufanya biashara huku dunia ikiwa bado inakabiliwa na janga la ugonjwa wa Corona na athari za vita kati ya Urusi na Ukraine.

Ujumbe wa Tanzaia katika mkutano huo uliongozwa na Naibu Katibu Mkuu wa Viwanda na Biashara katika Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Dkt. Hashil Abdallah ambaye alieleza hatua zinazochukuliwa na Serikali ya awamu ya sita za kuboresha mazingira ya biashara na fursa lukuki za uwekezaji zinazopatikana nchini.

Kwa upande wa mkutano wa jukwaa la vijana ambapo Tanzania iliwakilishwa na vijana saba, ulisistizwa umuhimu wa kuwaendeleza vijana. Ilielezwa kuwa endapo nchi za Jumuiya ya Madola zinahitaji kufikia maendeleo ya kweli, hazina budi kuwekeza kwa vijana kwa sababu katika nchi hizo vijana ni zaidi ya asilimia 60.

Kuhusu mkutano wa jukwaa la wanawake, ulisisitizwa umuhimu wa kumuendeleza mwanamke ikiwa ni pamoja na kumpatia elimu ya kumiliki, kukuza na kufanya biashara, kuweka usawa wa kijinsia na kukomesha vitendo vyote vya unyanyasaji dhidi ya wanawake.

View attachment 2269773
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula akifafanua jambo kwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango kuhusu ushiriki wa Tanzania katika mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Madola unaofanyika Jijini Kigali, Rwanda, Juni 20-25, 2022.
our next president.
mwakani siku na wakati kama huu, jina litakuwa lishabadirika na kuwa Mh. Rais F. Mpango
 
Watambue tu kwamba waingereza awapendi dharau.

Wanakuona unapaa huko kusiko na kichwa wala miguu; halafu safari ya masaa mawili nchi jirani walipo unatuma mtu wa kukuwakilisha.

Wakati wao hilo jambo ni serious anaenda waziri mkuu na Queen (Prince Charles anamwakilisha mama yake). Hiyo ni highest dignitaries U.K. can send anywhere halafu we hunamuda.

Jamaa watu wa visasi watch this space
 
Watambue tu kwamba waingereza awapendi dharau.

Wanakuona unapaa huko kusiko na kichwa wala miguu; halafu safari ya masaa mawili nchi jirani walipo unatuma mtu wa kukuwakilisha.

Wakati wao hilo jambo ni serious anaenda waziri mkuu na Queen (Prince Charles anamwakilisha mama yake). Hiyo ni highest dignitaries U.K. can send anywhere halafu we unamuda.

Jamaa watu wa visasi watch this space
"Jamaa watu wa visasi watch this space".

Nakubali mkuu,jamaa kwa visasi hua sio wa mchezo mchezo.Hawawajui vzr kwa figisu zao.
 
View attachment 2269769
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango akizungumza na baadhi ya viongozi wa Serikali wanaoshiriki Mkutano wa 26 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Madola unaofanyika jijini Kigali, Rwanda, Juni 20-25, 2022.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango amewasili Nchini Rwanda tarehe 22 Juni 2022 kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa nchi za Jumuiya ya Madola (Commonwealth Heads of Government Meeting-CHOGM) unaofanyika katika mji mkuu wa nchi hiyo, Kigali.

Makamu wa Rais anamwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwenye mkutano huo ulioanza tarehe 20 Juni na utahitimishwa tarehe 25 Juni 2022.

Makamu wa Rais, mbali ya kushiriki kwenye mkutano huo ameombwa pia miadi ya kufanya mazungumzo na viongozi mbalimbali wakiwemo Rais wa Namibia, Hage Geingob; Waziri Mkuu wa Mauritius; Pravind Jugnauth; Waziri Mkuu wa Canada, Justin Trudeau na Melinda Gates.

Inaelezwa kuwa miadi hiyo ni ishara ya dhahiri ya kuendelea kuimarika kwa diplomasia ya Tanzania duniani chini ya Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia.

