Makamu wa Rais Dkt. Mpango awasili Rwanda kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi za Jumuiya ya Madola

our next president.
mwakani siku na wakati kama huu, jina litakuwa lishabadirika na kuwa Mh. Rais F. Mpango
 
Watambue tu kwamba waingereza awapendi dharau.

Wanakuona unapaa huko kusiko na kichwa wala miguu; halafu safari ya masaa mawili nchi jirani walipo unatuma mtu wa kukuwakilisha.

Wakati wao hilo jambo ni serious anaenda waziri mkuu na Queen (Prince Charles anamwakilisha mama yake). Hiyo ni highest dignitaries U.K. can send anywhere halafu we hunamuda.

Jamaa watu wa visasi watch this space
 
"Jamaa watu wa visasi watch this space".

Nakubali mkuu,jamaa kwa visasi hua sio wa mchezo mchezo.Hawawajui vzr kwa figisu zao.
 

Pamoja na juhudi kubwa ya Patricia Scotland katibu mkuu wa Jumuiya ya Madola kufika Tanzania na kutoa mwaliko rasmi lakini Tanzania imeshindwa kutumia fursa hii ya diplomasia ya uchumi, ushawishi na Tanzania Royal Tour kujiweka katika nafasi ya kuonekana kupitia jukwaa la Commonwealth

Commonwealth Secretary-General arrives in Tanzania ahead of first meeting with President Hassan​

2 months ago TOPAFRICANEWS

Photo: From left, Minister of Foreign Affairs, Tanzania, Liberata Mulamula and Secretary-General of the Commonwealth, The Rt. Hon. Patricia Scotland QC.

The Secretary-General of the Commonwealth, The Rt. Hon. Patricia Scotland QC, arrived today in Dar es Salaam, Tanzania where she will be conducting her first official visit to Tanzania since President Samia Suluhu Hassan’s inauguration.
The Secretary-General will be in the country from 4th May to 7th May 2022 and is conducting bilateral meetings with several senior government officials whilst she is in Tanzania.
On her arrival in the country, Secretary-General Scotland was met by Tanzania’s Minister of Foreign Affairs, Liberata Mulamula.
Greeting the Minister, Secretary-General Scotland she said:
“I am so glad to be back in Tanzania, a country I hold close to my heart. I also very much look forward to my first meeting with President Samia Suluhu Hassan and discussing crucial issues such as next month’s Commonwealth Heads of Government Meeting (CHOGM 2022), the blue economy, revitalising tourism, covid recovery, climate, the cost of living crisis, youth, health and more.”
Minister Liberata Mulamula said to Secretary-General Scotland:
“I thank you and commend you for the work that you are doing for the Secretariat and the work that you’re doing for Commonwealth Member States
 
Hangaya anamkwepa PK... anafuata maelekezo kutoka msoga ndiomana hata Nairobi hakwenda kujadili ishu ya DRC, na sasa drc wametuma ujumbe wao kuja bongo kupanga fitna
Nairobi na huko rwanda hakuna substance
 
1 April 2016

Introducing Rt Hon Patricia Scotland QC, the sixth Secretary-General of the Commonwealth of Nations

 
Na Samia Leo alitakiwa akutane na Prince Charles.
 
Hangaya anamkwepa PK... anafuata maelekezo kutoka msoga ndiomana hata Nairobi hakwenda kujadili ishu ya DRC, na sasa drc wametuma ujumbe wao kuja bongo kupanga fitna
Eleza kidogo usikike.
 
Ninakubaliana nawe.
 
Mbona wao hawajamleta malkia badala yake kaja kuwakilishwa na mwanamfalme?
Kila mtu ashinde mechi zake.
 
Na ilitakiwa Pia Samia atoe Speech khs mambo ya Malaria pamoja Melinda gates(Mtalaka wa Bill Gates) na Kagame.
Speech ni official statement from the government na huwa kwenye written form na inaweza kutolewa na rais au kiongoz mwingine yeyote kwa niaba yake na to put it in context speech hyo imetolewa leo na makamu wa rais inatosha kabisa.
 
Mbona wao hawajamleta malkia badala yake kaja kuwakilishwa na mwanamfalme?
Kila mtu ashinde mechi zake.
Queen kwa umri wake public engagement zake zote anazotakiwa kutokea sasa hivi anaenda mtoto wake ata huko kwao majuzi walimfanyia sherehe kubwa siku tatu bila ya kazi + mbili za weekend hakutokea public zaidi ya kurusha video tu.

Subiri waanze kuminya misaada yao kidogo; uongezewe tozo ndio utajua.
 
CHOGM 2022 Rwanda


Member countries​



54
independent countries make up the Commonwealth in Africa, Asia, the Americas, Europe and the Pacific

32
of the world’s 42 small states are Commonwealth members, each with a population of 1.5 million or less

2.5 billion
citizens live in Commonwealth countries, with more than 60 per cent aged 29 or under
Commonwealth countries are diverse: they are among the world’s biggest, smallest, richest and poorest countries.

Source : Member countries
 

Photo courtesy of Foreign Ministers meet ahead of CHOGM to discuss post-COVID recovery, sustainable development

Just societies​

Ministers discussed new and evolving challenges to ensuring peaceful, just, and inclusive societies, and how the Commonwealth is addressing these challenges now and in the future.

They also considered multifaceted issues relating to sustainable and inclusive development such as climate change, the environment and oceans, sustainable energy, youth and innovation. Ministers discussed how member states should address these complex issues, with a special focus on the needs of small states and least developed countries.

As countries around the world continue to recover from the deep impacts of the COVID-19 pandemic, Ministers also examined the severe consequences of the pandemic on public health systems, trade, and connectivity, and how governments can build back better systems capable of handling future crises. Ministers heard how the Commonwealth can strengthen health security and resilience, support trading systems and small states, and harness other opportunities for a sustainable and inclusive post-COVID-19 recovery
 
21 June 2022
Kigali, Rwanda

The 2022 Commonwealth Business Forum (CBF 2022) commenced in Kigali today, with participants deliberating on key global issues and the role of the Commonwealth in leading a global reset as the world emerges from the pandemic.
His Excellency President Paul Kagame was joined by the Prime Minister of the Bahamas, Right Hon. Philip Edward Davis, Hon. Patricia Scotland, Secretary-General of the Commonwealth, Makhtor Diop, Managing Director and Executive Vice President of the World Bank, Dr Akinwumi Adesina, President of the African Development Bank and Lord Marland, Chair of the Commonwealth Enterprise and Investment Council (CWEIC), among other dignitaries, at the opening ceremony at the Kigali Conference and Exhibition Village (KCEV) in Kigali.
Image

Over 1,500 delegates from Commonwealth member states are attending the forum, mainly government leaders, business executives, leaders of global and regional development institutions, young entrepreneurs and representatives of trade and investment organisations.
Speaking during the opening session, Hon. Patricia Scotland noted:

Read More : source : The 2022 Commonwealth Business Forum begins on a high note in Kigali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…