Makamu wa Rais Dkt. Mpango: Mfumuko wa Bei upo, na hauvumiliki

Makamu wa Rais Dkt. Mpango: Mfumuko wa Bei upo, na hauvumiliki

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Leo nimemsikia mubashara mheshimiwa Makamu wa Rais ndugu Philp Mpango alipokuwa anahutubia viwanja vya Mnazi Mmoja kwenye kilele cha kumbukizi ya kuzaliwa chama chetu CCM.

Nilidhani kwenye hotuba yake ataainisha mikakati ya serikali kudhibiti mfumuko na kuboresha ugumu wa maisha unaowakabili wananchi.

Makamu wa Rais alisimama na kusema kuwa balaa la bei kupanda linavumilika kwa sababu mfumuko wetu upo asilimia 4 tangu mwaka jana hadi leo. Hapo awali nilishasema kwenye threads zangu kuwa Mungu wa Mbinguni ameondoa kauli katika viongozi wa serikali wanaotoka CCM.

Tulimsikia Rais akisema kuwa wanaolalamimia mabehewa used ya SGR ni watoto wa miaka ya 90 hivyo aliwabeza watanzania kuwa kulalamika lalamika ni utoto.

Juzi tumemsikia TULIA akisema CCM hata iweje hawatompisha mshindi yeyote madarakani. Kauli yake haikuzingatia utawala bora.

Leo Makamu wa Rais anawahadaa Watanzania kuwa mfumuko wa bei ni mdogo na stahimilivu kwa kulinganisha na mataifa jirani zetu yaani Kenya na Uganda.

Je, Mhe. Philip Mpango amejiridhisha kuwa bei ya mahitaji muhimu iliyopanda zaidi ya mara mbili ni himilivu huku akijua kipato cha wafanyakazi kimeendelea kuwa kidogo kwa raise ndogo sana ya mishahara.

CCM ilmechoka na kupoteza dira na mwelekeo kwa sababu hata viongozi wake wakuu hawana tena ari na dhamana ya kusimamia nchi badala yake wanasimamia CHAMA KUSHIKA DOLA

Tuendelee kuomba, watakuja wakombozi kutuweka katika reli tena.
 
Kila nikiandika naishia kufuta... Ata ivyo mwanasheria wangu kasafiri
20230203_212130.jpg
 
Hivi wakuu mmebaini kwamba serikali imepoteza mwelekeo, hakuna leadership kabisa kwenye uongozi wa nchi isipokuwa politics ndiyo zimepewa kipao mbele.
 
marupu rupu wapewayo wanasiasa wetu wakati mwenginewe huwafanya wawe mbali saaaaaana na wananchi. hivyo madhala yake ni kuwa wewe uonapo mfumuko wa bei unakufanya ule mlo mmoja wao hayo huenda hawayajui.

Wewe sasa hivi kata marupurupu yote ya wabunge, mawaziri na makatibu wakuu. Waishi kwa mshahala tuu tena kazini wawe wanaenda kwa daladala kama wewe.

Nakuambia wiki moja tu huko bungeni watazipiga wao kwa wao na mawaziri watachapa kazi kisawasawa. Ushawahi kunywa chai kwa machenga wewe? Gimbi kunywea maji au kashata kwa maji ya ndimu. basi mkishare huu ugumu wote wa maisha na wansiasa nchi itajengeka barabara.
 
Hivi wakuu mmebaini kwamba serikali imepoteza mwelekeo,hakuna leadership kabisa kwenye uongozi wa nchi isipokuwa politics ndiyo zimepewa kipao mbele.
Mungu akiondoa ulinzi wake hakuna mwanadamu wala kiumbe yeyote anayeweza kuweka ulinzi mbadala
 
Mfumuko gani tena huo wakati yeye na sa100 wanakwenda chooni mara 17 kwa siku
 
Hicho sio chama cha siasa tena hicho ni chama dola
Huyo Msajili mwenyewe wa vyama vya siasa kazi ya kusajili vyama kapewa na CCM! hapo ndiyo mjuwe kutofautisha Kati ya Chama Dola,na Chama Cha Siasa!!
 
Huyo Msajili mwenyewe wa vyama vya siasa kazi ya kusajili vyama kapewa na CCM! hapo ndiyo mjuwe kutofautisha Kati ya Chama Dola,na Chama Cha Siasa!!
Tumefanywa wajinga sana bongo.
Tanzania haitokaa iendelee under CCM.

Tuishukuru kwa jukumu la kutuletea uhuru. Sasa tuishi kwenye malengo ya uhuru yaani kujitawala na kujiamulia hatima ya maendeleo yetu. CCM ni kikwazo kwenye hilo suala na tunapaswa kuiweka pembeni.
 