Hivyo, Makamu wa Rais anatarajiwa kutumia miadi hiyo kusisitiza umuhimu wa kuimarisha uhusiano na ushirikiano baina ya pande mbili na hasa ushirikiano katika eneo la uwekezaji na biashara pamoja na utoaji wa huduma za kijamii kwa wananchi.

View attachment 2269770
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango akiwa katika kikao cha maandalizi na ujumbe wake kabla ya kushiriki kwenye mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Madola unaofanyika jijini Kigali, Rwanda, Juni 20-25, 2022.

Aidha, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula naye yupo nchini humo kushiriki Mkutano huo katika ngazi ya Mawaziri tarehe 23 Juni 2022.

Kama ilivyo kwa Makamu wa Rais, Balozi Mulamula ameombwa miadi ya kufanya mazungumzo na Mawaziri wa mambo ya nje wa nchi za India, Zambia, Botswana, Eswatini, Singapore na mke wa Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza, Tony Blair, Bibi Cherie Blair ambaye ni mwanzilishi wa Cherie Foundation.

Wakati huohuo, mikutano ya utangalizi ya mkutano huo, inaendelea ambapo tarehe 20 hadi 23 Juni 2022 ilifanyika mikutano ya jukwaa la vijana, jukwaa la wanawake na jukwaa la biashara. Tanzania ilishiriki katika majukwaa yote hayo.

Wakati wa mkutano wa jukwaa la biashara, washiriki pamoja na mambo mengine, walijadili namna bora ya kufanya biashara huku dunia ikiwa bado inakabiliwa na janga la ugonjwa wa Corona na athari za vita kati ya Urusi na Ukraine.

Ujumbe wa Tanzaia katika mkutano huo uliongozwa na Naibu Katibu Mkuu wa Viwanda na Biashara katika Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Dkt. Hashil Abdallah ambaye alieleza hatua zinazochukuliwa na Serikali ya awamu ya sita za kuboresha mazingira ya biashara na fursa lukuki za uwekezaji zinazopatikana nchini.

Kwa upande wa mkutano wa jukwaa la vijana ambapo Tanzania iliwakilishwa na vijana saba, ulisistizwa umuhimu wa kuwaendeleza vijana. Ilielezwa kuwa endapo nchi za Jumuiya ya Madola zinahitaji kufikia maendeleo ya kweli, hazina budi kuwekeza kwa vijana kwa sababu katika nchi hizo vijana ni zaidi ya asilimia 60.

Kuhusu mkutano wa jukwaa la wanawake, ulisisitizwa umuhimu wa kumuendeleza mwanamke ikiwa ni pamoja na kumpatia elimu ya kumiliki, kukuza na kufanya biashara, kuweka usawa wa kijinsia na kukomesha vitendo vyote vya unyanyasaji dhidi ya wanawake.

View attachment 2269773
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula akifafanua jambo kwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango kuhusu ushiriki wa Tanzania katika mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Madola unaofanyika Jijini Kigali, Rwanda, Juni 20-25, 2022.

Pamoja na juhudi kubwa ya Patricia Scotland katibu mkuu wa Jumuiya ya Madola kufika Tanzania na kutoa mwaliko rasmi lakini Tanzania imeshindwa kutumia fursa hii ya diplomasia ya uchumi, ushawishi na Tanzania Royal Tour kujiweka katika nafasi ya kuonekana kupitia jukwaa la Commonwealth

Commonwealth Secretary-General arrives in Tanzania ahead of first meeting with President Hassan​

2 months ago TOPAFRICANEWS
unnamed.jpg

Photo: From left, Minister of Foreign Affairs, Tanzania, Liberata Mulamula and Secretary-General of the Commonwealth, The Rt. Hon. Patricia Scotland QC.

