Najua umemaliza ziara Yako Mkoani Manyara,na Sasa upo Chato Kwa kaka yako.
Nachukua fursa hii kukipa taarifa jinsi ziara yako ilivyowatesa wananchi.
Nazungumzia namna Barabara zilivyofunga kipisha ujio wako na mapito yako.
Mkuu,nikufahamishe TU kuwa ,Leo Kila ulipokuwa unaeenda Barabara zilifunngwa kwa masaa 3 na zaidi.
Hii ilikuwa ni adha kubwa kwa watumiaji was barabara na bila shaka Leo utakuwa umelaaniwa' sana.
Mrano asubi kuqnzia saa 1.30 b@rabara zoye za kutoka na kuingia Babati ziliffungwa,Kwa muda usiopuingi masaa 2.
Hii inaa maanisha kuwa wagonjwa waliokuwa wana3nda Hospistali za Mkoa ,Wilaya na madika ya dawa hawakufika kwa wakati .Wafanya biashara waliokuwa wanaingia Babati ,mjini walikwama.
Kibwa kuliko no magari ya abiria yapatayo 20 yaliyoondoka Arushha kwenda Kanda ya ziwa,Singida ,Dodoma,Morrogoro na nyanda za juu Kjsini uotw yalikwama kwa masaa 3.
Huu si ungwana na ni ushaamba na ujinga.
Wakulima waliokuwa kqenyw shughuli zaa kilimo ktk blonde la Manyara kuqnzia KIru ,Magugu hadi Magara hakui Giza Wala kutoa Matrekta wala boda2 high way.
Huu ni uonevu na mipango mibovu.
Nilimsikia Hali hiii ilijirudia tena mida ya aadhuhuri hadi alasiri.
Nilimsikia Bodaboda mmoja akilaani viongozi Kwa kiwa amepoteza zaidi ya masaa 7 sikunzima bila kufanyq kazi.
Magari ya abiriaaleoyametumiamasaa 10 Hadi 12 kutoka Arusha - Dodoma
Viongozi acheni huu ushamba wa kiongozi apeqe Interval ya dakikia 20 tu apite maisha yaendelee
Nachukua fursa hii kukipa taarifa jinsi ziara yako ilivyowatesa wananchi.
Nazungumzia namna Barabara zilivyofunga kipisha ujio wako na mapito yako.
Mkuu,nikufahamishe TU kuwa ,Leo Kila ulipokuwa unaeenda Barabara zilifunngwa kwa masaa 3 na zaidi.
Hii ilikuwa ni adha kubwa kwa watumiaji was barabara na bila shaka Leo utakuwa umelaaniwa' sana.
Mrano asubi kuqnzia saa 1.30 b@rabara zoye za kutoka na kuingia Babati ziliffungwa,Kwa muda usiopuingi masaa 2.
Hii inaa maanisha kuwa wagonjwa waliokuwa wana3nda Hospistali za Mkoa ,Wilaya na madika ya dawa hawakufika kwa wakati .Wafanya biashara waliokuwa wanaingia Babati ,mjini walikwama.
Kibwa kuliko no magari ya abiria yapatayo 20 yaliyoondoka Arushha kwenda Kanda ya ziwa,Singida ,Dodoma,Morrogoro na nyanda za juu Kjsini uotw yalikwama kwa masaa 3.
Huu si ungwana na ni ushaamba na ujinga.
Wakulima waliokuwa kqenyw shughuli zaa kilimo ktk blonde la Manyara kuqnzia KIru ,Magugu hadi Magara hakui Giza Wala kutoa Matrekta wala boda2 high way.
Huu ni uonevu na mipango mibovu.
Nilimsikia Hali hiii ilijirudia tena mida ya aadhuhuri hadi alasiri.
Nilimsikia Bodaboda mmoja akilaani viongozi Kwa kiwa amepoteza zaidi ya masaa 7 sikunzima bila kufanyq kazi.
Magari ya abiriaaleoyametumiamasaa 10 Hadi 12 kutoka Arusha - Dodoma
Viongozi acheni huu ushamba wa kiongozi apeqe Interval ya dakikia 20 tu apite maisha yaendelee