Leo nimemsikia mubashara mheshimiwa Makamu wa Rais ndugu Philp Mpango alipokuwa anahutubia viwanja vya Mnazi Mmoja kwenye kilele cha kumbukizi ya kuzaliwa chama chetu CCM.

Nilidhani kwenye hotuba yake ataainisha mikakati ya serikali kudhibiti mfumuko na kuboresha ugumu wa maisha unaowakabili wananchi.

Makamu wa Rais alisimama na kusema kuwa balaa la bei kupanda linavumilika kwa sababu mfumuko wetu upo asilimia 4 tangu mwaka jana hadi leo. Hapo awali nilishasema kwenye threads zangu kuwa Mungu wa Mbinguni ameondoa kauli katika viongozi wa serikali wanaotoka CCM.

Tulimsikia Rais akisema kuwa wanaolalamimia mabehewa used ya SGR ni watoto wa miaka ya 90 hivyo aliwabeza watanzania kuwa kulalamika lalamika ni utoto.

Juzi tumemsikia TULIA akisema CCM hata iweje hawatompisha mshindi yeyote madarakani. Kauli yake haikuzingatia utawala bora.

Leo Makamu wa Rais anawahadaa Watanzania kuwa mfumuko wa bei ni mdogo na stahimilivu kwa kulinganisha na mataifa jirani zetu yaani Kenya na Uganda.

Je, Mhe. Philip Mpango amejiridhisha kuwa bei ya mahitaji muhimu iliyopanda zaidi ya mara mbili ni himilivu huku akijua kipato cha wafanyakazi kimeendelea kuwa kidogo kwa raise ndogo sana ya mishahara.

CCM ilmechoka na kupoteza dira na mwelekeo kwa sababu hata viongozi wake wakuu hawana tena ari na dhamana ya kusimamia nchi badala yake wanasimamia CHAMA KUSHIKA DOLA

Tuendelee kuomba, watakuja wakombozi kutuweka katika reli tena.
Contents na heading ni vitu viwili tofauti,Rudi shule
 
Leo nimemsikia mubashara mheshimiwa Makamu wa Rais ndugu Philp Mpango alipokuwa anahutubia viwanja vya Mnazi Mmoja kwenye kilele cha kumbukizi ya kuzaliwa chama chetu CCM.

Nilidhani kwenye hotuba yake ataainisha mikakati ya serikali kudhibiti mfumuko na kuboresha ugumu wa maisha unaowakabili wananchi.

Makamu wa Rais alisimama na kusema kuwa balaa la bei kupanda linavumilika kwa sababu mfumuko wetu upo asilimia 4 tangu mwaka jana hadi leo. Hapo awali nilishasema kwenye threads zangu kuwa Mungu wa Mbinguni ameondoa kauli katika viongozi wa serikali wanaotoka CCM.

Tulimsikia Rais akisema kuwa wanaolalamimia mabehewa used ya SGR ni watoto wa miaka ya 90 hivyo aliwabeza watanzania kuwa kulalamika lalamika ni utoto.

Juzi tumemsikia TULIA akisema CCM hata iweje hawatompisha mshindi yeyote madarakani. Kauli yake haikuzingatia utawala bora.

Leo Makamu wa Rais anawahadaa Watanzania kuwa mfumuko wa bei ni mdogo na stahimilivu kwa kulinganisha na mataifa jirani zetu yaani Kenya na Uganda.

Je, Mhe. Philip Mpango amejiridhisha kuwa bei ya mahitaji muhimu iliyopanda zaidi ya mara mbili ni himilivu huku akijua kipato cha wafanyakazi kimeendelea kuwa kidogo kwa raise ndogo sana ya mishahara.

CCM ilmechoka na kupoteza dira na mwelekeo kwa sababu hata viongozi wake wakuu hawana tena ari na dhamana ya kusimamia nchi badala yake wanasimamia CHAMA KUSHIKA DOLA

Tuendelee kuomba, watakuja wakombozi kutuweka katika reli tena.
Ee Mungu utusikie kuomba kwetu,

Mwenye mamlaka ni sawa na mtu aliyeshika moto, tunataka kuuzima moto Kwa kuleta vidumu vya petroli Kwa aliyeshika moto.

Tunaomba Kwa ajili ya nchi yetu, maana Watawala wanapopambana na vyama vya upinzani,

Wananchi wema Kwa waovu, watoto Kwa wakubwa, wagonjwa Kwa wazima wanapata maumivu hayo.

Tunakuomba useme na mioyo ya viongozi wetu maana ni wewe uwapaye PUMZI.

Uwakumbushe kuwa viti walivyopewa ni Utumishi uliyotukuka kama Utumishi wa KUHANI HEKALUNI.

Utumishi wa Umma ni KAZI ya Mungu kama ilivyo kuhubiri INJILI. Ni Mahali na KAZI takatifu.

Ninatubu Kwa ajili ya viongozi wa Nchi yangu,

Ninakuomba ushuke na kuliponya Taifa letu Tanzania.