The Secretary-General of the Commonwealth, The Rt. Hon. Patricia Scotland QC, arrived today in Dar es Salaam, Tanzania where she will be conducting her first official visit to Tanzania since President Samia Suluhu Hassan’s inauguration.
The Secretary-General will be in the country from 4th May to 7th May 2022 and is conducting bilateral meetings with several senior government officials whilst she is in Tanzania.
On her arrival in the country, Secretary-General Scotland was met by Tanzania’s Minister of Foreign Affairs, Liberata Mulamula.
Greeting the Minister, Secretary-General Scotland she said:
“I am so glad to be back in Tanzania, a country I hold close to my heart. I also very much look forward to my first meeting with President Samia Suluhu Hassan and discussing crucial issues such as next month’s Commonwealth Heads of Government Meeting (CHOGM 2022), the blue economy, revitalising tourism, covid recovery, climate, the cost of living crisis, youth, health and more.”
Minister Liberata Mulamula said to Secretary-General Scotland:
“I thank you and commend you for the work that you are doing for the Secretariat and the work that you’re doing for Commonwealth Member States
 
Hangaya anamkwepa PK... anafuata maelekezo kutoka msoga ndiomana hata Nairobi hakwenda kujadili ishu ya DRC, na sasa drc wametuma ujumbe wao kuja bongo kupanga fitna
Nairobi na huko rwanda hakuna substance
 
1 April 2016

Introducing Rt Hon Patricia Scotland QC, the sixth Secretary-General of the Commonwealth of Nations

 
Pamoja na juhudi kubwa ya Patricia Scotland katibu mkuu wa Jumuiya ya Madola kufika Tanzania na kutoa mwaliko rasmi lakini Tanzania imeshindwa kutumia fursa hii ya dilpomasia ya uchumi, ushawishi na Tanzania Royal Tour kujiweka katika nafasi ya kuonekana kupitia jukwaa la Commonwealth

Commonwealth Secretary-General arrives in Tanzania ahead of first meeting with President Hassan​

2 months ago TOPAFRICANEWS
unnamed.jpg

Photo: From left, Minister of Foreign Affairs, Tanzania, Liberata Mulamula and Secretary-General of the Commonwealth, The Rt. Hon. Patricia Scotland QC.

The Secretary-General of the Commonwealth, The Rt. Hon. Patricia Scotland QC, arrived today in Dar es Salaam, Tanzania where she will be conducting her first official visit to Tanzania since President Samia Suluhu Hassan’s inauguration.
The Secretary-General will be in the country from 4th May to 7th May 2022 and is conducting bilateral meetings with several senior government officials whilst she is in Tanzania.
On her arrival in the country, Secretary-General Scotland was met by Tanzania’s Minister of Foreign Affairs, Liberata Mulamula.
Greeting the Minister, Secretary-General Scotland she said:
“I am so glad to be back in Tanzania, a country I hold close to my heart. I also very much look forward to my first meeting with President Samia Suluhu Hassan and discussing crucial issues such as next month’s Commonwealth Heads of Government Meeting (CHOGM 2022), the blue economy, revitalising tourism, covid recovery, climate, the cost of living crisis, youth, health and more.”
Minister Liberata Mulamula said to Secretary-General Scotland:
“I thank you and commend you for the work that you are doing for the Secretariat and the work that you’re doing for Commonwealth Member States
Na Samia Leo alitakiwa akutane na Prince Charles.
 
Hangaya anamkwepa PK... anafuata maelekezo kutoka msoga ndiomana hata Nairobi hakwenda kujadili ishu ya DRC, na sasa drc wametuma ujumbe wao kuja bongo kupanga fitna
Eleza kidogo usikike.
 
Watambue tu kwamba waingereza awapendi dharau.

Wanakuona unapaa huko kusiko na kichwa wala miguu; halafu safari ya masaa mawili nchi jirani walipo unatuma mtu wa kukuwakilisha.

Wakati wao hilo jambo ni serious anaenda waziri mkuu na Queen (Prince Charles anamwakilisha mama yake). Hiyo ni highest dignitaries U.K. can send anywhere halafu we hunamuda.

Jamaa watu wa visasi watch this space
Ninakubaliana nawe.
 
Watambue tu kwamba waingereza awapendi dharau.

Wanakuona unapaa huko kusiko na kichwa wala miguu; halafu safari ya masaa mawili nchi jirani walipo unatuma mtu wa kukuwakilisha.

Wakati wao hilo jambo ni serious anaenda waziri mkuu na Queen (Prince Charles anamwakilisha mama yake). Hiyo ni highest dignitaries U.K. can send anywhere halafu we hunamuda.