Tunakuomba utusikie.

Aamen
 
Ee Mungu utusikie kuomba kwetu,

Mwenye mamlaka ni sawa na mtu aliyeshika moto, tunataka kuuzima moto Kwa kuleta vidumu vya petroli Kwa aliyeshika moto.

Tunaomba Kwa ajili ya nchi yetu, maana Watawala wanapopambana na vyama vya upinzani,

Wananchi wema Kwa waovu, watoto Kwa wakubwa, wagonjwa Kwa wazima wanapata maumivu hayo.

Tunakuomba useme na mioyo ya viongozi wetu maana ni wewe uwapaye PUMZI.

Uwakumbushe kuwa viti walivyopewa ni Utumishi uliyotukuka kama Utumishi wa KUHANI HEKALUNI.

Utumishi wa Umma ni KAZI ya Mungu kama ilivyo kuhubiri INJILI. Ni Mahali na KAZI takatifu.

Ninatubu Kwa ajili ya viongozi wa Nchi yangu,

Ninakuomba ushuke na kuliponya Taifa letu Tanzania.

Tunakuomba utusikie.

Aamen
Mungu asikie maombi yako
 
Leo nimemsikia mubashara mheshimiwa Makamu wa Rais ndugu Philp Mpango alipokuwa anahutubia viwanja vya Mnazi Mmoja kwenye kilele cha kumbukizi ya kuzaliwa chama chetu CCM.

Nilidhani kwenye hotuba yake ataainisha mikakati ya serikali kudhibiti mfumuko na kuboresha ugumu wa maisha unaowakabili wananchi.

Makamu wa Rais alisimama na kusema kuwa balaa la bei kupanda linavumilika kwa sababu mfumuko wetu upo asilimia 4 tangu mwaka jana hadi leo. Hapo awali nilishasema kwenye threads zangu kuwa Mungu wa Mbinguni ameondoa kauli katika viongozi wa serikali wanaotoka CCM.
Na yeye ni Mchumi halafu anauma na kupuliza
 
Mkuu, kwa maoni yangu naona kama tumo kwenye mpito. Uwe wa majaribu au mgumu, tutapita.

CCM bado imejizatiti pamoja na 'wachumia' tumbo kukithiri. Nafikiri hii itakuwa mara ya kwanza katika muda ninavyoijua historia ya Chama na uongozi wake, kuona wamelewa madaraka maradufu....

Madaraka hulevya, hauepukiki, lakini kwa sasa ni kufuru...kwa sababu hela imekuwa nje nje na ukichanganya kilevi cha madaraka, wanahisi au kudhani hawashikiki. Joking aside, Mh. Tundu Lissu atawatikisa wale watakao tikitishwa na matoroli yake ya taarifa, watajirudi They will sober up. Wajitathmini. Wajipange.


Ni kweli Wananchi maisha ni magumu kwa mtu wa kima cha chini, lakini ndio ubepari waliokuwa wanalilia. Hakuna kukwepa

kastori kafupi ka kweli.


Miaka ya nyuma nilimsii jamaa yangu asiuze shamba lake alikiwa analima michicha, nyanya vitunguu bilinganya yaani mahitaji yake yalikuwa sio makubwa zaidi ya ku attend shamba, pia, shamba lake lliikuwa na mbaazi mihogo, miti yake mitatu ya korosho, mti mmoja wa machungwa na mchenza na mkungu nyumba yake ya udongo na mabati na palikuwa na kisima cha maji. oooh na wanyama wachache kuku, bata, mbuzi na kondoo
Alikuwa analalamika kutokuwa na sembe, mchele n.k na baada ya wanawe kuhama walimletea Luninga wakaunganisha solar. Baadae mzee yule akaniambia maisha ni magumu, sikumwelewa??? Nilimwambia Mwaka huo , ulikuwa 2008 ukiwa na elfu 30,000 sasa hivi mzee uko tajiri kuliko Mtu wa Ulaya, mzee huna deni shamba lako, nyumba yako....hakunielewa anadai anavaa mitumba! Namkejeli Ebbo basi 2012 mwishoni akauza shamba akapata mshiko mzuri tuu akapanga, baadae fedha ikakatika, 2017 madeni juu stori shoti ikabidi arudi kwenye banda lake pembezoni mwa shamba ambalo aliliuza, mabati wamesha ondoa na sio hivyo tu yani ikabidi awe analima kwenye shamba alilouza, kukata michongoma n.k ukumbuke
keshazeeka lakini inabidi awe na hela za kugharamia kila kitu....kuanzia matunda mpaka mchicha, mihogo n.k

Nafikiri amenikumbuka, nafikiri

sasa huyo ndie anasikia mfumuko wa bei.na.kuelewa bila hata shule!

Aisee
 
Back
Top Bottom