Jamaa watu wa visasi watch this space
Mbona wao hawajamleta malkia badala yake kaja kuwakilishwa na mwanamfalme?
Kila mtu ashinde mechi zake.
 
Na ilitakiwa Pia Samia atoe Speech khs mambo ya Malaria pamoja Melinda gates(Mtalaka wa Bill Gates) na Kagame.
Speech ni official statement from the government na huwa kwenye written form na inaweza kutolewa na rais au kiongoz mwingine yeyote kwa niaba yake na to put it in context speech hyo imetolewa leo na makamu wa rais inatosha kabisa.
 
Mbona wao hawajamleta malkia badala yake kaja kuwakilishwa na mwanamfalme?
Kila mtu ashinde mechi zake.
Queen kwa umri wake public engagement zake zote anazotakiwa kutokea sasa hivi anaenda mtoto wake ata huko kwao majuzi walimfanyia sherehe kubwa siku tatu bila ya kazi + mbili za weekend hakutokea public zaidi ya kurusha video tu.

Subiri waanze kuminya misaada yao kidogo; uongezewe tozo ndio utajua.
 
CHOGM 2022 Rwanda

1656033960963.png

Member countries​



54
independent countries make up the Commonwealth in Africa, Asia, the Americas, Europe and the Pacific

32
of the world’s 42 small states are Commonwealth members, each with a population of 1.5 million or less

2.5 billion
citizens live in Commonwealth countries, with more than 60 per cent aged 29 or under
Commonwealth countries are diverse: they are among the world’s biggest, smallest, richest and poorest countries.

Source : Member countries
 
1656034222926.png

Photo courtesy of Foreign Ministers meet ahead of CHOGM to discuss post-COVID recovery, sustainable development

Just societies​

Ministers discussed new and evolving challenges to ensuring peaceful, just, and inclusive societies, and how the Commonwealth is addressing these challenges now and in the future.

They also considered multifaceted issues relating to sustainable and inclusive development such as climate change, the environment and oceans, sustainable energy, youth and innovation. Ministers discussed how member states should address these complex issues, with a special focus on the needs of small states and least developed countries.

As countries around the world continue to recover from the deep impacts of the COVID-19 pandemic, Ministers also examined the severe consequences of the pandemic on public health systems, trade, and connectivity, and how governments can build back better systems capable of handling future crises. Ministers heard how the Commonwealth can strengthen health security and resilience, support trading systems and small states, and harness other opportunities for a sustainable and inclusive post-COVID-19 recovery
 
21 June 2022
Kigali, Rwanda

The 2022 Commonwealth Business Forum (CBF 2022) commenced in Kigali today, with participants deliberating on key global issues and the role of the Commonwealth in leading a global reset as the world emerges from the pandemic.
His Excellency President Paul Kagame was joined by the Prime Minister of the Bahamas, Right Hon. Philip Edward Davis, Hon. Patricia Scotland, Secretary-General of the Commonwealth, Makhtor Diop, Managing Director and Executive Vice President of the World Bank, Dr Akinwumi Adesina, President of the African Development Bank and Lord Marland, Chair of the Commonwealth Enterprise and Investment Council (CWEIC), among other dignitaries, at the opening ceremony at the Kigali Conference and Exhibition Village (KCEV) in Kigali.
Image
cbf

Over 1,500 delegates from Commonwealth member states are attending the forum, mainly government leaders, business executives, leaders of global and regional development institutions, young entrepreneurs and representatives of trade and investment organisations.
Speaking during the opening session, Hon. Patricia Scotland noted:
“When I took office as Secretary-General in 2016, I outlined my vision to put the ‘wealth’ back into the Commonwealth; and to put the ‘common’ back into wealth so that we all share in our future prosperity. At the heart of our mission is trade – the lifeblood of economic activity and the arteries of the economic relationships between our Commonwealth member countries. The Commonwealth Advantage. I hope CBF 2022 provides us with the opportunity to come even closer together and redouble our commitment to enhance the framework for intra-Commonwealth trade – and set the target to reach US$ 2 trillion in CommonwealthTrade by 2030 beyond doubt.”

Read More : source : The 2022 Commonwealth Business Forum begins on a high note in Kigali
 
Back
Top Bottom